antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mtoa mada badala ya kuuliza aelezwe, ameanza kuwaita 'wajinga' wale wanaojua..Hasira ya nini badala ya kumfundisha? Hata mimi sijawahi kukutwa na uchawi wowote wala kuuona unadhani nitaamini?
Nitabisha tu maana sijawahi kuona kitu chochote cha kichawi kwenye maisha yangu.
👇👇
Ulimwengu una elimu pana mno isiyofundishwa mashuleni ambayo hakuna mtu mmoja anayeweza kuifahamu yote.Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi
Tatizo ni pale mtu anapojidai anajua jambo ambalo hajui