Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Iran imeanza kuiadhibu Marekani kwanza kabla ya kuingia Israel baada ya kifo cha Ismael Haniye.

Makombora kadhaa yamerushwa kwenye kambi ya Marekani iliyoko Iraq na kusababisha maafa makubwa kwenye kambi hiyo.

Sambamba na hilo kiongozi wa mamlaka ya Palestina ambaye daima huonekana kuwa karibu na Israel dhidi ya Hamas,leo ametoa lawama kali dhidi ya Israel kutokana na kifo cha Ismael Haniye akisema mauwaji hayo yamekusudiwa kurefusha muda wa mapigano kati ya wapalestina na Israel.

Kwa upande wa Jordan mfalme wa nchi hiyo ametoa matamko makali kutokana na mauwaji yanayoendelea upande wa pili wa mipaka yake katika maeneo ya ukingo wa mashariki kuzunguka Jerusalem.

US personnel injured in rocket attack on Iraq base

 
Wasitufanye hatuna akili, wazipige hapo Heshima iwepo pande zote
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
 
Ila Wairan wana mdomo jamani! Yaani tangu watunguliwe wameongea weeeee! Hakuna kitendo hata kimoja.
Ukitaka kujua Iran kwanini kachelewa soma hi na kala ya mwana habari huyu


Shambulio linaanza lini? Katika makala nzuri ya Hussein Al-Dirani, anasema:

"Wakati usiku huu ni usiku wa nne ambapo walowezi wa Kizayuni watekaji nyara wanalazimika kujificha kwenye makazi yenye injini za umeme na masanduku ya maji na chakula baada ya kuvamia maduka ya vyakula... wanajiandaa kwa woga na kutetemeka!

Wakati soko la hisa la Marekani na soko la hisa likiwa katika hali duni isiyo na kifani na wataalam wa uchumi wa dunia kutangaza hasara ya dola trilioni 2.9 baada ya tishio la Iran!

Wakati Amerika inalazimika kutumia mamilioni ya dola kusafirisha meli za kivita, ndege kubwa na wapiganaji hadi eneo hilo!

Viwanja vya ndege vya Kizayuni vinapofungwa na safari za ndege kusitishwa moja baada ya nyingine!

Wakati hakuna Mzayuni hata mmoja ambaye yuko tayari kuhamia maeneo yaliyokaliwa ili kukaa!

Wakati, kama wanasema, walowezi zaidi ya 500,000 walipokanyaga katika ardhi hii iliyokaliwa kwa ahadi ya usalama, waliondoka na bado wanaondoka!

Wakati Mossad wanahamisha jengo la kati lenyewe kwa hofu!

Wakati viwanda na bandari zao kupokea amri ya kuacha shughuli zao na kuondoka mzunguko wa shughuli na uzalishaji!

Wakati nchi kadhaa zinaingilia kati kwa njia ya kufedhehesha kusimamisha hatua zinazofuata za kulipiza kisasi za Irani, haiwezekani, Mungu akipenda.

🔴 Shambulio limeanza kabla halijaanza, na kinachoendelea ni sehemu ya vita.. Hebu jifikirie (uko wapi?)!!"
 
Ila Wairan wana mdomo jamani! Yaani tangu watunguliwe wameongea weeeee! Hakuna kitendo hata kimoja.
Ebu fikiria. Wewe unataka kupigana na adui yako ambae anadai anauwezo wa kukupiga.

Sasa mkiwa mnajiandaa kuingia mapambanoni, ghafla adui yako anamwita baba yake ( Marekani) aje amsaidie kupamba na wewe. Hapo sasa wewe utaendelea na pambano au utaamua tu kuangalia namna utakavyomkamata huyo adui yako mtaani akiwa mwenyewe umdunde..

Ndivyo anavyofanya Iran, alikuwa ameshajiandaa kumpa kipigo Israel ghalfa Israel kamwita baba yake (Marekani) aje amsaidie ugomvi wake. Hivyo Iran ameamua amuache kwanza akitafuta njia ya kumtwanga pale baba yake na Israel (Marekani) atapokuwa yupo busy na mambo mengine ya uchaguzi.

