MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Afrika ya kusini Kuna Vyuo vinatoa degree ya kwanza ya Uchawi.
Watu wanasoma Miaka kadhaa na kuhitimu, sasa wewe sema haupo?
Watu wanasoma Miaka kadhaa na kuhitimu, sasa wewe sema haupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kwa Kuhani Musa yeye mahubiri yake kila siku ni uchawi tuu na watoto eti hufukua makaburi na kula nyama za watu 🤣Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Nimekwambia taja jina lako na la baba yako na babu tumalize kaziWajinga ni wengi sana.
We kama mchawi kweli yatambue. Hauwezi?Nimekwambia taja jina lako na la baba yako na babu tumalize kazi
Mbona unaogopa kijana ukiyataja utakuwa umehiyali kwa ridhaa yako tufanye testWe kama mchawi kweli yatambue. Hauwezi?
Kwenye hizi stori wamekufikisha😅Una vituko wewe nawe, kwa hiyo mjadala hapa wao nini wanaweza na siyo kwamba wachawi wapo na wanafanya uchawi.
Kujibu swali lako wanaweza hata kukugeuza kuwa mwanamke.
Nimehiari. Yagundue na uniroge. Kama kugundua majina tu huwezi, utaweza kupaa na ungo?Mbona unaogopa kijana ukiyataja utakuwa umehiyali kwa ridhaa yako tufanye test
kuna la kurogwa na lile la mbu aina ya f/anopheles Mosqu....tofauti yake kuna lenye vitu vizito km nyama.. Na ingine maji maji!...kazi kwako....Zamani na wajinga wengine hata leo wanaamini mabusha yanatokana na uchawi. Kumbe ni minyoo inayoenezwa na mbu.
Baada ya kugundulika yanatokana na mbu ndiyo mmekuja na explanation kuwa yako mawili. La kurogwa na la mbu?!!!! Ni kawaida kwa mtu mwenye imani ya kijinga anapoambiwa ukweli kutetea kwa nguvu zote. Upo kwenye denial.kuna la kurogwa na lile la mbu aina ya f/anopheles Mosqu....tofauti yake kuna lenye vitu vizito km nyama.. Na ingine maji maji!...kazi kwako....
lkn ndo tabia zenu wachawi mlivyo nawajua fika...ni kutupoteza maboya eti hkn uchwi ili mpete!!! Nasema humpati mtu hapa...ukija na fisi sie tunakuja na ungo tuna kubeba weye na fisi wako......uchawi upo yamkini unao au weye ni gari la wachawi.....paul mtumishi wa Mungu alirogwa na mchawi maarufu "Baayesu".....wewe nani usirogwe??...kawambiye Jf ni wajanja wamekataa....sikia sasa miye binafsi nilikuwa mchawi maarufu wa kurithi.....so naujua kuliko unavodhania...wana jf kataeni huyu mleta mada ni wakala....
Wewe mliharisha kule porini kwa food poisoning, sijui kipindupindu ukasingizia uchawi. Mara uliua ndugu zako wachawi. Acha ujinga na utapeli mkuu.Sina muda wa kumalizia kusoma upuuzi wako, ila niseme tu, wewe ni mtoto mdogo bado, ukikua utajua kua utoto nao pia ni ujinga.
Daah watu wakisoma na kupata vyeti vya kucopy assignment na ufaulu wa mchongo hujifanya wanajua kila kitu, asee dunia imekutangulia, nikikumbuka tukio alilopigwa mpenzi wngu nachelea kusema ukue kwanza😭😭Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Asee mzee wko alipoteza ada,, siwez tibiwa na jinga kama wwWajinga mkipatwa na mental breakdown mnasingizia uchawi.
Unaamini kwamba unaweza kufanyiwa dawa za kichawi kiasi kwamba ukipigwa risasi haikuingii?
Hawezi kukaa kimya, mpeni maelezo ili kama hajui
Asee uchawi una formulaSiku wachawi na washirikina wakiweza kuiba pesa Bank naahidi nitajiunga nao.
We hizo tricky unazielewa?Hili ndilo lililopo. Hata zile magic tricks usipoelewa utasema mwanamazingaraombwe anatumia uchawi.
