Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Hali ilivyo Stendi Kuu ya mabasi Chato

Nadhan serikali inawajibu wa kuendeleza uwekezaji kama huu cz haisaidii kuachwa sababu ni kodi za watanzania zinateketea!!
Mi naona hapa ni wanataka kumkomesha marehemu huoni kama isingekuwa kelele Nyerere damu ingepotelea huko huoni sgr ipo wapi
 
Jpm alijitahid sana kufanya ambayo viongozi wengi wa Tanzania walishindwa kufanya,Jamaa alitaka kutuonyesha kwamba tunaweza ila wenye chuki na ubinafsi wakafanya yao....Hiyo inatosha kutupa kumbu kumbu ya huyu Mwamba.
Shujaa wako au siyo!! Ungejua hata husingeandika huu ujinga, mtu aliyetupitisha enzi za giza ila unamsifu
 
Uwepo wa hayo majengo yasiyo na watu kusionekane kama ndio mwisho wa dunia, hapo kinachotakiwa kufanyika ni serikali kusogeza huduma za jamii eneo husika, mfano wahamishie soko karibu, na magari ya abiria yatakiwe kuingia hapo stand, hapatuchukua muda mrefu patachangamka tu.
Ushawahi kufika hapo?
 
Why duniani maana mwajivunia na mabunduki, kule tuko sawa tunazichapa, na wenda unanikuta ndo mkaribisha wageni ,au nyampara au niko na kazi mahalum ndo utajua hujui
Kumbe unaogopa bunduki, huyo aliyekuambia mnakuwa sawa ni alikudanganya wewe zumbukuku!
 
Jambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.

Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".

Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!

*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.

Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.

Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.

Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.

Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.

Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.

Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.

Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?

Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.
Another Sukuma gang at work
 
Iko haja kwa viongozi wa wilaya kulitolea swala hili ufafanuzi. Na kama kutumika kama stand hakuna tija kwanini pasibadilishiwe matumizi, hakuna uhitaji wa majengo na eneo kwa ajili ya matumizi mengine?
Kama matumizi gani? Chato unaijua vizuri mkuu? Kile ni kijiji kikubwa. Labda pafanywe eneo la gulio/mnada. 😅
 
Jambo hili halifanyiki kwa bahati mbaya,kwa sababu wale wanaoyafanya haya.tunawajua na tunawaelewa historia zao.Ni ushirika ulioundwa makusudi ili kutimiza malengo yao upya.
Ndio hao wanaogawana keki ya nchi hii kama ilivyokuwa mazowea kabla ya 2015.
Wengine wakijiita walamba asali.

Kuanzia EPA,RICHMOND MEREMETA, SYMBION POWER na ma uozo lukuki yaliykuwa yameichungulisha kaburi "CCM."
Ikiwemo na ile HOME SHOPPING CENTER ambayo sasa ndio SILENT OCEAN. Ambayo Mzee Asali Junior aliwauxia kiwanja cha CCM.kinyemela wakati akiwa K/M CCM asali ilee!
Ambapo sasa ndio makao makuu yao hao "Bahari kimya".

Pale alipoingia Magufuli na kuanza kuusafisha huu uozo.
Na ndipo CCM na wafuasi wake walipopata nguvu mpya ya kukijenga upya chama.
Hadi leo wanapopata nafasi ya kumsimanga wakati akiwa hayupo tena mbele za familia yake!

*Magufuli kafa na kuacha...
*IKULU mpya ya Chamwino.
*ATCL mpya.
*SGR Mpya.
*Nyumba mpya za Magomeni.
*Mabweni Mapya UDSM.
*Daraja jipya la Tanzanite.
*Daraja jipya la Wami.
*Bwawa jipya la umeme JNHP.
*Stendi kuu za mabasi za kisasa Dodoma,Morogoro na Mwanza.
*Meli mpya Ziwa Victoria na ukarabati wa Mv Victoria.
*Meli Mpya ziwa Nyassa.
*Ndege na Helikopta mpya jeshini.

Pia kanunua Rada mpya nne nchini na kuondoa utegemezi wa Rada za Kenya.

Akafhibiti utoroshaji madini Mererani kwa kujenga ukuta na akaanzisha madoko huru ya madini nchi nzima.

Akazuia utoroshaji wa fedha kupitia utitiri wa Bureau de change mitaani.

Akarudisha nidhamu kwa watumishi sekta ya Umma na hakusita kutumbua mtu kwa uzembe hata kama alikuwa rafiki yake kama Charles Kitwanga.

Akaondoa vyeti feki na mushahara hewa nchi nzima.

Amekufa na kuiacha Tanzania ikiwa uchumi wa kati tukiwa kasi ya ukuaji ya 7.1%.

Yote haya ameyafanya ndani ya miaka mitano.halafu wajinga fulani wanajikusanya na kudhani wanaweza kuja kuizima legacy ya mtu kama huyu kwa kusjiri wajinga fulani mitandaini ili kumtukana?

Itakuwa ngumu sana hilo kutokea na labda mkabomowe hiyo miradi na kuwauwa wale wote wanamkubali na kumkumbuka Magufuli.

Mbona husemi alinunua kivuko akakikabidhi kwa jeshi
 
Kwani kuna Wilaya ambayo haikupata Stendi? Tena si bora Chato palichelewa sana hiyo stendi imemalizika mwaka jana?

Juzi nilifika Iringa huko Stand mpya Igumilo sijui wanapaita pamepoa vibaya mno! Nenda Kibaha stand ilipo! Nafikiri walikuwa na malengo ya kutanua miji kwaiyo sion kama ni issue
Hata Mbagala stendi tuu imepelekwa mwandege wabongo wanapenda toa lawama
 
Magufuli nimutoa maana baada ya kujenga Hospitali ya Kanda Chato,huku Kanda ya Ziwa namba Hospitali hata mmoja
 
Kama Nyerere angekiwa mbinafsi kama Magufuli basi leo hii Mkoa wa Mara usingeshikika kimaendeleo
 
Mwaka jana nilikwenda kikazi huko. Chumba cha 250,000 tulilala kwa 50,000. Hakuna Wateja kabisa. Zile Assets zitabadilika kuwa Magofu soon.
 
Shujaa wako au siyo!! Ungejua hata husingeandika huu ujinga, mtu aliyetupitisha enzi za giza ila unamsifu
Sasa kama mlikuwa majizi ulitaka awapitishe kwenye mwanaga kama hawamu hii?.
Na ningekuwa bwana Jera mlitakiwa mletwe Gerazani mnikute niwape kitu cha upinde wa mvua mijizi mikubwaaa.
 
Back
Top Bottom