999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 758
- 1,372
Si ajabu baada ya huyo sijui mzee wa busara kumpa hizo stori kisha akamchomoa na hela ya Kahawa,hizo busara zake huyo mzee zimeshindwa kumpa maisha mazuri na kupatia mahitaji yake.Ni saikolojia tu. Hakuna habari ya hivyo, hao wazee wa busara wanahangaika na maisha daily.
Hiyo ni imani tuu.Unajua hata kutojua maama ya kitu ni ujinga? Kwa mfano unajua hata wewe ni mjinga kwenye ishu nzima ya uhawi? Maana vyote ulivyoandika hapa ni simulizi za kusikia, kuambiewa na kusoma vitabuni
Uchawi ni dhana pana kuliko hiki ulichoandika hapa na wajinga wako kila mahali sio kwenye uchawi tuu
Mkuu weka hapa ulichojifunza wewe ili na wengine wajifunze kupitia kwako.Hapana mkuu kuna kitu hakipo sawa kwako .......huenda hujaitembea hii tanzania vizuri....tembea ujifunze ya walimwengu
Inashangaza sana huo uchawi unaosemwa ni upo kwa ajili ya uharibifu tuu na kuleta madhara basi.Kumbe wachawi hawana uwezo wa kuiba Bank, inafikirisha sana.
Hawezi kukaa kimya, mpeni maelezo ili kama hajui ajueWe jamaa umeambiwa km hujui kitu kaa kimya. Mambo ya kiroho si vya rahisi rahisi km unavyodhani.
Mambo mengine ni chumvi tu...kama ambavyo watu wanaongeza uongo kwenye vitu vingine vingi..lkn hiyo haiondoi ukweli kwamba Uchawi upo??Ni lakini unaamini kuwa wanyama wanaotembea usiku kama paka na bundi ni wachawi waliojigeuza wanyama?
Labda Mshana Jr atueleze inakuaje wachawi wanashindwa kufika marekani na ungo.Uvhawi ni work done equals to zero, uchawi ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi badala ya kutumia njia hatarishi ya mahi)
Huo ni uzwazwa, ila wapo wanaojigangaUnaamini kwamba unaweza kufanyiwa dawa za kichawi kiasi kwamba ukipigwa risasi haikuingii?
Wewe ni fara wa kiwango cha lami....yaani watu wawili waone tukio moja linalofananaTunaita wenge
nina mashaka na umri wako na huna exposure ya maisha,Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
4. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
7. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
8.Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
9.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
10. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
11. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
12. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Kichwamaji mwingine huyu hapa, tatizo la kujaza matoto ya form One kwenye jukwaa ndio haya sasa,Uvhawi ni work done equals to zero, uchawi ungekuwa unafanya kazi dunia isingekua sehemu salama ya kuishi, kwasababu ukimzingua mtu kidogo tu ushamrog(zaidi ya 50% population wangekuwa vichaa), mabenki yangekuwa yanatangaza hasara tu kilasiku kwasababu ya chumaulete, wazungu wangekuwa wanashangaa kuwaona waafrika wanaongezeka kwa Kasi ya ajabu kwenye nchi zao(kumbe wamepaa na ungo kwenda kwenye nchi badala ya kutumia njia hatarishi ya mahi)
Nimesoma kitabu cha Mwanamalundi. Ni hekaya tu kama hekaya zingine.Huo ni uzwazwa, ila wapo wanaojiganga
Nenda Mwanza utaelezwa kuhusu Ngw'anamalundi (Mwanamalundi) na Power Mabula
Sio story za kutunga, Power Mabula alikua anavuta gari kwa kamba ukielezwa aliyoyafanya Ngw'anamalundi ndio utarukwa na akili kabisa
Anyway somehow nimegundua bado una akili ndogo mambo mengi hauyajui, endelea kujifunza, uchawi (magic) ni zaidi ya simulizi za vita ya maji maji
Kuna tofauti kubwa kati ya UCHAWI na USHIRIKINA usije ukachanganya mafaili kijana
Ingekuwa uwezekano huo upo sidhani kama wale wanaozamia Meli kwenda ulaya na nchi nyingine wangepata shida.Demi unajuaje kuwa hawaendi? [emoji23] kila kitu kina parameters zake na mawasiliano ya kiroho ni tofauti na ya kimwili..
Na wanasema mjinga ni yule anayetia wengine hasara na yeye hapati faida yoyote. Kwa ulivyosema, ishu yote kuhusu uchawi ni ishu ya kijingaInashangaza sana huo uchawi unaosemwa ni upo kwa ajili ya uharibifu tuu na kuleta madhara basi.
Tunashida lukuki chungunzima maji shida, umeme shida, hela haipatikani ila huu ni utatui haya mambo, badala yake unasemwa kutatua mambo ya kijinga tu na kuleta madhara basii
Sasa yeye na wewe unayeamini kuwa radi huwa inataga mayai nani kichwa maji?Kichwamaji mwingine huyu hapa, tatizo la kujaza matoto ya form One kwenye jukwaa ndio haya sasa,
Unaamini kuwa kuna mchawi ana gunia la Narrowbee fly na huwa anawaachia kudhuru watu?nina mashaka na umri wako na huna exposure ya maisha,
ila kama una 35+ na una exposure ya maisha na umezunguka kwa utafutaji iwe umepata au umekosa
basi usingekuja kuandika huu utumbo wako hapa,we subiria shemeji apike ugal ule ukabeti
Sasa Mlinzi atambishia mtu mwenye gari?Wewe ni fara wa kiwango cha lami....yaani watu wawili waone tukio moja linalofanana