Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

Ila Wairan wana mdomo jamani! Yaani tangu watunguliwe wameongea weeeee! Hakuna kitendo hata kimoja.
Kwa sasa inaendelea psychoops wewe watu wanaishi kwenye mahandaki huko usichukulie poa uchumi unalegalega hii hata ikiendelea hivi hivi ni victory kwa kweli kusimamisha mambo ya watu for a week kwenda kukaa kwenye shelter inaonyesha kuwa huyo mtu hapigi mkwara anauwezo wa kuharibu kisawasawa.
 
Kila mtu sasa hivi anaidharau Israel kwa kupenda kusaidiwa hata ikipambana na wanamgambo wanaotumia manati, mawe na migobole kupambana 😂😂
Mtoto wa bwan'tajiri huyo utamwambia nini akusikie!? anawatendea majirani vyovyote vile anavyojisikia na baba ake akisikia anafokewa anakuja haraka kumkingia kifua.
 
Kwa sasa inaendelea psychoops wewe watu wanaishi kwenye mahandaki huko usichukulie poa uchumi unalegalega hii hata ikiendelea hivi hivi ni victory kwa kweli kusimamisha mambo ya watu for a week kwenda kukaa kwenye shelter inaonyesha kuwa huyo mtu hapigi mkwara anauwezo wa kuharibu kisawasawa.
Ni vita ya aina yake.
 
Kwa sasa inaendelea psychoops wewe watu wanaishi kwenye mahandaki huko usichukulie poa uchumi unalegalega hii hata ikiendelea hivi hivi ni victory kwa kweli kusimamisha mambo ya watu for a week kwenda kukaa kwenye shelter inaonyesha kuwa huyo mtu hapigi mkwara anauwezo wa kuharibu kisawasawa.
Waisrael kujificha ndani ya maandaki (bunkers) ni jambo la kawaida, ndio maana wamefunga ving'ora vya kutoa tahadhari nchi nzima! Hofu yangu ni kwa Wairan. Israel ikianza kuishambulia wanazo hizo bunkers?
 
Marekani hana uhakika wa kupata uungwaji mkono na washiriki wake kama alivyozoea. Amewadanganya vya kutosha na hao washirika wake wamekuwa wahanga wa kubwa tofauti na yeye Marekani.

Wakifikiria kuanzia vita ya kumtoa Saddam Hussein na vita kati ya Ukraine na Russia, ulaya haina hamu na huyo Marekani.
 
Iran kachagua muda mzuri kuingia mapambanoni na Israel au tuseme Israel kwa kiburi chake amejichanganya na kuamaua kufanya unyama zaidi muda ambao sio muwafaka kwake na kwa bwana zake.
Marekani kila uchaguzi ukikaribia ndio inataka kuwa na utulivu zaidi nchini mwake ambako tayari hali kadhaa ni tete.Hilo likitokea muda huu hata uchaguzi hautafanyika.Na kumbuka Marekani kwa muda huu mpaka uchaguzi umalizike unaongozwa na raisi ambaye hana kumbukumbu vizuri na maamuzi yake katika muda wa vita itabidi asaidiwe.Itakuwa ni vurugu na aibu tupu kwa taifa linalojitangaza kinara wa demokrasia na maendeleo duniani.
Jidanganye! Unaijua baraza la usalama la Marekani? Wajumbe ni wakuu wa vyombo vyote( CIA,NSA,JESHI,FBI NA WASHAURI WA USALAMA WA NJE NA NDANI) Hawa wakikaa ndo wanafanya maamzi ya hatima ya Marekani kivita au kwenye operation yoyote yenye risk scenario. Rais anakuwa pale kwenye kikao kujilizisha tu nakupokea ufafanuzi na kuuliza maswali na kuidhinisha... ! Mission ikifanikiwa atanufaika kisiasa mission iki fail wanajeshi wa Marekani wakapoteza maisha kwenye nchi ya kigeni huo mzigo anabebeshwa mabegani kwake for the rest of his life. NAMALIZIA KWA KUSEMA HALI YA SASA YA AFYA YA BIDEN HAIIZUII MAREKANI KUFANYA CHOCHOTE POPOTE
 
