dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
napata picha kukojoa viwembe qmmmmmq daahNi mimi huyo mkuu😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
napata picha kukojoa viwembe qmmmmmq daahNi mimi huyo mkuu😂
Ila ukiamua ku abstain unaweza.Ifanye kazi tu kwangu aiseee hapana 🤚
jamaa kule Jamii Health alisema, kama unakojoa viwembe, aisee nilicheka
YapIla ukiamua ku abstain unaweza.
Mimi Kuna Wakati nikiwa busy na kazi naweza Kukaa muda mrefu bila kuwa na hisia ya mambo hayo.
Ukiweka Malengo unaweza tu
Oya isikie tunapata picha kukojoa viwembe qmmmmmq daah
hahahaha nilipanga acha nyeto 2030, sasa naongeza mpaka 2060Oya isikie tu
Ukistaarabika siombayaNgono ni mbaya sana wakuu
Nishasahau na kusahau iliishaDuuh pole mkuu..una uhakika imeisha kabisa?
Wale wadudu wanatafuna na kuozesha yaan unatafunwa nyeti zako na kidonda kinaoza tu kinakua donda ndugu halisikii dawa ukiona picha watu walivyoliwa utaelewa, na ukioza unaanza kuvuja usaha tu na kujipangusa usaha ndio maana ikaitwa Pangusa na kupepea mainziZinapuputikaje ??? Unamaanisha zinanyonyoka na kupotea kabisa??
Fafanua kidogo hapa Mkuu
Muhimu tuishi kwa Malengo, usikubali starehe ya siku Moja ikufanye upoteze ndoto na mawazo Chanya uliyojiwekea.Yap
Na nikiwa najizuia kuna hali fulani mwili nahisi unakuwa poa sana nikitupia tu naona nimeloose
Sanaa utamu ni sekunde chache ila outcome yake ni mbaya sana...
Ulishawahi ona uchi ulioliwa na kisonono??
Mtaalamu John SinNamuona Elion Kimario akiangalia huo ujumbe kama upo kitabuni.
Chanjo ihamasishweWamesema njia mojawapo ni kuvaa condoma..ila hepatitis hata mate unaoata
Kumbe we naye ni kilaza hivyoHuu ugonjwa umekuja Kenya Kwa sababu ya ujinga wao wamekubali maabara za kibaiolojia za wamarekani zikae kwao
Huyo hanaga akili za ku reasonBwanaa...hapa ngono zembe ndo tatizo watu watake care hakuna cha maabara wala nini...
Wtf