Nawaza hizo gharama ni kiasi gani hadi washindwe. Watu wanaua ili kupata utajiri na kweli anaupata kama mnavyoamini...ashindwe vipi kuua aende marekani.Haiwezi kua bure pia si kila mtu anaweza kumudu hizo gharama hata uwe billionare na ndio maana hua hawaendi kuiba pesa bank
Subili ukue kwanza mtoto mzuriWe umekuwa ndiyo ukaamini kuna wachawi wanatuma nyuki kuuma watu?
Mmmh hayaBado umekaza ubongo Demi
Nimesema kwamba wachawi utajiri wao sio pesa tunazotumia mimi na wewe, kwetu sisi mimi na wewe pesa ndio nguvu, ila utajiri wa wachawi upo katika nguvu za Imani yao sio haya makaratasi (fedha/pesa) kwao haya makaratasi sio chochote sio lolote ndio maana hauwakuti wameenda kukwapua bank na uchawi wa hivyo haupo maana Imani yao haiwaambii kua utajiri wao ni haya makaratasi,
Na pia umesema kwamba kuna watu wana utajiri wa kichawi narudia utajiri wa kichawi sio pesa unazozishika, yes wapo nakubariana nawe lakini sio wa kuiba bank ni wa kujishughulisha na kufanya kazi km binadamu wengine sio kufanya kazi kichawi,
Akihitaji kua na maendeleo lazima atajishughulisha ili apate pesa ila sio kwenda kuiba pesa bank kichawi
Na sio kwamba akiwa na pesa basi huo ndio utajiri wake hapana utajiri kwake km kweli yeye ni mchawi utajiri wake sio haya makaratasi
Unaamini kuna majini mapervert yanajificha chooni yakivizia watu yawadhuru?Subil ukue w bado sana
We na utu uzima wako unaamini kuna mtu anatuma mamba? Kwamba mifupa ya albino inaweza kukupa mafanikio? Kama ndiyo kukua huko bora nisikue maana nitakuwa mjinga first class.Subili ukue kwanza mtoto mzuri
Mim siwez muaminisha mtu kwamba uchawi upo. Ila siku ukutane na uchawi wenyewe utakuja hapa kueleza.Unaamini kuna majini mapervert yanajificha chooni yakivizia watu yawadhuru?
Kila kitu katika dunia ya kichawi kinaenda kwa kanuni na utaratibu maalumu,baadhi ya watu wanaamini science katika dunia ya nyama ni matokeo ya science mama yaani uchawi mfano ili upate maji unatakiwa kuwa na Hydrogen +Oxygen kwa uchawi ili kumroga mtu unatakiwa kuwa na nguo yake,jina,unyayo n.k ndio uchanganye na vitu maalumu hizo ni kanuni(formula )ukikosea kanuni hupati jibu sahihi.Kumbe unajua kueleza vizuri sasa ukaleta mambo ya technology ukachanganya mambo.
Unasemaje utajiri wa kichawi ni pesa ndogo elf 10, 20 wakati tunaonyeshwa matajiri ambao mnasema wanatumia uchawi?
Watu wanapata utajiri kichawi. Iweje useme utajiri wa kichawi ni wa pesa ndogo.
Ww nakwambia ww tulia tu mdg angu utayaona mengi ukikuaWe na utu uzima wako unaamini kuna mtu anatuma mamba? Kwamba mifupa ya albino inaweza kukupa mafanikio? Kama ndiyo kukua huko bora nisikue maana nitakuwa mjinga first class.
Huna akili.Wajinga mkipatwa na mental breakdown mnasingizia uchawi.
Demi anaefanya hivyo huyo sio mchawi huyo ni mshirikinaNawaza hizo gharama ni kiasi gani hadi washindwe. Watu wanaua ili kupata utajiri na kweli anaupata kama mnavyoamini...ashindwe vipi kuua aende marekani.
Kama kukua ni kuamini ujinga nimegomaWw nakwambia ww tulia tu mdg angu utayaona mengi ukikua
Hii ipo chief, kuna dozi unapewa hakuna siraha inaweza penya mwili wakoJuzi kati nilikuwa nasoma habari za wahindi wekundu walivyokuwa wanapigana na wazungu huko Marekani. Sasa wahindi wale walikuwa wanategemea nyati kama chakula chao, hivyo walikuwa wakiwawinda kwa akili ili wasiishe. Wazungu wao wakawa wanawawinda kupata ngozi, hivyo waliwaua hovyo na kuacha mizoga porini. wahindi wakajianda kwenda kupigana na waharibifu hao. sasa wakaenda kwa mganga wao. mganga akawatengenezea dawa kuwa wakipigwa risasi, risasi zitayeyuka(Kama Kinjeketile tu). walipoenda vitani walipigwa vibaya na wengi wakafa. waliporudi walimghadhabikia sana yule mganga.
Cha ajabu hadi leo kuna watu wanaenda kwa waganga wawape dawa za kuzuia risasi. Haya ni maswala ya watu wajinga.
Nilishakuelewa kaka yangu.Demi anaefanya hivyo huyo sio mchawi huyo ni mshirikina
Emu jua kuwatofautisha hawa watu wawili wewe unajichanganya sana, kuna mchawi na pia kuna mshirikina, sasa huyo unaemzungumzia hapo sio mchawi huyo ni mshirikina, kuna tofauti kubwa kati ya uchawi na ushirikina
Kuelewa itakua ni ngumu sana km hauwezi kutofautisha kipi ni kipi na kipi ni kipi
Unaweza kutana na mtu ukafikiri wa maana kumbe kichwani anaamini radi ikipiga sehemu inataga yai.
UMUGHAKA na wenzake walipewa dawa, na risasi ziliwapata. Itakuwa walienda kwa mganga wa mchongo labda.Hii ipo chief, kuna dozi unapewa hakuna siraha inaweza penya mwili wako
Tembea uone.
Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
Acha kujiita pharmacist. Unajua kwa nini wabantu hawana ujuzi mkubwa wa mitishamba. Lakini jamii kama wamasai wanaujuzi mkubwa?Hii ipo chief, kuna dozi unapewa hakuna siraha inaweza penya mwili wako
Tembea uone.
Sent from my Phantom6-Plus using JamiiForums mobile app
Demi kwa kweli hio bangi ulivyovuta imekubangua kweli na utakua haujazimua na nyotaNilishakuelewa kaka yangu.
Lakini mshirikina si anapewa ujuzi na mchawi. Au na hili sijaelewa?
Basi hii bangi niliyovuta leo feki...si kwa kuyumbisha akili yangu kiasi hiki.
Wanaoweza hayo wameenda tulio shindwa tunaenda kila siku kwa kutumia uchawi useful internetNawaza hizo gharama ni kiasi gani hadi washindwe. Watu wanaua ili kupata utajiri na kweli anaupata kama mnavyoamini...ashindwe vipi kuua aende marekani.
I like it slow.. thanks 😅😅.Demi kwa kweli hio bangi ulivyovuta imekubangua kweli na utakua haujazimua na nyota
Sasa ipo hivi, mshirikina sio mchawi ila anautumia uchawi kufanya ushirikina, nataka twende taratibu naona wewe nikikupeleka haraka haraka unatoka kapa yaan hauelewi
Niambie kwanza hapo umeelewa au bado ubongo umekakamaa?