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
waloshindwa sababu huwa haziwaishi!!
hyo ndo vita
Hamna vita ya mtu mmoja karne hii.
marekan vita zote anaendaga na washirika wake.
Kuwa na wshirika ilihali ww huna nayo n sehemu ya vita
Iran is dumed
 
Jidanganye! Unaijua baraza la usalama la Marekani? Wajumbe ni wakuu wa vyombo vyote( CIA,NSA,JESHI,FBI NA WASHAURI WA USALAMA WA NJE NA NDANI) Hawa wakikaa ndo wanafanya maamzi ya hatima ya Marekani kivita au kwenye operation yoyote yenye risk scenario. Rais anakuwa pale kwenye kikao kujilizisha tu nakupokea ufafanuzi na kuuliza maswali na kuidhinisha... ! Mission ikifanikiwa atanufaika kisiasa mission iki fail wanajeshi wa Marekani wakapoteza maisha kwenye nchi ya kigeni huo mzigo anabebeshwa mabegani kwake for the rest of his life. NAMALIZIA KWA KUSEMA HALI YA SASA YA AFYA YA BIDEN HAIIZUII MAREKANI KUFANYA CHOCHOTE POPOTE
Acha ujinga na mawazo ya kizamani. Kwa zamani tulikuwa hatuwalaumu watu wenye akili kama yako, maana mitandao ya kijamii na teknolojia ya kuweza kukufanya mtu ufuatilie jambo na kuujua ukweli ilikuwa hamna.

Vilaza wengi walipata source kwa njia za movie za kina Rambo, Anord, Chuck Norris nk. Hivyo kuamini kuwa Marekani ni nchi ambayo inaweza kupata ushindi popote na kwenye nchi yoyote kama walivyoona katika movie za kina Rambo 😂😂😂

Lakini sasa dunia imeweza kujua mengi zaidi kupitia mitandao hii ya kijamii na kugundua kuwa yale waliyokuwa wanayawaza katika akili yao kuhusu Marekani kushinda vita popote hayakuwa kweli bali ni movie tu ndo ziliwadanganya.

Japo siujui umri wako lakini nina imani ukitafuta watu wenye uelewa mkubwa wa kujua mambo zaidi yako watakwambia vizuri ni nini kilichowapata Wamarekani kule Vietnam hadi kupelekea kulazimisha kila mfanyakazi, mwanafunzi na raia wa kawaida kujiunga na jeshi la nchi hiyo kwa lazima ili wapelekwe vitani Vietnam. Tukiachana na hiyo vita ya Vietnam, turudi hapa hapa jirani yetu Somalia. Marekani alipeleka jeshi lake, ndege zake za kivita, manoary, vifaru nk. Lakini walitwangwa sawa sawa mpaka wakakimbia na kuacha baadhi ya silaha zao ambazo ndio zilikuja kutumiwa baadae na alshabab. Hizo vita ninazokwambia hapo juu nahisi zilitokea ukiwa haujazaliwa hivyo kuelewa kwako kutakuwa kwa shida sasa.

Sasa ngoja nikupe mfano wa vita ambavyo pia Marekani kashindwa huku wewe ukiwa umeshazaliwa. Vita vyenyewe ni hivi vya Afghanistan.Nafikiri umeona jinsi Marekani tena akiwa na washirika wake Uingereza, Ufaransa, Ujeruman nk walivyoshindwa na kuamua kukimbia bila ya kufikia lengo lao. Hapo Syria mpaka leo wameshindwa kumn'goa Asad ambae walipanga kumtoa kipindi kile vita ilipoanza katika nchi yake.