Marekani kazingua sana kuingilia huu ugomvi kwa kutuma wanajeshi, silaha na usaidizi mbali mbali. Ilitakiwa awaache wenyewe watwangane bila kumpa mtu yoyote support hadi pale alieshindwa atapohitaji sasa msaada ndo asaidiwe au wewe unaonaje?
 
Ila Wairan wana mdomo jamani! Yaani tangu watunguliwe wameongea weeeee! Hakuna kitendo hata kimoja.
Mambo yameanza huko kuwaka moto.
Israel leo wameshambuliwa tena na Hizbollah.
Baada ya jana US kambi yao kupigwa.
Milipuko imesikika huko Nahariya.

IMG20240806133801.jpg
 
Ebu fikiria. Wewe unataka kupigana na adui yako ambae anadai anauwezo wa kukupiga.

Sasa mkiwa mnajiandaa kuingia mapambanoni, ghafla baba yake na adui yako anamwita baba yake aje amsaidie kupamba na wewe. Hapo sasa wewe utaendelea na pambano au utaamua tu kuangalia namna utakavyomkamata huyo adui yako mtaani akiwa mwenyewe umdunde..

Ndivyo anavyofanya Iran, alikuwa ameshajiandaa kumpa kipigo Israel ghalfa Israel kamwita baba yake (Marekani) aje amsaidie ugomvi wake. Hivyo Iran ameamua amuache kwanza akitafuta njia ya kumtwanga pale baba yake na Israel (Marekani) atapokuwa yupo busy na mambo mengine ya uchaguzi.

Marekani kazingua sana kuingilia huu ugomvi kwa kutuma wanajeshi, silaha na usaidizi mbali mbali. Ilitakiwa awaache wenyewe watwangane bila kumpa mtu yoyote support hadi pale alieshindwa atapohitaji sasa msaada ndo asaidiwe au wewe unaonaje?
Safi sana umempa point za uhakika na kuzidisha pia Iran kisha fanikisha kitu hapo Ain Al Asad base imesambaritishwa vizuri kabisa, mimi na infom nimesikia tarehe 14/8 ndio Iran atampiga Israel hio ni siku huwa ya huzuni kwa Israel. Iran anaweza kuwahi kumpiga Israel akiona Israel anataka kwenda mshambulia, na Israel hasara wanayo ipata huko ndio cabinet yao wame discussed kwamba kuliko kula hizo hasara bora tumuwahi Iran, lakini Iran kupenya anga lake sio rahisi sababu kisha zuia hakuna ndege kupita anga hata hizo ndege za civilians. Hapo F35 haina ujanja huwa wanapenya kwa kutumia system flan kuonyesha hio ni civilian air craft. Israel yuko hoi hapo hajui atafanya nini. Akipeleka ndege zinaangushwa tu hazirudi.
 
Ukitaka kujua Iran kwanini kachelewa soma hi na kala ya mwana habari huyu


Shambulio linaanza lini? Katika makala nzuri ya Hussein Al-Dirani, anasema:

"Wakati usiku huu ni usiku wa nne ambapo walowezi wa Kizayuni watekaji nyara wanalazimika kujificha kwenye makazi yenye injini za umeme na masanduku ya maji na chakula baada ya kuvamia maduka ya vyakula... wanajiandaa kwa woga na kutetemeka!

Wakati soko la hisa la Marekani na soko la hisa likiwa katika hali duni isiyo na kifani na wataalam wa uchumi wa dunia kutangaza hasara ya dola trilioni 2.9 baada ya tishio la Iran!

Wakati Amerika inalazimika kutumia mamilioni ya dola kusafirisha meli za kivita, ndege kubwa na wapiganaji hadi eneo hilo!

Viwanja vya ndege vya Kizayuni vinapofungwa na safari za ndege kusitishwa moja baada ya nyingine!

Wakati hakuna Mzayuni hata mmoja ambaye yuko tayari kuhamia maeneo yaliyokaliwa ili kukaa!

Wakati, kama wanasema, walowezi zaidi ya 500,000 walipokanyaga katika ardhi hii iliyokaliwa kwa ahadi ya usalama, waliondoka na bado wanaondoka!

Wakati Mossad wanahamisha jengo la kati lenyewe kwa hofu!

