Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Uchawi na ushirikina hakuna tofauti yoyote, uchawi ni neno la kibantu na ushirikina limetoholewa kutoka katika lugha ya kiarabu (shirk). yote yanajaribu kuelezea possibility ya kufanya vitu kwa njia isiyo ya kawaida
 
Haiwezekani..coz uchawi ni spirutal works..na uchawi unaathiri vitu vinavoweza ku-exist spiritually only..and not otherwise..money in the banks does not exist spiritually..
Lakini wanaweza kuchukua pesa kishirikina kwa njia ya chuma ulete
 
Hasa kama akisema Anamwamini Mungu lakini haamini katika uwepo wa uchawi
Nje ya mada nina swali. Kuna uhusiano wowote usiku nikamuota adui wangu. Halafu siku hiohio nikafikwa na baya( hapa naongelea nishaota zaidi ya mara 7 na mara hizi zote huishia siku yangu kuharibikiwa kazini kwangu).
 
Jina lako linaonyesha umesoma Biology miongoni kwa masomo nlokuwa nayeweza ila nlipuuza (sijajuaga kwa nini)
Sema endelea kupambana safari bado ipo ndefu utakuja unalia lia hapa JF,
Matumizi mabaya ya pesa siezi laumu uchawi ila
......what the force behind?
 
Nje ya mada nina swali. Kuna uhusiano wowote usiku nikamuota adui wangu. Halafu siku hiohio nikafikwa na baya( hapa naongelea nishaota zaidi ya mara 7 na mara hizi zote huishia siku yangu kuharibikiwa kazini kwangu).
Kwa ninavyoelewa kuhsu ndoto.
Ndoto ni matokeo ya ubongo kujikarabati. Kwenye ubongo Kuna mawimbi yanahusika na kumbukumbu ambayo Yapo slow sana.
hivyo ukitumia muda mwingi kufikiria, ndivyo hayo mawimbi Yana take too long time kuchakata fikra zako.
Kwahiyo ukienda kulala hayo mawimbi yanaendelea kufanya kazi na ndiyo sababu ya kupata ndoto.
Kwamfano kwa situation uliyokuwa nayo jaribu kufanya experiment ya kuangalia mpira na kufatilia habari za michezo kuanzia asubuhi Hadi jion, au jaribu kuangalia video za ngono (just experiment) kwa karibu siku nzima, then chunguza aina ya ndoto utakazoota, utakuta zinashadadia sana na kitu ulichotumia muda mrefu kukiwaza
 
Hiyo namba 4 ya Bundi fanya upya utafiti huna taarifa sahihi.
Na log OFF.
 
Uchawi na ushirikina hakuna tofauti yoyote, uchawi ni neno la kibantu na ushirikina limetoholewa kutoka katika lugha ya kiarabu (shirk). yote yanajaribu kuelezea possibility ya kufanya vitu kwa njia isiyo ya kawaida
Hilo ni darasa pana, wewe uliezoea kukuza ubongo huwezi kujua tofauti ilipo alafu soma vizuri nilichokiandika usisome kwa kukurupuka,

Nmesema uchawi sio ushirikina ila ili ushirikina uwepo uchawi lazima uhusike, sasa uchawi ni nini na ushirikina ni nini hayo ni maelezo mengi

Nipe tofauti kati ya hivi vitatu magic, magick and witch craft

Naona jinsi ubongo wako ulivyokakamaa jambo hilo huwezi kulielewa katu kamwe yaan ubongo wako umeshakakamaa hautaki kuelewa kabisa,
 
Toa definition ya uchawi na ushirikina
 
Nafikiri watu wanaangamia kwa kukosa maarifa hayo unayosema mazingaombwe so uchawi?? Na kama sio uchawi hebu fanya na wewe hayo mazingaombwe ili tuproove kwamba so uchawii... Kuna mazingaombwe ya kichawi niliwahi kuyaona mwaka 2012 nikikuhadithia hapa hutoamini kwa kuwa umejengeka kutoamini uchawi.. Wachungaji wenyewe makanisani wanakiri kwamba uchawi upo na wengine hadi wanataja vijiji ulipokithiri
 
Kwa hio unapinga kitu ambacho haukijui,

Shirk ni neno la kiarabu lenye maana jumuishi ya uchawi au ushirikina ila uchawi na ushirikina vinatofautiana

Magick & Magic ni kitu kimoja, huu ni uchawi ambao hutumia nguvu za asili (super natural powers) zinazokuzunguka kuleta mrejesho

Witch craft ni ushirikina ambao hauwezi kufanyika bila kuambana na uchawi (magic) ila hufanyika kwa lengo la kuwadhulu watu au kumdhulu mtu fulani kwa sababu fulani

Ushaelewa hapo au bado umekaza ubongo yaan bado ubongo wako umekakamaa huelewielewi
 
Sasa kama bank wanajenga kwa uchawi na kafara kwanini wanaweka ulinzi na ma camera? Kwanini wasitumie uchawi kulinda mali zao?
Hapa mkuu unachanganya vitu viwili vitu vya kiroho na vya kawaida nikiwa na maana hiii ulinzi wa camera na walinzi unakuwepo kwa ajili ya wezi na majambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…