Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Mhhh. Nadhani ujinga uliokubuhu ni ule wa kuona kwamba wale wanaoamini uwepo wa Uchawi ni wajinga. (yaani wewe unajiona ndo una akili). Hebu jiulize kidogo; Hivi watu weeengi kiasi hicho(wazee,vijana, wasomi, viongozi wa kiimani, misahafu..) waseme uchawi upo halafu wewe mtu mmoja unanga'ngania kusema uchawi haupo na mbaya zaidi kuwaita watu hao ni wajinga inakuwaje? Mm nafikiri ungelitulia kwanza mahali, ukatafakari kwa kina kisha uanze kufuatilia ukweli wa hicho wanachokiamini(Uchawi) na kinatendaje kazi. Fanya marejeo katika vitabu/maandiko (hata kama vikiwemo vile vya dini), ongea au fanya utafiti na watu - wazee kwa vijana(hata kama ni viongozi wa dini au wasomi maarufu) halafu mwisho pitia matukio mbalimbali ya kweli yaliyotokea na visababishi vyake then Uje kutoa mrejesho hapa. Kwa mfano ni sawa na Ukiambiwa kuna simba Serengeti usiseme eti kwa kuwa hujamwona basi hayupo. Kutokuamini kwako hakutaondoa uwepo wa simba Serengeti. Vivyo hivyo kutokuamini kwako kwamba uchawi upo hakutabatilisha uwepo wa uchawi duniani. Siku ukikamatika ndio utajua ulikuwa hujui na hauamini. Hapo ndo itakuwa kusikia kwa kenge ni damu masikioni.
Mkuu umemaliza kitu case closed kama hajaelewa huu ujumbe huyo jamaa atakuwa ni takataka ya kuzimu
 
Unajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
Huyu jamaa atafika akiwa amechoka sana.
 
Daah watu wakisoma na kupata vyeti vya kucopy assignment na ufaulu wa mchongo hujifanya wanajua kila kitu, asee dunia imekutangulia, nikikumbuka tukio alilopigwa mpenzi wngu nachelea kusema ukue kwanza😭😭
Alikutapeli na kukudanganya huyo mpenzi wako
 
Ngozi nyeupe ilivyopumbaza akina sisi Hadi kuaminishwa matukio Fulani ni sayansi ila deep down Ni pure occultism.
Unataka kuuona vizuri nenda kwenye Soka,Mziki, Biashara na Siasa.
Kama tungekuwa kuna uchawi mpirani leo timu za Africa zingekuwa na mafanikio kuliko za ngozi nyeupe. Na hata kibiasharq na muziki weusi wangekuwa na mafanikio zaidi.
 
Mhhh. Nadhani ujinga uliokubuhu ni ule wa kuona kwamba wale wanaoamini uwepo wa Uchawi ni wajinga. (yaani wewe unajiona ndo una akili). Hebu jiulize kidogo; Hivi watu weeengi kiasi hicho(wazee,vijana, wasomi, viongozi wa kiimani, misahafu..) waseme uchawi upo halafu wewe mtu mmoja unanga'ngania kusema uchawi haupo na mbaya zaidi kuwaita watu hao ni wajinga inakuwaje? Mm nafikiri ungelitulia kwanza mahali, ukatafakari kwa kina kisha uanze kufuatilia ukweli wa hicho wanachokiamini(Uchawi) na kinatendaje kazi. Fanya marejeo katika vitabu/maandiko (hata kama vikiwemo vile vya dini), ongea au fanya utafiti na watu - wazee kwa vijana(hata kama ni viongozi wa dini au wasomi maarufu) halafu mwisho pitia matukio mbalimbali ya kweli yaliyotokea na visababishi vyake then Uje kutoa mrejesho hapa. Kwa mfano ni sawa na Ukiambiwa kuna simba Serengeti usiseme eti kwa kuwa hujamwona basi hayupo. Kutokuamini kwako hakutaondoa uwepo wa simba Serengeti. Vivyo hivyo kutokuamini kwako kwamba uchawi upo hakutabatilisha uwepo wa uchawi duniani. Siku ukikamatika ndio utajua ulikuwa hujui na hauamini. Hapo ndo itakuwa kusikia kwa kenge ni damu masikioni.
Kuna kanuni tano za ujinga. Moja inaeema kuwa ujinga wa mtu hautegemei status yake. Kuna wasomi, wazee na watu mashuhuri wajinga. Wajinga wametawanyika sawa sawa katika jamii.