Wakati viwanda na bandari zao kupokea amri ya kuacha shughuli zao na kuondoka mzunguko wa shughuli na uzalishaji!

Wakati nchi kadhaa zinaingilia kati kwa njia ya kufedhehesha kusimamisha hatua zinazofuata za kulipiza kisasi za Irani, haiwezekani, Mungu akipenda.

🔴 Shambulio limeanza kabla halijaanza, na kinachoendelea ni sehemu ya vita.. Hebu jifikirie (uko wapi?)!!"
Na ushajiuliza kama Israel ikiamua kuishambulia Iran, wao wanazo hizo bunkers? Si ndio watauwawa kama kuku halafu waanze kulialia? Kwa taarifa binafsi naomba sana inyeshe tuone panapovuja. Ni Israel au Iran?
 
Ebu fikiria. Wewe unataka kupigana na adui yako ambae anadai anauwezo wa kukupiga.

Sasa mkiwa mnajiandaa kuingia mapambanoni, ghafla baba yake na adui yako anamwita baba yake aje amsaidie kupamba na wewe. Hapo sasa wewe utaendelea na pambano au utaamua tu kuangalia namna utakavyomkamata huyo adui yako mtaani akiwa mwenyewe umdunde..

Ndivyo anavyofanya Iran, alikuwa ameshajiandaa kumpa kipigo Israel ghalfa Israel kamwita baba yake (Marekani) aje amsaidie ugomvi wake. Hivyo Iran ameamua amuache kwanza akitafuta njia ya kumtwanga pale baba yake na Israel (Marekani) atapokuwa yupo busy na mambo mengine ya uchaguzi.

Marekani kazingua sana kuingilia huu ugomvi kwa kutuma wanajeshi, silaha na usaidizi mbali mbali. Ilitakiwa awaache wenyewe watwangane bila kumpa mtu yoyote support hadi pale alieshindwa atapohitaji sasa msaada ndo asaidiwe au wewe unaonaje?
Kwahiyo Iran pamoja na kusikia kuwa inasaidiwa na Urusi na Uturuki bado inamwogopa Israel kwasababu ya Marekani? Hapo nimekuelewa. Mueleweshe na Webabu basi!
 
Ebu fikiria. Wewe unataka kupigana na adui yako ambae anadai anauwezo wa kukupiga.

Sasa mkiwa mnajiandaa kuingia mapambanoni, ghafla baba yake na adui yako anamwita baba yake aje amsaidie kupamba na wewe. Hapo sasa wewe utaendelea na pambano au utaamua tu kuangalia namna utakavyomkamata huyo adui yako mtaani akiwa mwenyewe umdunde..

Ndivyo anavyofanya Iran, alikuwa ameshajiandaa kumpa kipigo Israel ghalfa Israel kamwita baba yake (Marekani) aje amsaidie ugomvi wake. Hivyo Iran ameamua amuache kwanza akitafuta njia ya kumtwanga pale baba yake na Israel (Marekani) atapokuwa yupo busy na mambo mengine ya uchaguzi.

Marekani kazingua sana kuingilia huu ugomvi kwa kutuma wanajeshi, silaha na usaidizi mbali mbali. Ilitakiwa awaache wenyewe watwangane bila kumpa mtu yoyote support hadi pale alieshindwa atapohitaji sasa msaada ndo asaidiwe au wewe unaonaje?
Iran kachagua muda mzuri kuingia mapambanoni na Israel au tuseme Israel kwa kiburi chake amejichanganya na kuamaua kufanya unyama zaidi muda ambao sio muwafaka kwake na kwa bwana zake.
Marekani kila uchaguzi ukikaribia ndio inataka kuwa na utulivu zaidi nchini mwake ambako tayari hali kadhaa ni tete.Hilo likitokea muda huu hata uchaguzi hautafanyika.Na kumbuka Marekani kwa muda huu mpaka uchaguzi umalizike unaongozwa na raisi ambaye hana kumbukumbu vizuri na maamuzi yake katika muda wa vita itabidi asaidiwe.Itakuwa ni vurugu na aibu tupu kwa taifa linalojitangaza kinara wa demokrasia na maendeleo duniani.
 
