Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Juzi kati nilikuwa nasoma habari za wahindi wekundu walivyokuwa wanapigana na wazungu huko Marekani. Sasa wahindi wale walikuwa wanategemea nyati kama chakula chao, hivyo walikuwa wakiwawinda kwa akili ili wasiishe. Wazungu wao wakawa wanawawinda kupata ngozi, hivyo waliwaua hovyo na kuacha mizoga porini. wahindi wakajianda kwenda kupigana na waharibifu hao. sasa wakaenda kwa mganga wao. mganga akawatengenezea dawa kuwa wakipigwa risasi, risasi zitayeyuka(Kama Kinjeketile tu). walipoenda vitani walipigwa vibaya na wengi wakafa. waliporudi walimghadhabikia sana yule mganga.

Cha ajabu hadi leo kuna watu wanaenda kwa waganga wawape dawa za kuzuia risasi. Haya ni maswala ya watu wajinga.
Boss hii dawa ipo .na nilishawahi tumia na unafanyiwa test kabisa inatakiwa usiwe na hofu tu.endelea kutoamini mzee
 
nina mashaka na umri wako na huna exposure ya maisha,

ila kama una 35+ na una exposure ya maisha na umezunguka kwa utafutaji iwe umepata au umekosa

basi usingekuja kuandika huu utumbo wako hapa,we subiria shemeji apike ugal ule ukabeti
upo sahihi mkuu,mwenyewe mwanzo nilikuwa kama huyu mleta mada ila baada ya kutembea sehem mbali mbali haswa vijijini ndani kabisa niliweza kuona vitu ambavyo nikimwabia mtu ataona fix au movie tu.
 
Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.

1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.

2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.

3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.

4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.

5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.

6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.

7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.

8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.

9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.

10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.

11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!

Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Wewe mwenyewe ndiye mchawi mkubwa ndiyo maana unawadanganya na wengine wasiamini uchawi kumbe wewe ndiye unaua ndugu zako.
 
Sasa mkuu; ni kwa nini wewe hujachukua jukumu la kuthibitisha kwamba uchawi haupo? Unaogopa nini? Jinsi/njia za kuthibitisha zipo nyingi tu na baadhi yake ni kama ifuatavyo:
1. Kuchokoza e.g. chukua mali ya mtu (ardhi, vifaa-kazi)kwa nguvu halafu akilalamika wewe tumia uwezo wako wa kifedha kumnyamazisha labda kumweka ndani/mahabusu au kumtia msukosuko.
2. Kujikweza/kujigamba e.g. Nenda kajenge nyumba nzuri na kuishi hapo maeneo wanayoishi watu wa kiwango cha chini na uwe na katabia ka kuwapuuza/kutowajali hata wakikuijia kwa shida ndogo-ndogo e.g. kuomba maji n.k.
3. Majaribio ya makusudi (Hii itakupa majibu fasta zaidi): Nenda/hudhuria sherehe yoyote halafu utangaze au ukebehi kwa kusema "HAKUNA UCHAWI NA WALA WACHAWI HAWAPO - NI UPUUZI MTUPU HUO" ukimaliza kusema hivyo jiendee zako nyumbani. Unaweza kurudia tena siku nyingine na mahali pengine ukipenda kama utakuwa haujapata matokeo.
4.
5.
6.

Unachoongea wewe ni uhalifu. Wahalifu wanatiwa nguvuni, kuchomwa moto au mob justice ya aine yeyote ile. Matter of fact, uhalifu upo zaidi kwa watu maskini, wenye elimu duni na wanaoamini sana story za uchawi na/au miujiza ya Mungu kuliko ushuani. Ingekua uchawi una nguvu uhalifu ungekua umeisha zamani sana.

Binafsi nishaomba mara kibao hapa hapa jukwani nirogwe nipotee kabisa nisirudi JF ila hadi leo nadunda tu, kama wewe unawajua wataalam waambie wanitengeneze tuokoe nguvu na muda. Huwa hamkosi sababu za kukwepa.
 
Chuma ulete ipo ila ni uchawi wa kimasikini sana chuma ulete inakusaidia kupata pesa ndogo ndogo tu ambazo huwezi kununua chochote cha maana zaidi ya chakula tena cha kawaida kabisa
Kama ukisoma maandiko vizuri kuna makumi ya aya yanayozungumzia uchawi kama hii kwenye matendo 8: 9-11
Lakini katika mji huo alikuwepo mtu mmoja aitwaye Simoni, ambaye alikuwa mchawi. Kwa muda mrefu alikuwa amewapumbaza na kuwashangaza watu kwa mazingaombwe, akawa anajigamba kuwa yeye ni mtu maarufu. 10 Watu wa tabaka zote, wakubwa kwa wadogo, walivu tiwa sana naye, wakawa wanasema, “Bila shaka mtu huyu ndiye ile nguvu ya Mungu iitwayo ‘Uwezo Mkuu.’ ” 11 Wakamsikiliza kwa makini kwa sababu aliwastaajabisha kwa mazingaombwe yake...
Hata kwenye kitabu cha Hesabu 22, 23, 24, 25 mpaka MUNGU aliamua kufungua kinywa cha punda
 
Noja niwasaidie kidogo wavivu wa kufikiri na wabwatukaji, uchawi upo tena sana.

