Ulimtoa wapi sasa 🤣🤣🤣Pale Mikocheni nyuma ya shoppers Kuna ka Kijiji, Kuna siku nikiwa mitaa Ile usiku nimelewa nilikutana na mwanamke, simjui hhanijui, nikapeleka mkono wangu kwenye puchi yake, hakuutoa kaniambia nimfuate. Na Ile pombe nikamfuata mpaka kkwake,. Kafunga mlango tukavua, tukapanda kitandani.
Baada ya siku tatu nilikua natoa uji uji wa kijani toka kwenye bomba, aisee hiyo kitu ilininyima amani sitakuja kusahau.
Kipindi kile ukienda siptali ya serikali wanakuambia kamlete mwenzio tuwatibu wote.
Acapella sio poa yani🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wazee wa kavu kavu, watapitiwa nao km upepo wa kisuli suli.
Kinasubiri wadhamini ili kieneeKitu hicho hapo, Super!View attachment 2488200
Thanx mkuu dr namugariSaafi San dad angu kwa taadhari hi imeeleta hapa ubarikiwe ndio maan huwa nakupendaga hunaga mbamabamba
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kaswende inakaa zaidi kwny damu inaweza isionyeshe dalili kama gono...tukiwa wajawazito hupimwa kaswende..Gono lina uwezo wa kufanya mtu apoteze kizadi, kaswende au gono sina uhakika lina uwezo kupukutisha kidude kama una ukoma. ni hatari.
Labda unamaanisha: "kaswende"!Sanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Dah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.Kitu hicho hapo, Super!View attachment 2488200
Mkuu upo?? Hii statement yako inahudhunisha sana...kweli Yesu arudi tuuDah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.
Ya faa nini kuishi kama starehe namba moja duniani hatuwezi ifurahia bila kuwaza magonjwa? Yesu arudi tuu kila mtu ajue hatima yake maana haya ni mateso kuliko ata huo moto wenyewe
Dohhhh.... Asante sana kwa ufafanuzi mzuri🙏🏼Wale wadudu wanatafuna na kuozesha yaan unatafunwa nyeti zako na kidonda kinaoza tu kinakua donda ndugu halisikii dawa ukiona picha watu walivyoliwa utaelewa, na ukioza unaanza kuvuja usaha tu na kujipangusa usaha ndio maana ikaitwa Pangusa na kupepea mainzi
Kuna ndugu yangu aliugua kaswende ndio nilipoona haya magonjwa hayafai, ni zaidi ya mateso, ingia Google syphilis utaelewa namaanisha nini
Nipo mtani...ah raha ya maisha haipo tena...tunaishije bila kugegeduana bwana?Mkuu upo?? Hii statement yako inahudhunisha sana...kweli Yesu arudi tuu