Duc in altum
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,781
- 3,591
Huko america na ulaya mbona kuna vyuo vingi tu vya kufundisha uchawiSehemu kubwa ya Africa na Uarabuni ndio bado wanaamini uchawi. Mawazo ya uchawi ni mawazo ya hovyo ya karne ya 17.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko america na ulaya mbona kuna vyuo vingi tu vya kufundisha uchawiSehemu kubwa ya Africa na Uarabuni ndio bado wanaamini uchawi. Mawazo ya uchawi ni mawazo ya hovyo ya karne ya 17.
Huko america na ulaya mbona kuna vyuo vingi tu vya kufundisha uchawi
Hizo magic alizokuwa wanafanya hadi kina pro feyman zipo za mind tu.Tofautisha magic na witchcraft, West wapo magicians zaidi ambayo ni mambo ya kucheza na akili tu ya mwanadamu.
Au kijana kabisa anaamini watu wanavita hela [emoji1]Inasikitisha unakutana na kijana anaamini watu hupaa na nyungo.
Hua wanastaajabisha sana na misukule juu, na ukiwauliza unaamini kuna uchawi!? WanakataaWanaojifanya wana imani Kali ya dini za mapokeo ndio huombea hadi mahiti zifufuke. Je huo si ujinga. Enzi na enzi uchawi upo hata vitabu vitakatifu vimezungumzia iweje wewe kiumbe usiejua kesho Yako upinge.
Muulize Mshana ana majibu yako
Kwakuwa ujinga ni kutojua kitu, na kwamba hakuna asiye mjinga hapa duniani basi bila shaka nawe huchomoki, UMO NDANIWajinga ni wengi sana.
Hekaya tu na utapeli. Cheki Movie Nightmare Alley utaona uhuni unavyofanyika.Hizo magic alizokuwa wanafanya hadi kina pro feyman zipo za mind tu.
Pia kuna magic kama magic esoteric knowledge.
Na kuna vitabu vingi vimeandikwa na hao wazungu vya uchawi unaweza kugoogle ukaviona
Wote ni ujinga na utapeliWanaojifanya wana imani Kali ya dini za mapokeo ndio huombea hadi mahiti zifufuke. Je huo si ujinga. Enzi na enzi uchawi upo hata vitabu vitakatifu vimezungumzia iweje wewe kiumbe usiejua kesho Yako upinge.
Muulize Mshana ana majibu yako
Siyo ujinga wa makusudi kuamini kuwa radi inataga mayai, au naumwa sababu ya kurogwa.Kwakuwa ujinga ni kutojua kitu, na kwamba hakuna asiye mjinga hapa duniani basi bila shaka nawe huchomoki, UMO NDANI
Juko ujinga utakuwa umepitiliza.Malawi Kuna sheria kabisa ya ishu za uchawi
Huyu dawa yake tusimuue tumtoe shipa tu kwanza!! azunguke nalooooooo!...atutafute au unasemaje Mshana Jr;Uchawi sio ujinga bali ujinga uko kwenye kukosa maarifa juu ya uchawi
Maarifa yanayofundisha kuwa magonjwa yanatokana na kurogwa ni maarifa ya kijinga. Au uchawi haufundishi kuwa magonjwa yanatokana na kurogwa na kuwa unaweza kuvuta pesa kwa uchawi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] happy tu kachanhanyikiwa kiasi hicho hakuna haja ya kumuongezea madhilaHuyu dawa yake tusimuue tumtoe shipa tu kwanza!! azunguke nalooooooo!...atutafute au unasemaje Mshana Jr;
Zamani na wajinga wengine hata leo wanaamini mabusha yanatokana na uchawi. Kumbe ni minyoo inayoenezwa na mbu.Huyu dawa yake tusimuue tumtoe shipa tu kwanza!! azunguke nalooooooo!...atutafute au unasemaje Mshana Jr;
Umejaribu kuzungumza kitu smart lakini ujinga umekuangushaUjinga ni kulazimisha usichokiamini kwamba hakipo na bado unapoteza muda kukijadili
kupaa na ungo tu watu wanapaa na fimbo tuAu kijana kabisa anaamini watu wanavita hela [emoji1]
Malawi Kuna sheria kabisa ya ishu za uchawi