Hala hala kuna Kisonono cha kiwango cha juu chaingia...kinaitwa "super gonnorhea"

Hebu tupe somo ulilolipata la kiroho mkuu ukafanikiwa kuacha ngono holela mkuu labda litasaidia humu...
 
Oral sex ndio nn embu fafanua Kalpana ndio ina kuaje yani ๐Ÿ˜„
Mambo ya kulamba lamba huko kwa bibi.
Na ikumbukwe huko kuna bacteria wengi wale harmful na wasio harmful...sasa hao ambao sio harmful ni kwa sbb wanaishi ktk mazingira hayo na hawaleti tatizo ila wakitoka hapo wakahama sehemu ambayo sio hyo wanaleta madhara makubwa hapo uchanganye na gono labda analo ukalihamishia mdomoni...pita picha itakuwaje
Hii ina apply kwa both me na ke..ila wahanga wakubwa ni me
 
Ebhanaeeeeee maelezo yameshiba nakutunuku uDr kuanzia leo wewe ni daktareee mkareeee ๐Ÿ”ฅ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