Hakuna watu wajinga kama watu wanaoamini habari za kichawi

Haiwezi kua bure pia si kila mtu anaweza kumudu hizo gharama hata uwe billionare na ndio maana hua hawaendi kuiba pesa bank
Nawaza hizo gharama ni kiasi gani hadi washindwe. Watu wanaua ili kupata utajiri na kweli anaupata kama mnavyoamini...ashindwe vipi kuua aende marekani.
 
Mmmh haya
 
Kila kitu katika dunia ya kichawi kinaenda kwa kanuni na utaratibu maalumu,baadhi ya watu wanaamini science katika dunia ya nyama ni matokeo ya science mama yaani uchawi mfano ili upate maji unatakiwa kuwa na Hydrogen +Oxygen kwa uchawi ili kumroga mtu unatakiwa kuwa na nguo yake,jina,unyayo n.k ndio uchanganye na vitu maalumu hizo ni kanuni(formula )ukikosea kanuni hupati jibu sahihi.
 
Nawaza hizo gharama ni kiasi gani hadi washindwe. Watu wanaua ili kupata utajiri na kweli anaupata kama mnavyoamini...ashindwe vipi kuua aende marekani.
Demi anaefanya hivyo huyo sio mchawi huyo ni mshirikina

Emu jua kuwatofautisha hawa watu wawili wewe unajichanganya sana, kuna mchawi na pia kuna mshirikina, sasa huyo unaemzungumzia hapo sio mchawi huyo ni mshirikina, kuna tofauti kubwa kati ya uchawi na ushirikina

Kuelewa itakua ni ngumu sana km hauwezi kutofautisha kipi ni kipi na kipi ni kipi
 
Hii ipo chief, kuna dozi unapewa hakuna siraha inaweza penya mwili wako
Tembea uone.

Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
 
Nilishakuelewa kaka yangu.
Lakini mshirikina si anapewa ujuzi na mchawi. Au na hili sijaelewa?

Basi hii bangi niliyovuta leo feki...si kwa kuyumbisha akili yangu kiasi hiki.
 
Nilishakuelewa kaka yangu.
Lakini mshirikina si anapewa ujuzi na mchawi. Au na hili sijaelewa?

Basi hii bangi niliyovuta leo feki...si kwa kuyumbisha akili yangu kiasi hiki.
Demi kwa kweli hio bangi ulivyovuta imekubangua kweli na utakua haujazimua na nyota

Sasa ipo hivi, mshirikina sio mchawi ila anautumia uchawi kufanya ushirikina, nataka twende taratibu naona wewe nikikupeleka haraka haraka unatoka kapa yaan hauelewi

Niambie kwanza hapo umeelewa au bado ubongo umekakamaa?
 
Nawaza hizo gharama ni kiasi gani hadi washindwe. Watu wanaua ili kupata utajiri na kweli anaupata kama mnavyoamini...ashindwe vipi kuua aende marekani.
Wanaoweza hayo wameenda tulio shindwa tunaenda kila siku kwa kutumia uchawi useful internet
 
I like it slow.. thanks 😅😅.
Nimeelewa haya tuendelee. Lazima kieleweke leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…