Hoja zake za kitoto sanaSubil ukue w bado sana
We CO na D zko tatu za form four ndo ujione unajua kila kitu?Kama kukua ni kuamini ujinga nimegoma
Mhhh. Nadhani ujinga uliokubuhu ni ule wa kuona kwamba wale wanaoamini uwepo wa Uchawi ni wajinga. (yaani wewe unajiona ndo una akili). Hebu jiulize kidogo; Hivi watu weeengi kiasi hicho(wazee,vijana, wasomi, viongozi wa kiimani, misahafu..) waseme uchawi upo halafu wewe mtu mmoja unanga'ngania kusema uchawi haupo na mbaya zaidi kuwaita watu hao ni wajinga inakuwaje? Mm nafikiri ungelitulia kwanza mahali, ukatafakari kwa kina kisha uanze kufuatilia ukweli wa hicho wanachokiamini(Uchawi) na kinatendaje kazi. Fanya marejeo katika vitabu/maandiko (hata kama vikiwemo vile vya dini), ongea au fanya utafiti na watu - wazee kwa vijana(hata kama ni viongozi wa dini au wasomi maarufu) halafu mwisho pitia matukio mbalimbali ya kweli yaliyotokea na visababishi vyake then Uje kutoa mrejesho hapa. Kwa mfano ni sawa na Ukiambiwa kuna simba Serengeti usiseme eti kwa kuwa hujamwona basi hayupo. Kutokuamini kwako hakutaondoa uwepo wa simba Serengeti. Vivyo hivyo kutokuamini kwako kwamba uchawi upo hakutabatilisha uwepo wa uchawi duniani. Siku ukikamatika ndio utajua ulikuwa hujui na hauamini. Hapo ndo itakuwa kusikia kwa kenge ni damu masikioni.Katika watu wajinga, nafikiri wanaoamini habari za kichawi wanaongoza. Nimekuja kugundua kuwa mambo mengi yanayoaminika kutokana na uchawi, yanaaminika hivyo sababu ya watu kuwa wajinga. Nitoe mifano.
1. Kuna mtu alikuwa anapata kinyesi cheusi. sasa sababu ya ujinga akawa anaamini amerogwa. Lakini kumbe kile kinyesi cheusi ni dalili ya vidonda vya tumbo, na ule weusi ni madini chuma kutoka kwenye damu inayomvuja tumboni.
2. Mtu mwingine akasema wazungu nao wachawi sana. kuna kijiji watu walikuwa wanakufa kwa radi. Mzungu akaja akasimamisha kamnara tu radi ikaacha kuua watu.
3. Wengi wanaamini vichaa wanaotembea barabarani wamerogwa. Lakini vichaa karibu vyote vinatokana na vichocheo kuyumba au kujeruhiwa kwa ubongo.
4. Watu wanaamini bundi wanatumiwa na wachawi sababu wanatembea usiku. Lakini tunajua uwezo wa bundi kuona usiku ndiyo unamuwezesha kufanya mawindo yake usiku.
5. Watu kwa ujinga wa kushindwa kupiga hesabu za mapato na matumizi, na kuweza kutunza pesa wanasingizia chuma ulete.
6. Magonjwa mengi hapo zamani yalidhaniwa kuwa yanatokana na kurogwa. Lakini sababu zake hasa zimekuja kufahamika. ujinga ndiyo ulifanya watu waamini kuna kurogwa. Kuna mchezaji amefariki juzi mguu unaoza yeye anasema ametupiwa jini.
7. Kanuni za kilimo zinajulikana lakini unakuta kuna watu wanaamini mtu anaweza kuroga apate mazao mengi, au akakuroga usipate mazao ya kutosha.
8.Madini yanapopatikana na jinsi ya kuyachimba huwa inafahamika, l;akini watu huwa wanaamini yanapatikana kwa uchawi.
9. Mara kuna uchawi wa kuleta mvua na hali habari ya ujio wa mvua na kutokuja zinajulikana.
10. Wengine wanaamini uchawi unaweza kukusaidia kwenye uvuvi.
11. wengine wanasema kuna wachawi huwa wanaingilia watu kingono!!1!
Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.