Hali halisi ilivyo Ajira portal: Hii ndiyo serikali ya CCM inayojinasibu kumwaga ajira kwa maelfu ya wahitimu

Serikali ya mama imetekeleza hilo kwa weledi mkubwa kupitia taasisi yake maridhawa ya Chawa wa Mama😂,,,

huko ndiko zilikozaliwa wizara mbali mbali kama Masumbwi ya Mama, Marathon ya Mama, Goli la Mama n.k ni kuwa mbunifu tu, unaweza ukaja hata na "Kikoba cha Mama" ukapata support ya serikali.
 
Nani aliyekwambia kijana akiishasoma LAZIMA aajiriwe na Serikali? Kama ni lazima, unatumia mfano wa nchi gani?
 
Haki ya nani nakuja na Sukuma Gang wa mama halafu nipige hela wakati huu wa uchaguzi.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…