Aaaah wee mchaga gono sijawahi pataAhahahahha sasa atakwambia ukweli?
badoPole sana cha msingi umepona...jilinde sasa usije ukapata hilo supa gono
Kuna gono kwa wanawake?Ahahaha ππππ acha uoga hujanizoea tu mimi dada yako kwa kushangaa...
Wewe ushawahi kuumwa nini sasaSijawahi kuumwa kabisaπππ
Wanapata sana tu ila sio mchaga mimiππKwahyo wachaga na Gono ni vitu viwili tofauti eti mbeee..ππππ
Tumbo na mkonoWewe ushawahi kuumwa nini sasa
Mno kalpana wetuπVzr sana yani ujilinde hivyo hivyoo...
Chaiπ΅Tumbo na mkono
JidanganyeChaiπ΅
Nan na nan?Nawaombea sana πππ
Mzoefu huyuKwamba ameshapigwa na magonjwa mtambuka...ππππ
Sio kwelKwamba ameshapigwa na magonjwa mtambuka...ππππ
Hauwezi amini mimi tumbo huwa linanisumbua hasa nikila vyakula vya kukaanga kinyume na hapo labda mafua na kichwa , kwa nini ushangae hili?Mzoefu huyu