Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,155
Badili fikra zako la sivyo ni hasara kwa familia yakoFunga kopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badili fikra zako la sivyo ni hasara kwa familia yakoFunga kopo
Asante kwa ushauriBadili fikra zako la sivyo ni hasara kwa familia yako
Uchawi na ushirikina hakuna tofauti yoyote, uchawi ni neno la kibantu na ushirikina limetoholewa kutoka katika lugha ya kiarabu (shirk). yote yanajaribu kuelezea possibility ya kufanya vitu kwa njia isiyo ya kawaidaDemi anaefanya hivyo huyo sio mchawi huyo ni mshirikina
Emu jua kuwatofautisha hawa watu wawili wewe unajichanganya sana, kuna mchawi na pia kuna mshirikina, sasa huyo unaemzungumzia hapo sio mchawi huyo ni mshirikina, kuna tofauti kubwa kati ya uchawi na ushirikina
Kuelewa itakua ni ngumu sana km hauwezi kutofautisha kipi ni kipi na kipi ni kipi
Lakini wanaweza kuchukua pesa kishirikina kwa njia ya chuma uleteHaiwezekani..coz uchawi ni spirutal works..na uchawi unaathiri vitu vinavoweza ku-exist spiritually only..and not otherwise..money in the banks does not exist spiritually..
Nje ya mada nina swali. Kuna uhusiano wowote usiku nikamuota adui wangu. Halafu siku hiohio nikafikwa na baya( hapa naongelea nishaota zaidi ya mara 7 na mara hizi zote huishia siku yangu kuharibikiwa kazini kwangu).Hasa kama akisema Anamwamini Mungu lakini haamini katika uwepo wa uchawi
Kwa ninavyoelewa kuhsu ndoto.Nje ya mada nina swali. Kuna uhusiano wowote usiku nikamuota adui wangu. Halafu siku hiohio nikafikwa na baya( hapa naongelea nishaota zaidi ya mara 7 na mara hizi zote huishia siku yangu kuharibikiwa kazini kwangu).
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Hilo ni darasa pana, wewe uliezoea kukuza ubongo huwezi kujua tofauti ilipo alafu soma vizuri nilichokiandika usisome kwa kukurupuka,Uchawi na ushirikina hakuna tofauti yoyote, uchawi ni neno la kibantu na ushirikina limetoholewa kutoka katika lugha ya kiarabu (shirk). yote yanajaribu kuelezea possibility ya kufanya vitu kwa njia isiyo ya kawaida
Toa definition ya uchawi na ushirikinaHilo ni darasa pana, wewe uliezoea kukuza ubongo huwezi kujua tofauti ilipo alafu soma vizuri nilichokiandika usisome kwa kukurupuka,
Nmesema uchawi sio ushirikina ila ili ushirikina uwepo uchawi lazima uhusike, sasa uchawi ni nini na ushirikina ni nini hayo ni maelezo mengi
Nipe tofauti kati ya hivi vitatu magic, magick and witch craft
Naona jinsi ubongo wako ulivyokakamaa jambo hilo huwezi kulielewa katu kamwe yaan ubongo wako umeshakakamaa hautaki kuelewa kabisa,
Nimekuuliza swali hapoToa definition ya uchawi na ushirikina
Kama mtu anaweza kuzipata pesa kwa ushirikina inakuaje ashindwe kuniibia kwa njia hyo hyo ya ushirikinA mkuu...?Na wewe unaamini mtu anaweza kukuibia pesa kwa ushirikina?
SijuiNimekuuliza swali hapo
Nipe tofauti ya magic, magick and witch craft km haujui sema sijui usikaze ubongo kujitia ujuaji
Kansa hata vitabu vya dini vinasema uchawi upo yy anakataajeHasa kama akisema Anamwamini Mungu lakini haamini katika uwepo wa uchawi
Nafikiri watu wanaangamia kwa kukosa maarifa hayo unayosema mazingaombwe so uchawi?? Na kama sio uchawi hebu fanya na wewe hayo mazingaombwe ili tuproove kwamba so uchawii... Kuna mazingaombwe ya kichawi niliwahi kuyaona mwaka 2012 nikikuhadithia hapa hutoamini kwa kuwa umejengeka kutoamini uchawi.. Wachungaji wenyewe makanisani wanakiri kwamba uchawi upo na wengine hadi wanataja vijiji ulipokithiriMimi nakazia ni wajinga ndio.
Na kusingizia kwamba uchawi wetu huu tunaofundishana humu eti umezungumzwa mpaka kwenye vitabu vitakaatifu ni ujinga mara mbili yake.
Neno uchawi na mchawi linalozungumziwa kwenye kitabu takatifu cha biblia, halina maana ya huu uchawi tunaoaminisha humu wa sijui kupaa na ungo usiku, sijui kuingia ndani bila kuonekana au kinyumenyume au kugeuzana misukule na kwenda kulima mashamba, neno uchawi ndani ya biblia halina maana hiyo. Kwa lugha asili za biblia naweza kusema wachawi wanaozungumzwa kwenye biblia ni wanamazingaombwe na sio hawa wetu wa sijui kurogana, kupaa na ungo nk
Kwa hio unapinga kitu ambacho haukijui,Sijui
Hapa mkuu unachanganya vitu viwili vitu vya kiroho na vya kawaida nikiwa na maana hiii ulinzi wa camera na walinzi unakuwepo kwa ajili ya wezi na majambaziSasa kama bank wanajenga kwa uchawi na kafara kwanini wanaweka ulinzi na ma camera? Kwanini wasitumie uchawi kulinda mali zao?