Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Pale Mikocheni nyuma ya shoppers Kuna ka Kijiji, Kuna siku nikiwa mitaa Ile usiku nimelewa nilikutana na mwanamke, simjui hhanijui, nikapeleka mkono wangu kwenye puchi yake, hakuutoa kaniambia nimfuate. Na Ile pombe nikamfuata mpaka kkwake,. Kafunga mlango tukavua, tukapanda kitandani.
Baada ya siku tatu nilikua natoa uji uji wa kijani toka kwenye bomba, aisee hiyo kitu ilininyima amani sitakuja kusahau.
Kipindi kile ukienda siptali ya serikali wanakuambia kamlete mwenzio tuwatibu wote.
Ulimtoa wapi sasa 🤣🤣🤣
 
Gono lina uwezo wa kufanya mtu apoteze kizadi, kaswende au gono sina uhakika lina uwezo kupukutisha kidude kama una ukoma. ni hatari.
Kaswende inakaa zaidi kwny damu inaweza isionyeshe dalili kama gono...tukiwa wajawazito hupimwa kaswende..
Kupukutisha kwake inakujaje?...ni pale vidonda vinavyokula hizo sehemu mpk kuharibu
 
Dah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.
Ya faa nini kuishi kama starehe namba moja duniani hatuwezi ifurahia bila kuwaza magonjwa? Yesu arudi tuu kila mtu ajue hatima yake maana haya ni mateso kuliko ata huo moto wenyewe
 
Dah naona kadri siku zinaenda umuhimu wa kuendelea kuishi unapungua.
Ya faa nini kuishi kama starehe namba moja duniani hatuwezi ifurahia bila kuwaza magonjwa? Yesu arudi tuu kila mtu ajue hatima yake maana haya ni mateso kuliko ata huo moto wenyewe
Mkuu upo?? Hii statement yako inahudhunisha sana...kweli Yesu arudi tuu
 
Wale wadudu wanatafuna na kuozesha yaan unatafunwa nyeti zako na kidonda kinaoza tu kinakua donda ndugu halisikii dawa ukiona picha watu walivyoliwa utaelewa, na ukioza unaanza kuvuja usaha tu na kujipangusa usaha ndio maana ikaitwa Pangusa na kupepea mainzi

Kuna ndugu yangu aliugua kaswende ndio nilipoona haya magonjwa hayafai, ni zaidi ya mateso, ingia Google syphilis utaelewa namaanisha nini
Dohhhh.... Asante sana kwa ufafanuzi mzuri🙏🏼
 
Syphilis haina mabalaa kama gono..mabalaa namaanisha madonda kama yanayotoka ukiwa na gono..syphilis mtu anaweza kuwa nayo akakaa hata miezi 3 na isionyeshe dalili...Just google and have some education...
 
Ivi huyu jamaa ana tunzo ngapi za AVN?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
seeec.PNG
 
Back
Top Bottom