Hali hii ya kuchukua mwingine akisifiwa huchochewa na nini hasa?

Hali hii ya kuchukua mwingine akisifiwa huchochewa na nini hasa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Mwingine anasifiwa kwa uhodari au umahiri uliompendeza msifiaji, halafu mwingine huenda hata hahusiki, eti anachukia na kuumia moyoni kabisa mpaka anapata mihemko na ghadhabu, na wakati mwingine kwa kejeli, vijembe na mabezo kama yote na saa zingine hadi matusi...

Hivi hali hii ya chuki dhidi ya wanaosifia, mathalani wanawasifia viongozi wao wanaofanya viziri, mfano katika medani za kisiasa. hali hii huchochewa na kitu gani mpaka mtu kua na hasira namna ile?

Sasa kama huna cha maana ulichofanya ndio usifiwe, si uongeze bidii na maarifa nawe ufanye vyema halafu usifiwe. mtu akisifiwe, wewe inakuuma au unakerwa na nini sasa:pulpTRAVOLTA:
 
Binafsi lazim nije niwe raisi wa Tanzania , siku nikiwa raisi nyie mnaosifia sifia lazima ipitishwe sheria ya kunyongwa kwa wanaonisifia ujinga mimi kama raisi au yoyote yule kwnye uongozi wangu .

Yani itakua kazi kazi hakuna kucheka na kima 🐒.
 
1) Ukiona unamchukia mtu una tatizo.
2) Ukiona unataka watu wakupende una tatizo.
3) Ukiona una furaha mwenzio akifanikiwa na kusaidia kutatua matatizo ya watu, ujuwe wewe ni kiumbe bora hapa dunia.
 
Binafsi lazim nije niwe raisi wa Tanzania , siku nikiwa raisi nyie mnaosifia sifia lazima ipitishwe sheria ya kunyongwa kwa wanaonisifia ujinga mimi kama raisi au yoyote yule kwnye uongozi wangu .

Yani itakua kazi kazi hakuna kucheka na kima 🐒.
sijaelewa wew ni victim au ni actor katika scenario hiyo 🐒
 
Mimi ni raisi wenu ajae miaka hiyo, mimi ni nyota ya Capricorn waulize mama juzi wa mashariki , mkombozi wenu amezaliwa ,mbona wewe umekuwa wa mwisho kupeleka uvumba na manukato ya thamani ndugu mheshimiwa 🐒 ?
napenda sana vijana wenye ndoto kubwa kubwa za vitu vya maana kama Urais, coz najua ukikosa Urais basi umakamu, au uwaziri mkuu utakuhusu.....

ile ya kuachana nayo ni ile roho ya kunyonga wengine, coz itatatiza ndoto yako 🐒
 
Mimi ni raisi wenu ajae miaka hiyo, mimi ni nyota ya Capricorn waulize mama jusi wa mashariki , mkombozi wenu amezaliwa ,mbona wewe umekuwa wa mwisho kupeleka uvumba na manukato ya thamani ndugu mheshimiwa 🐒 ?
Rais enzi hizo nitakuwa kibibi cha maana sana utanisaidia kuangaliapo wajukuu kwa kuwa watakuwa very very genius utawapapo kipaumbele
 
Back
Top Bottom