Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Serikali ya mama imetekeleza hilo kwa weledi mkubwa kupitia taasisi yake maridhawa ya Chawa wa Mama😂,,,Duniani kote serikali siyo mwajiri mkuu. Kazi ya serikali inayojitambua ni kuwapa vijana elimu nzuri inayowawezesha kujiajiri pamoja na kuandaa mazingira mazuri katika sekta binafsi ili vijana wake waweze kuajiriwa huko. Serikali inayoshindwa kuwapa vijana wake elimu bora (ikiwemo ya vitendo) na kuimarisha sekta binafsi ambayo ndiye mwajiri mkuu basi serikali hiyo inastahili lawama kwa kuwatelekeza vijana wake.
huko ndiko zilikozaliwa wizara mbali mbali kama Masumbwi ya Mama, Marathon ya Mama, Goli la Mama n.k ni kuwa mbunifu tu, unaweza ukaja hata na "Kikoba cha Mama" ukapata support ya serikali.