Halaand sio binadamu, ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi

Halaand sio binadamu, ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kwenye historia ya EPL kufunga mabao 70 mapema zaidi

Labda useme katika ufungaji,ila ukija katika sifa za complete player Halland hampati Messi wala Ronaldo.
Maana Ronaldo na Messi kuna vitu wana offer tofauti na ufungaji.
Hao majamaa wawili wanaweza wakachezesha timu hususan Messi ila Halland anakupa magoli tu.
Huyu dogo ana mahaba na halland hata cr7 wakati anacheza man utd hajamuona.
 
Sema cr7 na Messi ni viumbe wengine, bado ana safari nzito.
FB_IMG_17251371123836813.jpg
 
Legacy yao wametengeneza kwa kupiga mabao mengi na mataji na sio kuchezesha timu. wote hao wawili hakuna anaemkaribia Ronaldinho kwa skills, ila heshima yao imekuwa juu zaidi sababu ya manafikio ya magoli, mataji, na records kiujumla. Sasa musitoke kwenye mabano njia waliotumia wao kutengeneza heshima ndio Halland anayopita.
😂😂😂😂😂😂Ronaldinho alikua na skills tu ila hakuwa best playmaker.
Messi anatambulika kama BEST PLAYMAKER IN HISTORY.
Messi ana assist nyingi kuliko Ronaldinho je unalijua hilo!??
Messi amekua akihudumu namba tatu hadi sasa.namba 8,10 na 9.
Na tangia kuondoka kwa Xavi na Iniesta alihudumu kiungo mchezeshaji na kiungo mshambuliaji hadi sasa.
Huyo halland aliwahi kucheza namba 8 hata siku moja!??
Messi kipindi cha Ernesto Valverde namba 8 ndio ilikua namba yake.
Akichezesha timu kwa kuipandisha na kuishusha.
Alichofanya Messi HALLAND HAWEZI FANYA HATA ROBO YAKE MPAKA ANAINGIA KABURINI.
Labda kama ulikua hufuatilii mpira.
Enzi hizo messi anakokota mpira kuwapiga chenga wachezaji mpaka watano na kufunga.
Na messi is the best dribbler in history.
Mwambie huyo Halland a dribble hata wachezaji watatu kama anaweza.
 
acha kufaninisha Halland na vitu vya kijinga, ROnaldo amefanya nini EPL cha kumzidi Halland?
Kaka naona unaanza kukosa adabu kwa wakubwa.
Unamfananisha Halland mtu wa box na Ronaldo ambaye alikua akiisakia matokeo Man united!?
Aliyoyafanya Ronaldo Halland kamwe hatayafikia.
HAlland atabakia kuwa best scorer ila Ronaldo is a complete player.
Leo hii umwambie Halland autafute mpira apore atengeneze nafasi hawezi.
Ila Ronaldo alikua akiwania mipira,akipora na akitengeneza nafasi.
Hivi kaka mpira umeanza kufuatilia juzi nini!??
 
😂😂😂😂😂😂Ronaldinho alikua na skills tu ila hakuwa best playmaker.
Messi anatambulika kama BEST PLAYMAKER IN HISTORY.
Messi ana assist nyingi kuliko Ronaldinho je unalijua hilo!??
Messi amekua akihudumu namba tatu hadi sasa.namba 8,10 na 9.
Na tangia kuondoka kwa Xavi na Iniesta alihudumu kiungo mchezeshaji na kiungo mshambuliaji hadi sasa.
Huyo halland aliwahi kucheza namba 8 hata siku moja!??
Messi kipindi cha Ernesto Valverde namba 8 ndio ilikua namba yake.
Akichezesha timu kwa kuipandisha na kuishusha.
Alichofanya Messi HALLAND HAWEZI FANYA HATA ROBO YAKE MPAKA ANAINGIA KABURINI.
Labda kama ulikua hufuatilii mpira.
Enzi hizo messi anakokota mpira kuwapiga chenga wachezaji mpaka watano na kufunga.
Na messi is the best dribbler in history.
Mwambie huyo Halland a dribble hata wachezaji watatu kama anaweza.
Mwambie huyo halland achukue hata balon dior moja kwanza
 
Ofcourse kwa Sasa huwezi mlinganisha na hao, Ila akiwa na hii consistency kwa misimu 10, basi bila shaka atalinganishwa.

Hofu yangu hawezi kukaa na hii form kwa miaka 10 kama walivyofanya Messi na Ronaldo
Atalinganishwa nao kwa magoli tu ila sio kwa vingine.
Messi na Ronaldo walikua complete player wanakupa mambo mengi sana.
Ila Halland anakupa kitu kimoja tu ambacho ni magoli basi.
Messi na Ronaldo walikua game changer ila kwa Halland hilo halipo.
Mfano embu niambie Halland ana assist ngapi kwa msimu mmoja tu!?
 
