Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,270
- 2,822
Naona mzee wa legacy Stroke umepigwa stroke ghafla mpaka umepagawa...!!Weka na mahali pengine pia kukiwa hakuna kitu kama hivyo.
Sukuma gang wacha kulialia wewe,kutesa kwa zamu na sasa ni zamu yenu kulia na kusaga menoJambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.
Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".
Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!
*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.
Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.
Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.
Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.
Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.
Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.
Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.
Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?
Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.
Naona umepanic, nionyeshe tusi kwenye hiyo thread, pili hiyo miradi uliyoorodhesha hakuijenga kwa kutumia pesa zake, ni pesa za watanzania wote.Jambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.
Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".
Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!
*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.
Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.
Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.
Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.
Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.
Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.
Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.
Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?
Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.
Mbona mirafi inafanya kazi kama kawaidaKwani yule mbuzi aliyejenga machinga complex naye alikuwa dictator.
Au kuweka yard ya Mwendo Kasi kwenye mafuriko ya mto msimbazi ilikuwa akili au matope.
Acheni Chuki kama kuku vijana WA Leo mnakera kweli
Sasa mumuache mama wawatu afanye kazi hatutaki umbeya wa kisukuma mtulie.Sisi tunaendelea kula nchi tu naikifika 2025 unapigwa tena ya kichwa kama kawa!! Then uanze tena kulalamika. Mbowe ameshawajulia jinsi ya kubadirisha gia angani sasa hivi yeye anakula kuku kwa mrija wewe umebaki kulalamika hapa JF. Daraja la Magufuli huku Busisi linaendelea vizuri sana tu mkuu. Endelea kuumia mpaka kifo chako. Pole sana mkuu!!
Kwahiyo mkuu unataka serikali ikawafunge kamba wananchi kuwapeleka kwenye stendi mpya?🤣 hii nchi haiishi vitukoHuo ni mpango wa serikali awamu hii kutaka kumkomoa marehemu tuu
Duh.Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
Lake mtu halimtapishiMbona mirafi inafanya kazi kama kawaida
Hamna kupumzika!Not just Necessary say "must" sema must x 10 rudia tena ikukae kichwani. Ilikuwa ni lazima kwani magapi yamefanyika mikoa mingine tena makubwa? Nakuuliza ni project ngapi jpm wetu alizifanya sehemu tofati na chato iweje hako kawe gumzo?
Niseme hivi aliye jenga alijuwa jinsi gani watu watapatumia nagekuwa hai hapo kungekuwa ni habari nyingine.?
Muacheni apumzike basi kha!
Unatete Nini mkuu..basi anahewapelekea visima vya maji...huko Geita Kuna maeneo hawana maji ,ilhai ziwa Victoria lipo km chache tu !!!!Ange renforce kwenye nn?kaacha bus stand 2 Mpya kubwa kuliko hio ya chato(Nyamhongolo na Nyegezi), au ulitaka ajenge stand ya 3 wapi?[emoji1745]
Kaacha rader pale airport, jengo la abiria lilo telekezwa km stand ya chato, soko kubwa linajengwa kwa kusuasua pale town, daraja kubwa Kuliko yote EAT...what else ulitaka afanye?huu sasa ndo tunaita uroho.
Mhh
Acha porojo mradi aujakamilika kwa sababu serikali aijapeleka hela za kuumalizia na zingine mkandarasi kaanza nazo kazi ajafanya.
Hiyo stand aijawahi kufunguliwa rasmi kwa matumizi ya mabasi ndio maana ipo ivyo; serikali ya Bi Tozo ndio imeitelekeza mradi sio kwamba auna tija.
Hiyo picha inaonesha stand ni dormant ,ungeleta utetezi mwingine ,labda ungesema mpiga picha alikuta watu wapi break😁Umenena vema. Ni kweli stendi ya mabasi makubwa haijaanza operation. Ila hii ya kwenye video ni stendi ndogo na inafanya kazi mpaka saa 12 jioni. Magari yanayotoka chato kwenda Mwanza kweli ni machache e.g Mkwema, & stendi ndogo inafanya kazi kila siku (Mabasi ya kwenda katoro, Muganza, Mwanza, Bukoba, Mutukura e.t.c yanapakia na kushusha abiria hapo daily!)., Wamachinga wapo, wamama wanaouza maziwa wapo, wapiga debe wapo, mama ntilie wapo, bodaboda na bajaji wapo daily kujipatia riziki kdg. Let's avoid pessimism wakuu! . Nakataa mtoa mada kupost video indicating stendi iko completely dormant. Let's be optimistic bhana..
Hili mkuu
Acha porojo mradi aujakamilika kwa sababu serikali aijapeleka hela za kuumalizia na zingine mkandarasi kaanza nazo kazi ajafanya.
Hiyo stand aijawahi kufunguliwa rasmi kwa matumizi ya mabasi ndio maana ipo ivyo; serikali ya Bi Tozo ndio imeitelekeza mradi sio kwamba auna tija.
Hapa tupo stand ya mabasi Chato,wewe unaionaje !? Huko kwingine ni mada tofauti ,vipi Mbugaya Wanyama ya Burigi aka Kitovu Cha Utalii wale Wanyama walihamishiwa huko bado wapo!?Jambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.
Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".
Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!
*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.
Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.
Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.
Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.
Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.
Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.
Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.
Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?
Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.
enzi za utawala wamarehemu hata hiyo video usingepata ujasiri wa kuipiga.Hii ndiyo hali ilivyo katika stendi ya mabasi chato, Je tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je Nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha wananchi?
View attachment 2552469
Hiyo picha inaonesha stand ni dormant ,ungeleta utetezi mwingine ,labda ungesema mpiga picha alikuta watu wapi break😁