Iran imeanza kuiadhibu Marekani kwanza kabla ya kuingia Israel baada ya kifo cha Ismael Haniye.
Makombora kadhaa yamerushwa kwenye kambi ya Marekani iliyoko Iraq na kusababisha maafa makubwa kwenye kambi hiyo.
Sambamba na hilo kiongozi wa mamlaka ya Palestina ambaye daima huonekana kuwa karibu na Israel dhidi ya Hamas,leo ametoa lawama kali dhidi ya Israel kutokana na kifo cha Ismael Haniye akisema mauwaji hayo yamekusudiwa kurefusha muda wa mapigano kati ya wapalestina na Israel.
Kwa upande wa Jordan mfalme wa nchi hiyo ametoa matamko makali kutokana na mauwaji yanayoendelea upande wa pili wa mipaka yake katika maeneo ya ukingo wa mashariki kuzunguka Jerusalem.
unashauri nini
 
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Russia naye si anamsaidia Iran?
Wasichokijua wavaa makobazi ni kuwa huyo mrusi ndiye anaye wauza huku anawaambia anawasaidia. Wacha wavaa kobazi wachapike wakome kutumika.
 
Ila Wairan wana mdomo jamani! Yaani tangu watunguliwe wameongea weeeee! Hakuna kitendo hata kimoja.
Afro Shiraz Party (ASP) kilikuwa chama cha siasa huko Unguja na Pemba kikiwaunganisha waafrika weusi na washirazi dhidi ya wengine.

Kimsingi, washirazi asili yao ni Iran ya leo. Sasa mdomo unaowashangaa wairan kuwa nao hautofautiani na ule wa waunguja na wapemba maana ni dugu moja.
 
Afro Shiraz Party (ASP) kilikuwa chama cha siasa huko Unguja na Pemba kikiwaunganisha waafrika weusi na washirazi dhidi ya wengine.

Kimsingi, washirazi asili yao ni Iran ya leo. Sasa mdomo unaowashangaa wairan kuwa nao hautofautiani na ule wa waunguja na wapemba maana ni dugu moja.
Lakini hawa Wapemba na Waunguja wakiona mambo yamewazidi hutumia kamsemo kao ka, "...bora yeshe..."! Ahahahahaha!!!
 
Na ushajiuliza kama Israel ikiamua kuishambulia Iran, wao wanazo hizo bunkers? Si ndio watauwawa kama kuku halafu waanze kulialia? Kwa taarifa binafsi naomba sana inyeshe tuone panapovuja. Ni Israel au Iran?
Nani kakuambia ndege za Israel zitapenya Iran 😄
 
Lakini hawa Wapemba na Waunguja wakiona mambo yamewazidi hutumia kamsemo kao la, "...bora yeshe..."! Ahahahahaha!!!
Nyerere aliwahi kutamani lau visiwa vile (Unguja na Pemba) vingalidondokea baharini. Ni kwa sababu ya mdomo! Wana kauli za shombo haooo hakuna mfano.

By the way, kuunganisha ASP na TANU kuzaliwa CCM ni katika jitihada za kupunguza shombo zao maana muungano usingalidumu.

Bahati mbaya jasiri haachi asili; pamoja na yote hayo hawakomi kwa midomo. Ndivyo walivyo.
 
Siku ile Iran wamerusha makombora kuelekea Israel, Israel walisema watalipa kwa wakati na mahali sahihi,

Baada ya pale kila siku ni vilio kutoka Iran maana tulishudia Rais wao akipotelea mmsituni, kambi zao za kijeshi huko Syria kulipuliwa na kuuawa maafisa kadhaa wa Iran, na juzi hapa Israel imewapukutisha viongozi wa juu wa Hamas na Hezbolah kwa mpigo.

Kitendo cha Israel kwenda kumuua kiongozi wa hamas ndani ya Israel tena kwenye kambi ya jeshi la Iran, aisee ilikuwa ni bonge la fu.....ck you kwa Ayatollah. Kitendo hiki kinaonesha hakuna alie salama ndani ya Iran..

Mpaka sasa hivi Iran hana la kufanya maana hajui atakaefuta kutunguliwa au akipotelea msituni baada ya hapo.
 
Back
Top Bottom