Tena wewe upunguze kupita Rough road[emoji1][emoji2][emoji3] maana utanasa Fasta tuh.Huo ugonjwa ndio nauogooa kuliko ata ukimwi....yaani ata soda sinywi sasa raha ya dunia ikowapi
Mkuu nieleweshe kidogo hapa , kwa wanaopata hiyo kisosonono sugu ni kwa hawa ambao miili imeshaweka resistance ya dawa kama ulivyosema ! Kwa hiyo kama hana hiyo resistance ya hizo dawa na ndo mara ya kwanza kupta huo ugonjwa inaweza kuwa rahisi kupona ? Au ugonjwa umebadilisha wenyewe tu formula juu kwa kwa juu ?Antimicrobial resistance at work,watu hawamalizi dozi madhara yake ndio haya sasa.
Utelezi mtamu sijui itakuaje
Lakini jamani shoga yako sii alienjoy utamu wa rafu roadTena wewe upunguze kupita Rough road[emoji1][emoji2][emoji3] maana utanasa Fasta tuh.
Nakumbuka siku ike pale Kinara barut ulichomfanyia shiga yangu
Ugonjwa umebadilisha formula juu kwa juuMkuu nieleweshe kidogo hapa , kwa wanaopata hiyo kisosonono sugu ni kwa hawa ambao miili imeshaweka resistance ya dawa kama ulivyosema ! Kwa hiyo kama hana hiyo resistance ya hizo dawa na ndo mara ya kwanza kupta huo ugonjwa inaweza kuwa rahisi kupona ? Au ugonjwa umebadilisha wenyewe tu formula juu kwa kwa juu ?
Shukrani sana , Maelezo mazuri kabis aUgonjwa umebadilisha formula juu kwa juu
Yaan yule kisababishi wa gono "Neisseria gonorhea" amebadilika "strain"
Huyo mdudu ndiyo mwenye resistance ya dawa sio wewe binadam
Kwa hiyo ukiupata huwez kupona hata kama hujawahi ugua
Ok.. asante Kwa taarifaKuna picha post za huko nyuma mkuu
Tutumie ndomu ovaaaUnapata matibabu ugonjwa haundoki mwilini kwa muda mrefu....
Unaweza ambukiza kijiji kizima kabla hujaanza kuona madhara yake...
Unaweza ng'ooka mjegeje au kupukutisha Kipochi manyoya chote....
Inasababisha kuwa tasa kabisa...
Gonjwa lipo Kenya hapo na Tanzania nadhani lipo...
Haya malalamiko ya uti zisizopona mjichunguze...
Wapendwa mchukue tahadhari tumieni condom...
Source: BBC Swahilili
😄😄😄😄😄😄😄View attachment 2488089View attachment 2488091
Na ukija kwa sisi Wapasuaji, hatukupi Dawa, tunaitoa kabisa..
View attachment 2488093
mbona mi nishapata siku nyingiUnapata matibabu ugonjwa haundoki mwilini kwa muda mrefu....
Unaweza ambukiza kijiji kizima kabla hujaanza kuona madhara yake...
Unaweza ng'ooka mjegeje au kupukutisha Kipochi manyoya chote....
Inasababisha kuwa tasa kabisa...
Gonjwa lipo Kenya hapo na Tanzania nadhani lipo...
Haya malalamiko ya uti zisizopona mjichunguze...
Wapendwa mchukue tahadhari tumieni condom...
Source: BBC Swahilili
Nimepata huo ugonjwa kabla haujatangazwa!Siku nyingi ilikua ni rahisi kupona kwa sasa mdudu ameota mbawa hatibiki kirahisi..
Subiri tuone😂 unavyoshangaa unaniogopeshaAhahahahha sasa atakwambia ukweli?