Hizo nchi zote ninazokwambia kuwa zimemshinda Marekani kuanzia Vietnam, Somalia, Afghanistan na Syria ni za hovyo tu hazina Teknolojia, hazitengenezi silaha, hazina jeshi lenye nguvu wala chochote cha maana. Sasa ndo unafikiri Marekani ataweza kuthubutu kutia pua Iran kwenye nchi ambayo inateknolojia ya hali ya juu. Leo hii ukisikia Hezbulla kapiga kambi ujue ni teknolojia ya Iran ndo imeona ilipo kambi hiyo na kuwapa direction vijana ya wapi pa kupiga. Iran inaunda ndege ambazo hazionekani hata kwenye rada za Marekani na Israel, moja ni ile ya juzi iliyotumwa na vijana wa houth. Iliingia na kupiga na kuua. Sasa unaweza kujiuliza kwa ulinzi wa anga na ardhini wa Israel akishirikiana na Marekani yake, ndege ile iliweza kupitaje na kwenda kutekeleza mission yao iliyopangwa. Hapo bado sijakwambia zile ndege zisizo na ruban ambazo Iran alimpa mrusi na kubadilisha muundo wa vita kule Ukraine hadi nchi za Magharibi kuilaumu Iran na kuomba iwekewe vikwazo zaidi na UN kwa sababu ya kuipa Urusi ndege zenye maangamizi makubwa huko Ukraen. Kwahivyo hilo swala sijui la baraza la usalama kukaa na raisi Marekani wala lisikupe presha. Kila operation ya vita inapopangwa hilo baraza la usalama hukaa na raisi na bado hupoteza pambano kama nilivyokwambia katika hizo nchi hapo juu.

Marekani mwenyewe anafahamu kuwa kuingia kwenye vita na nchi kama Iran sio sawa na kuingia vitani na Somalia au Afghanistan. Iran ana kila kitu ambacho hizo nchi zilizomfanya Marekani ashindwe hazina.

Hao Iran sio waarab, wayahudi, wahindi, wachina wala wazungu. Hao ni waajemi ambao walishatawala sehemu kubwa ya dunia toka Yesu na Mtume Muhamadi hawajazaliwa, nenda kasome hata vitabu vya dini au google itakwambia. Jamaa wako vizuri kivita kabla hata dini hazijaundwa wala mitume hawajazaliwa alafu unakuja na habari za baraza la kina rambo kukutana 😂😂😂
 
Waisrael kujificha ndani ya maandaki (bunkers) ni jambo la kawaida, ndio maana wamefunga ving'ora vya kutoa tahadhari nchi nzima! Hofu yangu ni kwa Wairan. Israel ikianza kuishambulia wanazo hizo bunkers?
Kujificha na kuishi kama digidigi ilhali hata mashambulizi hajaanza ni Hofu sio kawaida hata kidogo.
Israel ina hofu ya kupitiliza sasa hivi.
 
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Israel vs Gaza + Yemen + Lebanon + Iran , huu ndo ugomv wa watu wawili ? kuna namn haupo timamu
 
Mrusi zamani alikuwa anawauza Waislam lakini ni kwa sasa kafahamu America, Western na Israel ni ma freemasonry, wamemfata kumdhuru wakati walijidai marafiki zake.
akil za vijiweni hz
 
Acha ujinga na mawazo ya kizamani. Kwa zamani tulikuwa hatuwalaumu watu wenye akili kama yako, maana mitandao ya kijamii na teknolojia ya kuweza kukufanya mtu ufuatilie jambo na kuujua ukweli ilikuwa hamna.

Vilaza wengi walipata source kwa njia za movie za kina Rambo, Anord, Chuck Norris nk. Hivyo kuamini kuwa Marekani ni nchi ambayo inaweza kupata ushindi popote na kwenye nchi yoyote kama walivyoona katika movie za kina Rambo 😂😂😂

Lakini sasa dunia imeweza kujua mengi zaidi kupitia mitandao hii ya kijamii na kugundua kuwa yale waliyokuwa wanayawaza katika akili yao kuhusu Marekani kushinda vita popote hayakuwa kweli bali ni movie tu ndo ziliwadanganya.

