Ndugu Wewe Unaamini Kuna Mungu?Trevor Noah anasimulia kuwa wakati mdogo alijisaidia haja kubwa ndani sababu ya kushindwa kwenda choo cha nje mvua inanyesha. Bibi yake alipoona kinyesi kile akafikia conclusion kuwa ni masuala ya kichawi.Akaita na wengine wakaanza kuomba na kukemea jambo lile, na Trevor naye akaunganishwa katika maombi hayo. Sasa kama haya hili siyo ujinga ni nini?
Anaekataa uchawi haupo nae ni mchawi.Mbona mnamtukana mtoa mada?
Mmekasirika kabisa mishipa imewatoka. Nyie ni wachawi
Maneno mengi points hamna.Noja niwasaidie kidogo wavivu wa kufikiri na wabwatukaji, uchawi upo tena sana.
Uchawi ni swala la ulimwengu wa kiroho ambao binadamu hauwezi kuona kwa macho ya kawaida, nguvu za kiroho zinaonekana kwa jicho la tatu “third eye”
Swala la kusema mbona mchawi hawezi kuiba bank ni ufinyu wa kufikiri wa hali ya chini, na nikuambie tu hata leo mchawi akiingia ndani kwako hawezi kuiba hata mia yako
Kuna nguvu zimewekwa na wamiliki wa hizo pesa duniani kote, ndio maana unaona ni za moto hazishikiki na mchawi yoyote, Mungu hakushusha mapipa ya pesa duniani wala hakutengeneza bali tumezikuta, hivyo tambua pesa ina wamiliki wake wa hapa hapa duniani, hawashikiki na ndo watu wanaoongoza hii dunia, mwenye upeo mkubwa amenielewa.
Swala la mbona mchawi hawezi kuzamia nchi za nje pia ni umbumbumbu wa hali ya juu, kila eneo duniani lina watawala wake mangi ndio maana ww leo hii hauwezi kwenda kenya,south,canada,america bila kuwa na vibali, lasiivyo utaumia
Kila anga lina watu wake/wamiliki wachawi hawaruki ovyo ovyo.
Maswala ya kuiba pesa yapo ila ni chuma ulete, mazingaumbwe
Kama ww unaamini katika uwepo wa Mungu basi amini katika uwepo wa uchawi/shetani Maana zote ni nguvu za kiroho ila zina tenda tofauti, moja ina matendo ingine matendo machafu
Ila kama hauamini katika uwepo wa Mungu basi ntaheshimu mawazo yako kwamba uchawi haupo.
Hadi aibuVery substandard IQ
Hicho ndio kinachokuja kuongeza wasi wasi zaidiChakuchekesha Wachawi wengi ni masikini wa kiwango cha lami,
Unakuta mtu na Degree yake anaenda kuabudu kwenye kaburi la Babu yake aliyeishia darasa la 4
Eti Babu yake aliyepo Kaburini ambae imebaki mifupa tu ndio amsaidie kutatua matatizo yake huku Duniani.
🤣🤣
Wakristo mnakufuru sana ninyi,hivi hamuna hofu na mwenye hii dunia?Hapana. Hizo story mlizoletewa kwa viboko na mijeredi mnazoendelea kuzikumbatia Hadi Leo bakini nazo.
Siku ukiwa mtu mzima utaujua huu ulimwengu upojeHicho ndio kinachokuja kuongeza wasi wasi zaidi
Eti mchawi anakuja night kwa kupenya kwenye ukuta, mezani kuna kibunda cha maana afu ye wakati huo home kapika mlenda
Lakini cha ajabu anaishia kukukaba na kucheza cheza akiwa uchi bila kuchukua zile pesa
Sasa ukisikiliza hoja za watetea uchawi utaona wengi wanakuambia kuwa pesa haina thamani kwenye ulimwengu wa kichawi na ndio maana mchawi anaweza kuja kwako na kukukaba tu afu pesa akaziacha
Cha ajabu sasa eti mchawi huyo huyo aliyeacha kibunda night alivyokuja kwako, akitoka hapo anakuja kukuibia kwa chuma ulete ofisini kwako
Round hii pesa imekuwa na thamani kwa mchawi?
Tushike lipi sasa?
Unaweza kuuthibitisha uchawi?Hakuna mtu mjinga kama asieamini uchawi
Unaweza kuthibitisha uwepo wa mungu?Unaweza kuuthibitisha uchawi?
Umeiacha hoja unamshambulia mtoa hojaSiku ukiwa mtu mzima utaujua huu ulimwengu upoje
Kumshambulia mtoa hoja kwanamna gani?kwahiyo mtu anapoelezwa ukweli ndiko kushambuliwa hii akili fupi ya wapi hii?Umeiacha hoja unamshambulia mtoa hoja
hiyo ni Ad Hominem logical fallacy
CowardsVery substandard IQ
Tofautisha magic na witchcraft, West wapo magicians zaidi ambayo ni mambo ya kucheza na akili tu ya mwanadamu
Sidhani kama atakaa aelewe kwani amekaza shingoNa bado hakuelewa
Mbona unahamisha magoli aisee?.Anayehitaji dawa ya mapenzi asisite kuhitaji msaada kwangu
Ukweli gani? umetumia njia gani kujua mimi sio mtu mzima?Kumshambulia mtoa hoja kwanamna gani?kwahiyo mtu anapoelezwa ukweli ndiko kushambuliwa hii akili fupi ya wapi hii?
Mtu mzima unaamini kuwa kuna watu wanapita ukutani.Unataka kutuaminisha unajua kilakitu?, kwann usikubali kuwa baadhi huvijui na hujawahi kuvishuhudia hadi utakapopata hyo nafasi? Acha ujuaji Idiot 😑
wapi nimesema naweza kuthibitisha?Unaweza kuthibitisha uwepo wa mungu?