Halaand sio binadamu, ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi

Halaand sio binadamu, ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi

Halland hata affunge goli afu10 bado atakuwa hayupo katik kiwango cha messi na cr7 hao jamaa ni exeptional achana nao nimemuangalia sana messi kuanzia Television ya taifa TVT akitambulishwa na frankie Rijcard hadi pep jamaa kafny mabalaaa ya kutisha sana halland ni halland ni mfungaji mzuri ila sio kwa messi na ronaldo.
NIMELIA SANA[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Halland hata affunge goli afu10 bado atakuwa hayupo katik kiwango cha messi na cr7 hao jamaa ni exeptional achana nao nimemuangalia sana messi kuanzia Television ya taifa TVT akitambulishwa na frankie Rijcard hadi pep jamaa kafny mabalaaa ya kutisha sana halland ni halland ni mfungaji mzuri ila sio kwa messi na ronaldo.
NIMELIA SANA[emoji24][emoji24][emoji24]
Nakazia
 
Erling Haaland ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi.

➜ 69 - Games.
➜ 70 - Goals scored.

Ni wachezaji wawili pekee kwenye historia waliofunga Hat-tricks back to back mara mbili katika ligi kuu ya England (EPL) 🙌

Harry Kane :
⚽⚽⚽ vs Burnley
⚽⚽⚽ vs. Southampton

⚽⚽⚽⚽ vs Leicester
⚽⚽⚽ vs Hull

Erling Haaland

⚽⚽⚽ vs Palace
⚽⚽⚽ vs Nottingham Forest

⚽⚽⚽ vs Ipswich
⚽⚽⚽ vs West Ham

ℹ️ Bernardo Silva amefikisha Assists (44) EPL, Assists nyingi kuliko mchezaji yoyote wa Portugal 🇵🇹 kwenye historia ya EPL.

Full - West Ham 1 - 3 Man City

⚽️⚽️⚽️ Haaland — 10', 30', 83'
⚽ Dias (Own Goal) — 19'

Ni kosa kubwa sana kumuacha kipara (Pep) akutangulie points, Arsenal wameshafanya kosa hilo mapema sana ! 😀

Full - Arsenal 1 - 1 Brighton.

Tom Cruz facts 🧠
Hivi kweli arsenal unawahesabia kuutwaa ubingwa mwaka huu...? Hawa watabondwa sana huu mwaka
 
Hayo mambo wakina mess na ronaldo walishafanya back to back....

CR7 amechukua tuzo ya ballon dior akiwa EPL nitajie mwengine aliyefanya ivo.

Huyu halland anatamba Man city akicheza na team ndogo akicheza na wakubwa wenzie anafichwa haonekani,watu wanamweka kwapani
Kweli, juzi kati last season Saliba alimuhifadhi kwapani.
 
Kwa Ronaldo siwezi sema ila kwa Messi ninaweza kusema wapi kamzidi Ronaldinho.
Messi ni mwepesi wa kudribble na ana dribble za kasi na zilizofupi kuliko Ronaldinho,ndio maana walimuita messi the best dribbler in history.
Messi ana accuracy katika dead ball kuliko Ronaldinho.
Alafu kingine Dinho alikuwa mtu anaejua kuuchezea mpira ila sio wa kutegemea sana kwenye timu
 
Alafu kingine Dinho alikuwa mtu anaejua kuuchezea mpira ila sio wa kutegemea sana kwenye timu
Yani yule jamaa kwa football skill alikua vizuri ila kusema kuichezesha timu aaagh wee hajamfikia messi.
Messi akipanda timu inapanda messi akishuka timu inashuka.
Ndio maana hata Barcelona ilikua ukimkaba Messi umeua timu.
Maana mipita itakua haitembei.
 
Yani yule jamaa kwa football skill alikua vizuri ila kusema kuichezesha timu aaagh wee hajamfikia messi.
Messi akipanda timu inapanda messi akishuka timu inashuka.
Ndio maana hata Barcelona ilikua ukimkaba Messi umeua timu.
Maana mipita itakua haitembei.
Messi yupo katika ligi ya peke yake ndio maana ana ballon dor 8
 
Anapocheza messi mnaona utofauti kabisa na wachezaji wengine hata timu ikiwa mbovu.
Fuatilia assist anazotoa intermiami uone balaa lake.
Pale Norway timu ya taifa uki waambia wachague kati ya Messi na Haaland watamchukua Messi wa leo hii
 
Halland hata affunge goli afu10 bado atakuwa hayupo katik kiwango cha messi na cr7 hao jamaa ni exeptional achana nao nimemuangalia sana messi kuanzia Television ya taifa TVT akitambulishwa na frankie Rijcard hadi pep jamaa kafny mabalaaa ya kutisha sana halland ni halland ni mfungaji mzuri ila sio kwa messi na ronaldo.
NIMELIA SANA
mkuu mm nimelia usiku kucha baada ya kuona et cr7 na messi wanalinganishwa na haaland?
 
Back
Top Bottom