Japo siujui umri wako lakini nina imani ukitafuta watu wenye uelewa mkubwa wa kujua mambo zaidi yako watakwambia vizuri ni nini kilichowapata Wamarekani kule Vietnam hadi kupelekea kulazimisha kila mfanyakazi, mwanafunzi na raia wa kawaida kujiunga na jeshi la nchi hiyo kwa lazima ili wapelekwe vitani Vietnam. Tukiachana na hiyo vita ya Vietnam, turudi hapa hapa jirani yetu Somalia. Marekani alipeleka jeshi lake, ndege zake za kivita, manoary, vifaru nk. Lakini walitwangwa sawa sawa mpaka wakakimbia na kuacha baadhi ya silaha zao ambazo ndio zilikuja kutumiwa baadae na alshabab. Hizo vita ninazokwambia hapo juu nahisi zilitokea ukiwa haujazaliwa hivyo kuelewa kwako kutakuwa kwa shida sasa.

Sasa ngoja nikupe mfano wa vita ambavyo pia Marekani kashindwa huku wewe ukiwa umeshazaliwa. Vita vyenyewe ni hivi vya Afghanistan.Nafikiri umeona jinsi Marekani tena akiwa na washirika wake Uingereza, Ufaransa, Ujeruman nk walivyoshindwa na kuamua kukimbia bila ya kufikia lengo lao. Hapo Syria mpaka leo wameshindwa kumn'goa Asad ambae walipanga kumtoa kipindi kile vita ilipoanza katika nchi yake.

Hizo nchi zote ninazokwambia kuwa zimemshinda Marekani kuanzia Vietnam, Somalia, Afghanistan na Syria ni za hovyo tu hazina Teknolojia, hazitengenezi silaha, hazina jeshi lenye nguvu wala chochote cha maana. Sasa ndo unafikiri Marekani ataweza kuthubutu kutia pua Iran kwenye nchi ambayo inateknolojia ya hali ya juu. Leo hii ukisikia Hezbulla kapiga kambi ujue ni teknolojia ya Iran ndo imeona ilipo kambi hiyo na kuwapa direction vijana ya wapi pa kupiga. Iran inaunda ndege ambazo hazionekani hata kwenye rada za Marekani na Israel, moja ni ile ya juzi iliyotumwa na vijana wa houth. Iliingia na kupiga na kuua. Sasa unaweza kujiuliza kwa ulinzi wa anga na ardhini wa Israel akishirikiana na Marekani yake, ndege ile iliweza kupitaje na kwenda kutekeleza mission yao iliyopangwa. Hapo bado sijakwambia zile ndege zisizo na ruban ambazo Iran alimpa mrusi na kubadilisha muundo wa vita kule Ukraine hadi nchi za Magharibi kuilaumu Iran na kuomba iwekewe vikwazo zaidi na UN kwa sababu ya kuipa Urusi ndege zenye maangamizi makubwa huko Ukraen. Kwahivyo hilo swala sijui la baraza la usalama kukaa na raisi Marekani wala lisikupe presha. Kila operation ya vita inapopangwa hilo baraza la usalama hukaa na raisi na bado hupoteza pambano kama nilivyokwambia katika hizo nchi hapo juu.

Marekani mwenyewe anafahamu kuwa kuingia kwenye vita na nchi kama Iran sio sawa na kuingia vitani na Somalia au Afghanistan. Iran ana kila kitu ambacho hizo nchi zilizomfanya Marekani ashindwe hazina.

