Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Hakuna utamu wa pombe tuacheni kuikuza

Kwako pombe Ina utamu? Au unakunywa kwa minajili ya sifa?
Sigara, bangi, cocaine, heroin, skanka unadhani zina utamu gani??

Pombe ina vibe, inachangamsha akili, inapeleka damu mbio. Na kila mtu ana matokeo yake akinywa, anajua anajiskia vipi.

Pombe sio utamu ni kilevi, pombe haipimwi kwa utamu kama mirinda nyeusi bali kilevi kilichomo, sawa paroko!?
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Hamna kitu unajua chief kama haunywi pombe umechelewa sana yani sana
Endelea kunywa soda zako tu
Pombe muziki na wanawake vikienda pamoja ayayaaah ni package mwanana sana hiyo
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Umbwa kabisa nyang'au wewe!!!
 
Hivi kwanini pombe imekuwa overrated kama wachezaji wa Uingereza!!?

Naamini wengi wameingia kwenye ulevi kwa ajili ya kufata mkumbo. Na wengine kutokana na ile mentality iliyozoeleka kuwa kunywa bia ni ujanja.

Ushauri wangu hasa kwa Vijana pombe ni ujinga na haina faida yoyote.
Pombe haitaki watu vichwa panzi na wenye upeo mdogo kama ww. Kule kaskazini huwezi kuweka kikao cha watu wazima ukaweka masoda yako mezani huwa ni pombe (Bia).
Ww ukijaribu kunywa lazima ujinyee endelea kunywa fanya orange tu kama litoto.
 
Hamna kitu unajua chief kama haunywi pombe umechelewa sana yani sana
Endelea kunywa soda zako tu
Pombe muziki na wanawake vikienda pamoja ayayaaah ni package mwanana sana hiyo
Ngoja niendelee kunywa maji na coca😂
 
Pombe haitaki watu vichwa panzi na wenye upeo mdogo kama ww. Kule kaskazini huwezi kuweka kikao cha watu wazima ukaweka masoda yako mezani huwa ni pombe (Bia).
Ww ukijaribu kunywa lazima ujinyee endelea kunywa fanya orange tu kama litoto.
Hahahahahaha.. Acha niendelee na fantha😃
 
Utakua unat*mbewa na mlevi na anasimamia show
Ndo maana umeguswa
 
Hapa mle anaelekea Arusha tar 7 nasubiria kazigo kanguu nichafuane mpaka YANGA ishinde ndio nakaachia YAAN na lodge kuna TV ndan nagobga huku napata droskotff siiachii mpaka YANGA ishinde

Wanawakeday
Hapo kwa Yanga tupo pamoja ila kwenye pombe no no no.
 
Unakupa anatafuta mzuka maana bila pombe anakuwa muoga kikuzi.
Pombe haina utamu wowote nawaoneaga huruma wanywa pombe za spirit wanavopata shida kumeza fundi yaani mtu anakunya sura utafikiri anacheza amapiano au anameza kaa la moto.mpaka unajiuliza kashikiwa bundugu au kalazimishwa
 
Pombe haina utamu wowote nawaoneaga huruma wanywa pombe za spirit wanavopata shida kumeza fundi yaani mtu anakunya sura utafikiri anacheza amapiano au anameza kaa la moto.mpaka unajiuliza kashikiwa bundugu au kalazimishwa
DadeQ
 
Back
Top Bottom