Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Kipi kikusikitishacho? Hii ni nchi ina watu, sehemu ya Tanzania. Juzi juzi tu watu 27 walikufa Bukoba Airport shauri uwanja finyu, lakini Mkoa wa Kagera na mikoa ya jirani Geita Kigoma na Shinyanga wana watu karibia milioni 10 hawana airport imara. Ambapo kwa CHADEMA kina Mbowe hawafiki watu milioni 2 wana airport 3 za kimataifa Moshi, KIA na Arusha umbali wa kilometa 48. Hawa Watanzania wa Chato Kagera Kigoma na Shinyanga ni wenzetu, kupewa stendi ya bus kuwatosha watu milioni 10 iwe nongwa? Ipi ni aghali zaidi, airport au stendi ya mabasi?

kiongozi [emoji1666][emoji1666][emoji1666]mtoe tope kichwani
 
Hii ndiyo hali ilivyo katika Stendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?

View attachment 2552469

Hii ndiyo hali ilivyo katika Stendi ya Mabasi Chato, Je, tatizo ni nini? au watu wapo busy na kilimo hawasafiri tena? Je, nini kifanyike kwenye huu mradi ili fedha (kodi za wanyonge) zilizotumika ziweze kuwanufaisha Wananchi?

View attachment 2552469
Eneo safi kabisa Kwa kuanikia michembe na udaga! Pia kuliko kuanika dagaa kweny e mawe wangeleta hapo tu! Tena wenzetu wamejaliwa maeneo makubwa mno hadi raha! Kuna kule eaport tena duuh hadi nawaonea wivu! 😄😄😄😄 Halafu hizo ni Kodi za watanzania wote then Kuna mfu mmoja maarufu sana alienda kuziharibia hapo! Manina zao mqjoka ya kijani
 
Admistrative building haijakamilika, kwanini? Kwahiyo watu wa huko wakisafiri wanapandia wapi?
 
Back
Top Bottom