Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Siku moja vijana wangu wa kazi walinipigia simu saa saba usiku. Wakaniambia Kuna watu wanafanya vurugu eneo langu la biashara.
Niliamka na kuelekea huko.
Kufika pale segerea oilcom Kuna Kona Kali kuelekea stand. Mm nilinyoosha kuelekea kwa CDF mstafu. Ile naachha Barabara kuu, nikasikia mlio wa break Kisha kishindo kikubwa. Nilipochungulia nikaona gari kwenye mtaro imepinduka tairi ziko juu.
Nikashuka kwenye gari ili nikatoe msaada. Nilipofika sehemu ya tukio nikakuta Ile gari haipo. Tukio hili tulishuhudia mm na mlinzi wa petrol station.
JE, HUU SI UCHAWI?
Sijaelewa mazingira ya hyo ajali ila inavyoonekana hio gari ilisesereka na kwenda mbali zaidi au kulikuwa na korongo

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale wanaoamini uchawi upo wajibu maswali haya

1: uchawi ni nini

2: Nani anaemiliki huo uchawi na anaumiliki kwa namna gani

3: anauhamisha vipi kutoka kwenye umiliki wake na kuutuma kwenda kumdhuru kiumbe mwingine na unaingia kwa huyu kiumbe mwingine kupitia njia zipi.
unaumri gani
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Waulize watakupa maoni yao😄😄
 
Kwa kifupi sana HAYAJAKIPATA na usiombe YAKUPATE ila uchawi upo na kama wewe ni mkristo bible imewataja wachawi uwa hawatouona ufalme wa Mungu
 
Siku wachawi na washirikina wakiweza kuiba pesa Bank naahidi nitajiunga nao.
Haiwezekani..coz uchawi ni spirutal works..na uchawi unaathiri vitu vinavoweza ku-exist spiritually only..and not otherwise..money in the banks does not exist spiritually..
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Umemaliza kila kitu fanyeni kazi fanyeni tafiti za kitaalamu
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Kumbuka kuwa vichaa huchekana, nyani kucheka naniiliu la mwenzake kwa wekundu kumbe yeye ndiye zaidi ad limeota ugwambala!

Wewe hapo waweza kuwa mjinga zaidi ya hao unaowaona ni wajinga, yaani wao wakawa na ujinga mchache sana, labda kutokujua dalili za vidonda vya tumbo tu nk.

Halafu tena, wewe waweza pia ukawa mjinga na mbumbumbu kwa mambo mengi sana zaidi ya hao.

Binadamu hadi kuingia kaburini hajawahi kuishiwa ujinga kwa sababu tunaendelea kujifunza kila siku kwa mambo tusiyoyajua.

Sasa kwa mfano kwa nini wewe siyo mjinga kwa kutokufahamu kuwa kuna uchawi?

Serikali inafahamu kwamba uchawi upo ndiyo maana vikautungia sheria.

Vitabu vya dini vinasemaje kuhusu uchawi?

Ebo, wewe mtu mmoja mdogo kama punje la mchanga baharini unataka kuubadilisha ulimwengu kwa kubishi na kudhania mambo usiyoyajua?
 
Siku moja vijana wangu wa kazi walinipigia simu saa saba usiku. Wakaniambia Kuna watu wanafanya vurugu eneo langu la biashara.
Niliamka na kuelekea huko.
Kufika pale segerea oilcom Kuna Kona Kali kuelekea stand. Mm nilinyoosha kuelekea kwa CDF mstafu. Ile naachha Barabara kuu, nikasikia mlio wa break Kisha kishindo kikubwa. Nilipochungulia nikaona gari kwenye mtaro imepinduka tairi ziko juu.
Nikashuka kwenye gari ili nikatoe msaada. Nilipofika sehemu ya tukio nikakuta Ile gari haipo. Tukio hili tulishuhudia mm na mlinzi wa petrol station.
JE, HUU SI UCHAWI?
Acha chai
 
Kumbuka kuwa vichaa huchekana, nyani kucheka naniiliu la mwenzake kwa wekundu kumbe yeye ndiye zaidi ad limeota ugwambala!

Wewe hapo waweza kuwa mjinga zaidi ya hao unaowaona ni wajinga, yaani wao wakawa na ujinga mchache sana, labda kutokujua dalili za vidonda vya tumbo tu nk.

Halafu tena, wewe waweza pia ukawa mjinga na mbumbumbu kwa mambo mengi sana zaidi ya hao.

Binadamu hadi kuingia kaburini hajawahi kuishiwa ujinga kwa sababu tunaendelea kujifunza kila siku kwa mambo tusiyoyajua.

Sasa kwa mfano kwa nini wewe siyo mjinga kwa kutokufahamu kuwa kuna uchawi?

Serikali inafahamu kwamba uchawi upo ndiyo maana vikautungia sheria.

Vitabu vya dini vinasemaje kuhusu uchawi?

Ebo, wewe mtu mmoja mdogo kama punje la mchanga baharini unataka kuubadilisha ulimwengu kwa kubishi na kudhania mambo usiyoyajua?
Na mimi zamani nilikuwa mjinga kama wewe. Lakini polepole nikaanza kuona mwanga. Vitu vingi nilivyodhani uchawi nikaona vina explanation nzuri tu. Jielimishe utatoka huko. Kuamini uchawi ni ujinga mkubwa, kwa nini? Hizo imani za kichawi zipo kwenye uchumi, afya, elimu, mambo ya kijamii, siasa, ujenzi nk nk. So ukiwa nazo unakuwa mjinga mjinga kwenye nyanja karibu zote za maisha. Ni hatari sana.
 
Nimeona comments nyingi za wanaoamini uchawi wakiwaambia wasioamini kwamba wasubiri siku likiwapata, ni vyema ufafanue hilo litakalompata ambalo linatokana na uchawi linafananaje ili ajue kwamba hapo ni amepatwa na uchawi.

Dhana ya kuamini uchawi upo ni mambo ya kufikirika zaidi na sio uhalisia,kwa mfano ni vigumu sana kwa daktari kuamini kwamba mtu anaweza akaugua kwa sababu ya kulogwa, vilevile ni vigumu accountant akaamini biashara yake haiendi vizuri kwa sababu ya uchawi.

Ila daktari anaeamini uchawi anaweza kuamini biashara yake ya duka la dawa haitoki kwa sababu ya uchawi, na accountanta anaeamini uchawi anaweza akaamini mtu anaweza kuugua kwa sababu ya kulogwa.
 
Nimeona comments nyingi za wanaoamini uchawi wakiwaambia wasioamini kwamba wasubiri siku likiwapata, ni vyema ufafanue hilo litakalompata ambalo linatokana na uchawi linafananaje ili ajue kwamba hapo ni amepatwa na uchawi.

Dhana ya kuamini uchawi upo ni mambo ya kufikirika zaidi na sio uhalisia,kwa mfano ni vigumu sana kwa daktari kuamini kwamba mtu anaweza akaugua kwa sababu ya kulogwa, vilevile ni vigumu accountant akaamini biashara yake haiendi vizuri kwa sababu ya uchawi.

Ila daktari anaeamini uchawi anaweza kuamini biashara yake ya duka la dawa haitoki kwa sababu ya uchawi, na accountanta anaeamini uchawi anaweza akaamini mtu anaweza kuugua kwa sababu ya kulogwa.
Utaona msingi wa hizi imani ni kukosa elimu ya jambo husika.., yaani ujinga.
 
Back
Top Bottom