Hali ilivyo nchini Somalia

Elimu bado inahitajika Nani anakwambia ufananishe Bei ya bidhaa za nchi ya watu kwa currency yako ??

Mfano Michelle sijui elf 60
Je wajua kupata pesa baada ya kubadili iwe elf 60tzs Kuna urahisi na ugumu kulingana na sehemu

US tzs 60k unaeza pata kwa masaa pungufu ya matano. Somalia sijui ila inaweza kuwa ngumu zaidi..tz ndo kabisa week kibarua ndo unaeza pata hio hela
 
Wewe ndiyo unahitaji elimu ili ujue kuwa somalia imeendelea kuliko tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuendelea ni majengo? Ni sawa na Kenya ..30% ya vijana Nairobi no robbers

Fool you
Somalia kila kitu rahisi.watoto wanatibiwa bure lakini tanzania kwa sasa ni pesa.wajawazito wanajifungua bure lakini tanzania ni pesa.tanzania tulichoizidi somalia ni kutokuwepo kwa alshabaab tu.Huduma zote zingine upatikanaji wake ni rahisi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasomali wana uthubutu na hilo hadi kwenye nchi za watu. Mfano mzee Kinana.
 
Kule lazima wanyooke maana hakuna kuleteana ubabe
Mkinyukana mwishowe mtaishi kwa adabu

Ova
 
Mimi ni Tomaso sijaamini chochote ulichoandika bila picha!!

Ungetuwekea picha za jiji la Mogadishu ukaweka na price tag za magunia ya vyakula sokon na petrol station ungepiga picha sehemu ya bei tuone tulinganishe otherwise itakuwa unatumia vibaya kishikwambi cha sensa wakati wenzako wako bize juu ya miti wanasaka network we uko JF.

FAO wametangaza Somalia wanakufa njaa mvua hamna kwa miaka 4 mfululizo inakuwaje bei ya vyakula iwe chini kuliko wanapoagiza? yaani hata mtoto wangu hapa humpati!

kwa uandishi huu usioweka mambo muhimu nafikiri wewe ni Kolo FC oya oya au?
 
Ndio maana wanatwambia twende Burundi huwezi kusikia wakisema Twende Somalia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…