Uchawi ni swala la ulimwengu wa kiroho ambao binadamu hauwezi kuona kwa macho ya kawaida, nguvu za kiroho zinaonekana kwa jicho la tatu “third eye”

Swala la kusema mbona mchawi hawezi kuiba bank ni ufinyu wa kufikiri wa hali ya chini, na nikuambie tu hata leo mchawi akiingia ndani kwako hawezi kuiba hata mia yako

Kuna nguvu zimewekwa na wamiliki wa hizo pesa duniani kote, ndio maana unaona ni za moto hazishikiki na mchawi yoyote, Mungu hakushusha mapipa ya pesa duniani wala hakutengeneza bali tumezikuta, hivyo tambua pesa ina wamiliki wake wa hapa hapa duniani, hawashikiki na ndo watu wanaoongoza hii dunia, mwenye upeo mkubwa amenielewa.

Swala la mbona mchawi hawezi kuzamia nchi za nje pia ni umbumbumbu wa hali ya juu, kila eneo duniani lina watawala wake mangi ndio maana ww leo hii hauwezi kwenda kenya,south,canada,america bila kuwa na vibali, lasiivyo utaumia

Kila anga lina watu wake/wamiliki wachawi hawaruki ovyo ovyo.

Maswala ya kuiba pesa yapo ila ni chuma ulete, mazingaumbwe

Kama ww unaamini katika uwepo wa Mungu basi amini katika uwepo wa uchawi/shetani Maana zote ni nguvu za kiroho ila zina tenda tofauti, moja ina matendo ingine matendo machafu

Ila kama hauamini katika uwepo wa Mungu basi ntaheshimu mawazo yako kwamba uchawi haupo.
 
Unajua hata kutojua maana ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
Mshana, umemjibu vizuri sana!
 
Wewe ndo unachanganya. Uwepo wa Wana taaluma au wanaoamini uwepo wa uchawi hakufanyi uchawi wenyewe kuwepo.

Uchawi/nguvu za giza/ushirikina/wanga whatever you call it haupo. Sijui mtu kufufuka, sijui misukule, kupaa na ungo, kunyonya damu kimiujiza nk hakupo. Ila wanaoamini hizo story wapo sababu wajinga wanazaliwa Kila siku.
Unaamini katika dini kati ya ukristo au uislamu?
 
Unachoongea wewe ni uhalifu. Wahalifu wanatiwa nguvuni, kuchomwa moto au mob justice ya aine yeyote ile. Matter of fact, uhalifu upo zaidi kwa watu maskini, wenye elimu duni na wanaoamini sana story za uchawi na/au miujiza ya Mungu kuliko ushuani. Ingekua uchawi una nguvu uhalifu ungekua umeisha zamani sana.

Binafsi nishaomba mara kibao hapa hapa jukwani nirogwe nipotee kabisa nisirudi JF ila hadi leo nadunda tu, kama wewe unawajua wataalam waambie wanitengeneze tuokoe nguvu na muda. Huwa hamkosi sababu za kukwepa.
Unaamini katika dini kati ya ukristo na uislamu?
 
Noja niwasaidie kidogo wavivu wa kufikiri na wabwatukaji, uchawi upo tena sana.

Uchawi ni swala la ulimwengu wa kiroho ambao binadamu hauwezi kuona kwa macho ya kawaida, nguvu za kiroho zinaonekana kwa jicho la tatu “third eye”

Swala la kusema mbona mchawi hawezi kuiba bank ni ufinyu wa kufikiri wa hali ya chini, na nikuambie tu hata leo mchawi akiingia ndani kwako hawezi kuiba hata mia yako

Kuna nguvu zimewekwa na wamiliki wa hizo pesa duniani kote, ndio maana unaona ni za moto hazishikiki na mchawi yoyote, Mungu hakushusha mapipa ya pesa duniani wala hakutengeneza bali tumezikuta, hivyo tambua pesa ina wamiliki wake wa hapa hapa duniani, hawashikiki na ndo watu wanaoongoza hii dunia, mwenye upeo mkubwa amenielewa.