😂😂😂😂😂😂Ronaldinho alikua na skills tu ila hakuwa best playmaker.
Messi anatambulika kama BEST PLAYMAKER IN HISTORY.
Messi ana assist nyingi kuliko Ronaldinho je unalijua hilo!??
Messi amekua akihudumu namba tatu hadi sasa.namba 8,10 na 9.
Na tangia kuondoka kwa Xavi na Iniesta alihudumu kiungo mchezeshaji na kiungo mshambuliaji hadi sasa.
Huyo halland aliwahi kucheza namba 8 hata siku moja!??
Messi kipindi cha Ernesto Valverde namba 8 ndio ilikua namba yake.
Akichezesha timu kwa kuipandisha na kuishusha.
Alichofanya Messi HALLAND HAWEZI FANYA HATA ROBO YAKE MPAKA ANAINGIA KABURINI.
Labda kama ulikua hufuatilii mpira.
Enzi hizo messi anakokota mpira kuwapiga chenga wachezaji mpaka watano na kufunga.
Na messi is the best dribbler in history.
Mwambie huyo Halland a dribble hata wachezaji watatu kama anaweza.
Messi ndio playmaker bora kuwahi kutokea. Ndio maana huwa nasimama na Messi pale anapolinganishwa na Ronaldo. Messi ana-offer votu viwili kufunga na pia kama playmaker
 
hizo zote ni porojo tu, wachezaji wengi tu wameshawin games individually, ila kilichowaweka wao juu ni namba na sio indiviidual brilliance.

Unaweza nambia in which angle Cr 7 au Messi wanamzidi ronaldinho in terms of individual brilliance?
kinachowafanya wao waheshimike zaidi ni numbers ambazo kijana halland anazitafuna,
Kwa Ronaldo siwezi sema ila kwa Messi ninaweza kusema wapi kamzidi Ronaldinho.
Messi ni mwepesi wa kudribble na ana dribble za kasi na zilizofupi kuliko Ronaldinho,ndio maana walimuita messi the best dribbler in history.
Messi ana accuracy katika dead ball kuliko Ronaldinho.
 
Atalinganishwa nao kwa magoli tu ila sio kwa vingine.
Messi na Ronaldo walikua complete player wanakupa mambo mengi sana.
Ila Halland anakupa kitu kimoja tu ambacho ni magoli basi.
Messi na Ronaldo walikua game changer ila kwa Halland ilo halipo.
Mfano embu niambie Halland ana assist ngapi kwa msimu mmoja tu!?
Haaland nafasi anayocheza ukitaka afanye hayo mengine utamuonea tu

Ronaldo de lima tunamhesabu moja ya mchezaji bora kuwahi kutokea, kwani ana assists ngapi? Pele ana assists ngapi?

Messi hizo ziada ni sababu ya nafasi aliyokua akicheza
 
Haaland ni complete player. Yeye ni lone striker, Sasa iweje asiwe complete player?

Utofauti wake na kina Messi ni nafasi tu, Messi hakua lone striker, alikua false 9 na pia kama attacking midfielder
Mkuu Halland kuchezesha timu hana kipaji hiko.
Kama angekua nacho Guardiola angeshamtumia.
Halland hana kingine cha kukupa zaidi ya ufungaji tu.
Ila Halland hawezi kuwa team game changer.
 
Haaland nafasi anayocheza ukitaka afanye hayo mengine utamuonea tu

Ronaldo de lima tunamhesabu moja ya mchezaji bora kuwahi kutokea, kwani ana assists ngapi? Pele ana assists ngapi?

Messi hizo ziada ni sababu ya nafasi aliyokua akicheza
Alionekana ana hicho kipaji ndio maana wakamuweka hizo nafasi.
Ndio maana hata kipindi cha Ernesto Valverde alikua akichezeshwa mara 8 mara 10 mara 9.He has that ability.
Mbona wengine hawakupewa hizo nafasi kama wana uwezo!??
Uwezo wake messi ndio umeonesha kuhudumu hizo nafasi.
 
Alionekana ana hicho kipaji ndio maana wakamuweka hizo nafasi.
Ndio maana hata kipindi cha Ernesto Valverde alikua akichezeshwa mara 8 mara 10 mara 9.He has that ability.
Mbona wengine hawakupewa hizo nafasi kama wana uwezo!??
Uwezo wake messi ndio umeonesha kuhudumu hizo nafasi.
Ni kweli, ndio maana nasema kutokana na namba aliyokua akicheza basi aliweza kufanya hayo mengine
 
Back
Top Bottom