Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Huo ugonjwa upo mbona kitambo, unaitwa pangusa! Kwani umerudi tena?
Acha uje upunguze watu kujamiaana Kama wanyama ,kulana sas hv siyo kitu Cha Siri watu Muda wote wanajadili ngono tu kina haji wanaoa kila kukicha SAS kwanin panguza isije ipunguze minyanduano

Watu wamefika mbali hawaogopi Tena ukimwi SAS acah hyo panguza iwafute

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kitu Cha kushangaza wale wahaya wa vibatari (Sudan, Livingstone, Msasani, Manzese, Sudan na Buguruni walikua nadra Sana kuwakuta na gono halafu enzi zile ndomu walikua wanatumia wenye pesa tu.
Wahaya wameanza ku stock kondom miaka ya mwishoni ya tisini. How they did it, I don't know.
 
Yaani sasa ni kwamba kifupi watu tusigegedane tutafute starehe nyingine
 
Mlipiga kavu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…