Hao Iran sio waarab, wayahudi, wahindi, wachina wala wazungu. Hao ni waajemi ambao walishatawala sehemu kubwa ya dunia toka Yesu na Mtume Muhamadi hawajazaliwa, nenda kasome hata vitabu vya dini au google itakwambia. Jamaa wako vizuri kivita kabla hata dini hazijaundwa wala mitume hawajazaliwa alafu unakuja na habari za baraza la kina rambo kukutana 😂😂😂
OP
 
Hivi unajua hao Yemen,Lebanon,Iran wameingilia kati baada ya USA na UK kutuma usaidizi Israel dhidi ya kundi dogo Hamas!?
Mkuu nafikiri umesahau ule msemo wa mpumbavu siku zote unamuacha na upumbavu wake.

Usingepoteza muda wako kumjibu maana haelewi alichoandika, lakin pia anaonesha kuwa hataki kukielewa kile alichokiandika. Ndomaana unaona mimi nimempuuza sikumjibu japo niliona post yake aliyoniquote kitambo.

Hakuna serikali ya Lebanon, Yemen wala Palestina inayopigana na Israel. Hao wanaopigana na Israel ni makundi tu ya watu waliojitenga kisiasa na kiitikadi ambayo hayapatani hata na serikali zao zilizopo madarakani. Miaka miwili mitatu iliyopita hao wa Yemen walikuwa katika vita vikali na serikali yao. Sasa mtu ambae hayajui hata haya yaliotokea juzi kati ya serikali ya Yemen na waasi wa houth unapata wapi muda wa kupoteza kumuelewesha? Hajui hata utofauti uliyopo kati ya serikali ya Abas na Hamas huko Palestina. Ashafikia hatua ya kuiita Hamas ni nchi inayopigana na Wakati Israel, na wakati hata huyo mungu wake Netanyahu haitambua Palestina yote kuwa ni nchi.

Kichwa chake kimejaa tope kiasi kwamba hajui hata nchi ngapi zinazoisaidia Israel kupigana hata na vijana wasiokuwa na silaha za maana kama vile Hamas. Mimi nafikiri huyo ni wa kumpuuza tu asikupotezee muda, maana mwenzako anaamini kuwa kutetea mashoga kutamfanya mungu wa mashoga ampeleke katika mbingu yashoga wakale raha za ushoga nk. 4by94
 
Hivi unajua hao Yemen,Lebanon,Iran wameingilia kati baada ya USA na UK kutuma usaidizi Israel dhidi ya kundi dogo Hamas!?
Atafahamu wapi huyo mtafuna mabunzi, hao ndio wale zamani anampa Mtu mahindi eti amtengenezee barabara ya kutoka Dar mpaa Tinde 😄 Afu anaishia kula bunzi huku anafurahi kachongewa barabara
 
Kunyweni maji kidogo wakuu, naona mnapigana spana tu.
 
Acha ujinga na mawazo ya kizamani. Kwa zamani tulikuwa hatuwalaumu watu wenye akili kama yako, maana mitandao ya kijamii na teknolojia ya kuweza kukufanya mtu ufuatilie jambo na kuujua ukweli ilikuwa hamna.

Vilaza wengi walipata source kwa njia za movie za kina Rambo, Anord, Chuck Norris nk. Hivyo kuamini kuwa Marekani ni nchi ambayo inaweza kupata ushindi popote na kwenye nchi yoyote kama walivyoona katika movie za kina Rambo 😂😂😂

Lakini sasa dunia imeweza kujua mengi zaidi kupitia mitandao hii ya kijamii na kugundua kuwa yale waliyokuwa wanayawaza katika akili yao kuhusu Marekani kushinda vita popote hayakuwa kweli bali ni movie tu ndo ziliwadanganya.

Japo siujui umri wako lakini nina imani ukitafuta watu wenye uelewa mkubwa wa kujua mambo zaidi yako watakwambia vizuri ni nini kilichowapata Wamarekani kule Vietnam hadi kupelekea kulazimisha kila mfanyakazi, mwanafunzi na raia wa kawaida kujiunga na jeshi la nchi hiyo kwa lazima ili wapelekwe vitani Vietnam. Tukiachana na hiyo vita ya Vietnam, turudi hapa hapa jirani yetu Somalia. Marekani alipeleka jeshi lake, ndege zake za kivita, manoary, vifaru nk. Lakini walitwangwa sawa sawa mpaka wakakimbia na kuacha baadhi ya silaha zao ambazo ndio zilikuja kutumiwa baadae na alshabab. Hizo vita ninazokwambia hapo juu nahisi zilitokea ukiwa haujazaliwa hivyo kuelewa kwako kutakuwa kwa shida sasa.

