Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Trevor Noah anasimulia kuwa wakati mdogo alijisaidia haja kubwa ndani sababu ya kushindwa kwenda choo cha nje mvua inanyesha. Bibi yake alipoona kinyesi kile akafikia conclusion kuwa ni masuala ya kichawi.Akaita na wengine wakaanza kuomba na kukemea jambo lile, na Trevor naye akaunganishwa katika maombi hayo. Sasa kama haya hili siyo ujinga ni nini?
Ndugu Wewe Unaamini Kuna Mungu?
 
Noja niwasaidie kidogo wavivu wa kufikiri na wabwatukaji, uchawi upo tena sana.

Uchawi ni swala la ulimwengu wa kiroho ambao binadamu hauwezi kuona kwa macho ya kawaida, nguvu za kiroho zinaonekana kwa jicho la tatu “third eye”

Swala la kusema mbona mchawi hawezi kuiba bank ni ufinyu wa kufikiri wa hali ya chini, na nikuambie tu hata leo mchawi akiingia ndani kwako hawezi kuiba hata mia yako

Kuna nguvu zimewekwa na wamiliki wa hizo pesa duniani kote, ndio maana unaona ni za moto hazishikiki na mchawi yoyote, Mungu hakushusha mapipa ya pesa duniani wala hakutengeneza bali tumezikuta, hivyo tambua pesa ina wamiliki wake wa hapa hapa duniani, hawashikiki na ndo watu wanaoongoza hii dunia, mwenye upeo mkubwa amenielewa.

Swala la mbona mchawi hawezi kuzamia nchi za nje pia ni umbumbumbu wa hali ya juu, kila eneo duniani lina watawala wake mangi ndio maana ww leo hii hauwezi kwenda kenya,south,canada,america bila kuwa na vibali, lasiivyo utaumia

Kila anga lina watu wake/wamiliki wachawi hawaruki ovyo ovyo.

Maswala ya kuiba pesa yapo ila ni chuma ulete, mazingaumbwe

Kama ww unaamini katika uwepo wa Mungu basi amini katika uwepo wa uchawi/shetani Maana zote ni nguvu za kiroho ila zina tenda tofauti, moja ina matendo ingine matendo machafu

Ila kama hauamini katika uwepo wa Mungu basi ntaheshimu mawazo yako kwamba uchawi haupo.
Maneno mengi points hamna.
 
Chakuchekesha Wachawi wengi ni masikini wa kiwango cha lami,

Unakuta mtu na Degree yake anaenda kuabudu kwenye kaburi la Babu yake aliyeishia darasa la 4
Eti Babu yake aliyepo Kaburini ambae imebaki mifupa tu ndio amsaidie kutatua matatizo yake huku Duniani.

🤣🤣
Hicho ndio kinachokuja kuongeza wasi wasi zaidi

Eti mchawi anakuja night kwa kupenya kwenye ukuta, mezani kuna kibunda cha maana afu ye wakati huo home kapika mlenda

Lakini cha ajabu anaishia kukukaba na kucheza cheza akiwa uchi bila kuchukua zile pesa


Sasa ukisikiliza hoja za watetea uchawi utaona wengi wanakuambia kuwa pesa haina thamani kwenye ulimwengu wa kichawi na ndio maana mchawi anaweza kuja kwako na kukukaba tu afu pesa akaziacha

Cha ajabu sasa eti mchawi huyo huyo aliyeacha kibunda night alivyokuja kwako, akitoka hapo anakuja kukuibia kwa chuma ulete ofisini kwako

Round hii pesa imekuwa na thamani kwa mchawi?

Tushike lipi sasa?
 
Hicho ndio kinachokuja kuongeza wasi wasi zaidi

Eti mchawi anakuja night kwa kupenya kwenye ukuta, mezani kuna kibunda cha maana afu ye wakati huo home kapika mlenda

Lakini cha ajabu anaishia kukukaba na kucheza cheza akiwa uchi bila kuchukua zile pesa


Sasa ukisikiliza hoja za watetea uchawi utaona wengi wanakuambia kuwa pesa haina thamani kwenye ulimwengu wa kichawi na ndio maana mchawi anaweza kuja kwako na kukukaba tu afu pesa akaziacha

Cha ajabu sasa eti mchawi huyo huyo aliyeacha kibunda night alivyokuja kwako, akitoka hapo anakuja kukuibia kwa chuma ulete ofisini kwako

Round hii pesa imekuwa na thamani kwa mchawi?

Tushike lipi sasa?
Siku ukiwa mtu mzima utaujua huu ulimwengu upoje
 
Unataka kutuaminisha unajua kilakitu?, kwann usikubali kuwa baadhi huvijui na hujawahi kuvishuhudia hadi utakapopata hyo nafasi? Acha ujuaji Idiot 😑
 
Back
Top Bottom