Mengi yanayoitwa matukio ya kivhawi yanaitwa hivyo sababu ya kushindwa kuyaelewa. Na hawayaelewi sababu ya ujinga. Hata kuna madaktari wajinga, akishindwa jua ugonjwa utasikia anasema labda mambo ya kienyeji
 
Baada ya kugundulika yanatokana na mbu ndiyo mmekuja na explanation kuwa yako mawili. La kurogwa na la mbu?!!!! Ni kawaida kwa mtu mwenye imani ya kijinga anapoambiwa ukweli kutetea kwa nguvu zote. Upo kwenye denial.
kuja na explanation za kigunduzi siyo dhambi!!..... wala tusi!...Sasa km ni kawaida yetu kwa sababu tunajua tatizo letu ni nini, Ubaya wetu uko wapi hapo? ...hata ''Denial'' siyo tusi wala dhambi kasome tena!

tunatetea kwa nguvu zote kwa sababu sisi km sisi! tunajua kuwa tunajua! hakuna amri Duniani inayosema kujua ni dhambi!
 
kuja na explanation za kigunduzi siyo dhambi!!..... wala tusi!...Sasa km ni kawaida yetu kwa sababu tunajua tatizo letu ni nini, Ubaya wetu uko wapi hapo? ...hata ''Denial'' siyo tusi wala dhambi kasome tena!

tunatetea kwa nguvu zote kwa sababu sisi km sisi! tunajua kuwa tunajua! hakuna amri Duniani inayosema kujua ni dhambi!
Hata kipindupindu baada ya chanzo chake kujulikana watu wanasema, "Kuna cha kurogwa na cha kuumwa kweli." Hii hutokea sana wajinga wakikabili ukweli.
 
Kuna kanuni tano za ujinga. Moja inaeema kuwa ujinga wa mtu hautegemei status yake. Kuna wasomi, wazee na watu mashuhuri wajinga. Wajinga wametawanyika sawa sawa katika jamii.

Mengi yanayoitwa matukio ya kivhawi yanaitwa hivyo sababu ya kushindwa kuyaelewa. Na hawayaelewi sababu ya ujinga. Hata kuna madaktari wajinga, akishindwa jua ugonjwa utasikia anasema labda mambo ya kienyeji
Wewe ni ng'ombe uliyetoroka zizini harafu unajifanya unajua wakati wewe ni mjinga wa kiwango Cha PhD
 
Hajui ya kwamba Uchawi sio ujinga bali ujinga uko kwenye kukosa maarifa juu ya uchawi
Inaonekana amejiaminisha kabisa-kabisa kwenye mambo ya Vinavyoonekana (Physics,Chemistry, Biology na Utendaji wake n.k.)lakini visivyoonekana(Ulimwengu wa Roho) anavikataa kataa-kata.. Sasa sijui kama anaamini uwepo wa mapepo, malaika, majini, Shetani, Mungu na Roho mbalimbali e.g. za mababu zake, marafiki, ndugu na jamaa waliotangulia mbele za Haki.
Amepungukiwa sana na uelewa juu ya Uwepo wa Upande wa pili na Utendaji wake.
 
Hata kipindupindu baada ya chanzo chake kujulikana watu wanasema, "Kuna cha kurogwa na cha kuumwa kweli." Hii hutokea sana wajinga wakikabili ukweli.
cholera, Hiv, kimeta, COVID nk, ni magonjwa yaliyo tengenezwa kwenye Maabara za kizungu! na bado mtegemee mengi zaidi ni wazi hukusoma!..wajua kwa nini walifanya hivo??
 
Kuna kanuni tano za ujinga. Moja inaeema kuwa ujinga wa mtu hautegemei status yake. Kuna wasomi, wazee na watu mashuhuri wajinga. Wajinga wametawanyika sawa sawa katika jamii.

Mengi yanayoitwa matukio ya kivhawi yanaitwa hivyo sababu ya kushindwa kuyaelewa. Na hawayaelewi sababu ya ujinga. Hata kuna madaktari wajinga, akishindwa jua ugonjwa utasikia anasema labda mambo ya kienyeji
Kama ndio hivyo basi wewe utakuwa mjinga kuliko wale unaowaita ni wajinga kwa sababu umeshindwa kubaini ni kwa nini wao ni wajinga.
Madaktari wanalijua fika suala hilo na anapokuambialabda ni mambo ya kienyeji anamaanisha katumie tiba mbadala i.e. Mitishamba. Unaenda kuipata wapi hilo ni shauri lako. Zingatia hata pale Muhimbili kipo kitengo cha namna hiyo.
 
Kama ndio hivyo basi wewe utakuwa mjinga kuliko wale unaowaita ni wajinga kwa sababu umeshindwa kubaini ni kwa nini wao ni wajinga.
Mtu anayeamini kipindupindu kinatokana na kurogwa, au kuna majini huwa yanajibanza chooni siyo kazi kubwa kumtambua kuwa ni mjinga.
 
Back
Top Bottom