Hakuna winga hatari kwa sasa katika ligi ya NBC kama Kipre Junior kutoka Azam FC

Hakuna winga hatari kwa sasa katika ligi ya NBC kama Kipre Junior kutoka Azam FC

Hivi azam huwa anahujumiwa nini na lini?
Ubovu wa waamzi unaathiri team zote na kuzinufaisha
Ile mechi ya Yanga azam alifunga goal la offside
Kimataifa ametolewa na team ya Djoubt
Hao mtawakataa akina na kipre
Na atapasuliwa mechi ya simba
Mwaka jana tu simba hakumfunga azam Itakuwa msimu huu
 
Eneo ambalo mchezaji anaweza pata nafasi upande wa yanga ni streka tena dube, na analocheza mudathir tena hapo kocha ataumiza kichwa sana ampange yupi kutoka azam mana muda nae wamoto
Linganisha number za mudathiri na fei?
 
Yan utamwa YAO umechukua mwaikenda
Utamwacha Lomalisa umechukue Manyama
Utamwacha Aucho umchukue Bajana
Umwache Mudathiri ubebe fei asiyekaba
Umwache Azizi ki mr hat trick

Kumbe hauko serious
Azam ni team ndogo kama Singida. Au ile ya Tabora
Hauna akili fei na muda acheni kataka tuwatukane mnafilwa nyie
 
Back
Top Bottom