Sasa ngoja nikupe mfano wa vita ambavyo pia Marekani kashindwa huku wewe ukiwa umeshazaliwa. Vita vyenyewe ni hivi vya Afghanistan.Nafikiri umeona jinsi Marekani tena akiwa na washirika wake Uingereza, Ufaransa, Ujeruman nk walivyoshindwa na kuamua kukimbia bila ya kufikia lengo lao. Hapo Syria mpaka leo wameshindwa kumn'goa Asad ambae walipanga kumtoa kipindi kile vita ilipoanza katika nchi yake.

Hizo nchi zote ninazokwambia kuwa zimemshinda Marekani kuanzia Vietnam, Somalia, Afghanistan na Syria ni za hovyo tu hazina Teknolojia, hazitengenezi silaha, hazina jeshi lenye nguvu wala chochote cha maana. Sasa ndo unafikiri Marekani ataweza kuthubutu kutia pua Iran kwenye nchi ambayo inateknolojia ya hali ya juu. Leo hii ukisikia Hezbulla kapiga kambi ujue ni teknolojia ya Iran ndo imeona ilipo kambi hiyo na kuwapa direction vijana ya wapi pa kupiga. Iran inaunda ndege ambazo hazionekani hata kwenye rada za Marekani na Israel, moja ni ile ya juzi iliyotumwa na vijana wa houth. Iliingia na kupiga na kuua. Sasa unaweza kujiuliza kwa ulinzi wa anga na ardhini wa Israel akishirikiana na Marekani yake, ndege ile iliweza kupitaje na kwenda kutekeleza mission yao iliyopangwa. Hapo bado sijakwambia zile ndege zisizo na ruban ambazo Iran alimpa mrusi na kubadilisha muundo wa vita kule Ukraine hadi nchi za Magharibi kuilaumu Iran na kuomba iwekewe vikwazo zaidi na UN kwa sababu ya kuipa Urusi ndege zenye maangamizi makubwa huko Ukraen. Kwahivyo hilo swala sijui la baraza la usalama kukaa na raisi Marekani wala lisikupe presha. Kila operation ya vita inapopangwa hilo baraza la usalama hukaa na raisi na bado hupoteza pambano kama nilivyokwambia katika hizo nchi hapo juu.

Marekani mwenyewe anafahamu kuwa kuingia kwenye vita na nchi kama Iran sio sawa na kuingia vitani na Somalia au Afghanistan. Iran ana kila kitu ambacho hizo nchi zilizomfanya Marekani ashindwe hazina.

Hao Iran sio waarab, wayahudi, wahindi, wachina wala wazungu. Hao ni waajemi ambao walishatawala sehemu kubwa ya dunia toka Yesu na Mtume Muhamadi hawajazaliwa, nenda kasome hata vitabu vya dini au google itakwambia. Jamaa wako vizuri kivita kabla hata dini hazijaundwa wala mitume hawajazaliwa alafu unakuja na habari za baraza la kina rambo kukutana 😂😂😂
Tuongeze kwenye orodha ya maeneo ambako Marekani imeshindwa kuleta mageuzi iliyotaka ni pamoja na Venezuela.Nchi ndgogo sana iliyoiwekea vikwazo vikali vya kiuchumi lakini hata mamluki wa kimarekani waliotumwa walisambaratishwa na vikosi vya Nicolas Maduro ambaye alichugua nafasi ya ndugu yake iliyebidi alishwe sumu.Hugo Chavez
 
Back
Top Bottom