holy spirit
JF-Expert Member
- Nov 30, 2020
- 856
- 1,376
Kuna kusoma na kuelewa na kusoma tu. We ndugu yangu ulisoma tu principal 🤣Kuna Principal Moja kwenye Biology inasema kitu kama hakitumiki mara kwa mara kinapoteza uwezo wake.
Mfano kama umefungwa miguu yote miwili hutembei kwa Mwaka mzima basi utajikuta umekuwa mlemavu wa miguu.
Sina hakika kama principal hiyo inafanya kazi na hapo pia 😂