Swala la mbona mchawi hawezi kuzamia nchi za nje pia ni umbumbumbu wa hali ya juu, kila eneo duniani lina watawala wake mangi ndio maana ww leo hii hauwezi kwenda kenya,south,canada,america bila kuwa na vibali, lasiivyo utaumia

Kila anga lina watu wake/wamiliki wachawi hawaruki ovyo ovyo.

Maswala ya kuiba pesa yapo ila ni chuma ulete, mazingaumbwe

Kama ww unaamini katika uwepo wa Mungu basi amini katika uwepo wa uchawi/shetani Maana zote ni nguvu za kiroho ila zina tenda tofauti, moja ina matendo ingine matendo machafu

Ila kama hauamini katika uwepo wa Mungu basi ntaheshimu mawazo yako kwamba uchawi haupo.

Umeandika pumba za kiwango Cha PhD. Na wewe unajiita great thinker 🤣🤣
 
Sasa mkuu; ni kwa nini wewe hujachukua jukumu la kuthibitisha kwamba uchawi haupo? Unaogopa nini? Jinsi/njia za kuthibitisha zipo nyingi tu na baadhi yake ni kama ifuatavyo:
1. Kuchokoza e.g. chukua mali ya mtu (ardhi, vifaa-kazi)kwa nguvu halafu akilalamika wewe tumia uwezo wako wa kifedha kumnyamazisha labda kumweka ndani/mahabusu au kumtia msukosuko.
2. Kujikweza/kujigamba e.g. Nenda kajenge nyumba nzuri na kuishi hapo maeneo wanayoishi watu wa kiwango cha chini na uwe na katabia ka kuwapuuza/kutowajali hata wakikuijia kwa shida ndogo-ndogo e.g. kuomba maji n.k.
3. Majaribio ya makusudi (Hii itakupa majibu fasta zaidi): Nenda/hudhuria sherehe yoyote halafu utangaze au ukebehi kwa kusema "HAKUNA UCHAWI NA WALA WACHAWI HAWAPO - NI UPUUZI MTUPU HUO" ukimaliza kusema hivyo jiendee zako nyumbani. Unaweza kurudia tena siku nyingine na mahali pengine ukipenda kama utakuwa haujapata matokeo.
4.
5.
6.
Very substandard IQ
 
Noja niwasaidie kidogo wavivu wa kufikiri na wabwatukaji, uchawi upo tena sana.

Uchawi ni swala la ulimwengu wa kiroho ambao binadamu hauwezi kuona kwa macho ya kawaida, nguvu za kiroho zinaonekana kwa jicho la tatu “third eye”

Swala la kusema mbona mchawi hawezi kuiba bank ni ufinyu wa kufikiri wa hali ya chini, na nikuambie tu hata leo mchawi akiingia ndani kwako hawezi kuiba hata mia yako

Kuna nguvu zimewekwa na wamiliki wa hizo pesa duniani kote, ndio maana unaona ni za moto hazishikiki na mchawi yoyote, Mungu hakushusha mapipa ya pesa duniani wala hakutengeneza bali tumezikuta, hivyo tambua pesa ina wamiliki wake wa hapa hapa duniani, hawashikiki na ndo watu wanaoongoza hii dunia, mwenye upeo mkubwa amenielewa.

Swala la mbona mchawi hawezi kuzamia nchi za nje pia ni umbumbumbu wa hali ya juu, kila eneo duniani lina watawala wake mangi ndio maana ww leo hii hauwezi kwenda kenya,south,canada,america bila kuwa na vibali, lasiivyo utaumia

Kila anga lina watu wake/wamiliki wachawi hawaruki ovyo ovyo.

Maswala ya kuiba pesa yapo ila ni chuma ulete, mazingaumbwe

Kama ww unaamini katika uwepo wa Mungu basi amini katika uwepo wa uchawi/shetani Maana zote ni nguvu za kiroho ila zina tenda tofauti, moja ina matendo ingine matendo machafu

Ila kama hauamini katika uwepo wa Mungu basi ntaheshimu mawazo yako kwamba uchawi haupo.
Unaandika ujinga tena kwa kufokaa?
 
Mitaa niliyokulia inasifika kwa uchawi mji mzima. Yaani ndiyo top ukitaja uchawi mji mzima. Na mji niliokulia una sifa za kutosha kuhusu uchawi. Lakini sijawahi kuona huo uchawi. Zaidi zaidi ni watu kushutumiana.
Wewe Pia Ni Mchawi Usiyejimbua.
Wapo watu wanaotenda uchawi na hawajui ila Jamii Ndiyo Huwa Zinawajua niwa Chawi.wewe utakuwa Mmoja Wapo.Na siku zote Watu wanaokataa kuwa Uchawi Haupo Lkn Wanakubali Kuna Mungu.Basi Hao Watu Moja Kwa Moja Niwa Chawi.Nilishakutana Nao Kwahiyo Sikushangai.
 
Back
Top Bottom