Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Tap in sio rahisi. Kabla ya halaand hapo man city kulikua na strikers Kama Gabriel Jesus, Iheanacho. Kwa nini hawakua wanafunga hizo Tap-ins?Haaland mzee wa tap in
Mzee wa kutengewa, anapotea ktk big matches
Ulimshuhudi Ronaldo msimu alioweka rekodi ya kufunga goli 31 epl?
Messi na Ronaldo ni complete players mzeeLegacy yao wametengeneza kwa kupiga mabao mengi na mataji na sio kuchezesha timu. wote hao wawili hakuna anaemkaribia Ronaldinho kwa skills, ila heshima yao imekuwa juu zaidi sababu ya manafikio ya magoli, mataji, na records kiujumla. Sasa musitoke kwenye mabano njia waliotumia wao kutengeneza heshima ndio Halland anayopita.
Sipingi hilo ila hiyo point yake ya kutaka kuwalinganisha Messi, Ronaldo na huyo HaalandTap in sio rahisi. Kabla ya halaand hapo man city kulikua na strikers Kama Gabriel Jesus, Iheanacho. Kwa nini hawakua wanafunga hizo Tap-ins?
Mpe heshima yake
Halaand ni goal scorer, specifically poacher, sio complete footballer.anatakiwa afunge magoli 70 kila msimu kwa miaka 10 ijayo ili amfikie cr7......kama yeye n allien cr7 ni nani....na Messi je?.......ila anatisha kwenye kufunga.
Ofcourse kwa Sasa huwezi mlinganisha na hao, Ila akiwa na hii consistency kwa misimu 10, basi bila shaka atalinganishwa.Sipingi hilo ila hiyo point yake ya kutaka kuwalinganisha Messi, Ronaldo na huyo Haaland
Ni kuwavunjia heshima pakubwa sana
Halaand ni goal scorer, specifically poacher, sio complete footballer.
shabiki gani wa messi anamchukia haaland??caree ya Ronaldo EPL ni ya aibu sana ukilinganisha na halland. Speed ya Halland ni ya kutisha sana na ndio mana washabiki wa Messi na Ronaldo wanamchukia sana
Football is NOT all about scoringfootball is all about scoring
Messi na Ronaldo ni complete players mzee
Ni wachezaji ambao wanaweza kuibeba timu wao kama wao pale timu inapozidiwa
Uwezo wao wa skills, dribbling, shooting power
Eg rejea game ya Man u vs fc porto
Barcelona vs bayern
Haaland form yake anategemea timu yake iwe ime dominate game wakishikwa pabaya tu basi hata kugusa mpira kwake mtihani
Haaland ni complete player. Yeye ni lone striker, Sasa iweje asiwe complete player?Messi na Ronaldo ni complete players mzee
Ni wachezaji ambao wanaweza kuibeba timu wao kama wao pale timu inapozidiwa
Uwezo wao wa skills, dribbling, shooting power
Eg rejea game ya Man u vs fc porto
Barcelona vs bayern
Haaland form yake anategemea timu yake iwe ime dominate game wakishikwa pabaya tu basi hata kugusa mpira kwake mtihani
Yes ni numbers tu ambazo haaland akikaza anaweza zifikia.hizo zote ni porojo tu, wachezaji wengi tu wameshawin games individually, ila kilichowaweka wao juu ni namba na sio indiviidual brilliance.
Unaweza nambia in which angle Cr 7 au Messi wanamzidi ronaldinho in terms of individuakl brilliance?
kinachowafanya wao waheshimike zaidi ni numbers ambazo kijana halland anazitafuna,
Hata kama ataweza kumaintain hatolinganishwa na Messi na Ronaldo labda level zake zitakuwa kina Lewandowski, Suarez, IbrahimovicOfcourse kwa Sasa huwezi mlinganisha na hao, Ila akiwa na hii consistency kwa misimu 10, basi bila shaka atalinganishwa.
Hofu yangu hawezi kukaa na hii form kwa miaka 10 kama walivyofanya Messi na Ronaldo
Kama atakua anafunga magoli 70 kwa msimu/mwaka kwa nini asilinganishwe?Hata kama ataweza kumaintain hatolinganishwa na Messi na Ronaldo labda level zake zitakuwa kina Lewandowski, Suarez, Ibrahimovic
Ronaldo na Messi katk peak zao walikuwa ni zaid ya huyu Haaland unaemuona leo si tu ku score goals namna za dribbling zao, speed, skills magoli ya kipekee ambayo wakishinda namna wanavyodominate game uwanjani
Ni Neymar na Salah ambao at least ndo wameweza kukaribia hizo level
Ronaldinho alichowazidi Messi na Ronaldo ni skills tuhizo zote ni porojo tu, wachezaji wengi tu wameshawin games individually, ila kilichowaweka wao juu ni namba na sio indiviidual brilliance.
Unaweza nambia in which angle Cr 7 au Messi wanamzidi ronaldinho in terms of individual brilliance?
kinachowafanya wao waheshimike zaidi ni numbers ambazo kijana halland anazitafuna,
Halaand hata achezs uchi hawezi kuyafikia magoli ya hao majini.caree ya Ronaldo EPL ni ya aibu sana ukilinganisha na halland. Speed ya Halland ni ya kutisha sana na ndio mana washabiki wa Messi na Ronaldo wanamchukia sana
Hana uwezo wa kufunga goli 70 kila msimuKama atakua anafunga magoli 70 kwa msimu/mwaka kwa nini asilinganishwe?
Kwani konachofanya pele na kina Messi walinganishwe ni nini? Ni skills au uliokua uwezo wa pele kwenye kufunga?
Kagugo vizuriMichael Owen amewahi kuchukua Balon Dor akiwa EPL
Hiyo mm ndio hofu yangu, anapaswa kuwa na hii consistency kwa misimu kadhaa inayokujaHana uwezo wa kufunga goli 70 kila msimu
Haaland akitengana na Guardiola tu hatokuwa ktk peak hii tena
Una mahaba tyu yamekujaa.Legacy yao wametengeneza kwa kupiga mabao mengi na mataji na sio kuchezesha timu. wote hao wawili hakuna anaemkaribia Ronaldinho kwa skills, ila heshima yao imekuwa juu zaidi sababu ya manafikio ya magoli, mataji, na records kiujumla. Sasa musitoke kwenye mabano njia waliotumia wao kutengeneza heshima ndio Halland anayopita.