Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

Hali imebadilika ghafla Mashariki ya Kati. Iran yaanza na Marekani wakati Jordan na Mahmoud Abbas waanza kuiandama Israel

Nyerere aliwahi kutamani lau visiwa vile (Unguja na Pemba) vingalidondokea baharini. Ni kwa sababu ya mdomo! Wana kauli za shombo haooo hakuna mfano.

By the way, kuunganisha ASP na TANU kuzaliwa CCM ni katika jitihada za kupunguza shombo zao maana muungano usingalidumu.

Bahati mbaya jasiri haachi asili; pamoja na yote hayo hawakomi kwa midomo. Ndivyo walivyo.
Kwa sababu ya mdomo au udini ulikua unamsumbua!?..kamrithisha na lukuvi
 
Siku ile Iran wamerusha makombora kuelekea Israel, Israel walisema watalipa kwa wakati na mahali sahihi,

Baada ya pale kila siku ni vilio kutoka Iran maana tulishudia Rais wao akipotelea mmsituni, kambi zao za kijeshi huko Syria kulipuliwa na kuuawa maafisa kadhaa wa Iran, na juzi hapa Israel imewapukutisha viongozi wa juu wa Hamas na Hezbolah kwa mpigo.

Kitendo cha Israel kwenda kumuua kiongozi wa hamas ndani ya Israel tena kwenye kambi ya jeshi la Iran, aisee ilikuwa ni bonge la fu.....ck you kwa Ayatollah. Kitendo hiki kinaonesha hakuna alie salama ndani ya Iran..

Mpaka sasa hivi Iran hana la kufanya maana hajui atakaefuta kutunguliwa au akipotelea msituni baada ya hapo.
Kama Marekani kwenyewe hakuna usalama hata kwa viongozi wa juu aina ya Trump, sasa kwanini ushangae hilo kutokea Iran kwa mkuu wa Hamas?

Afadhali hii ya Iran inaonesha kuwa watu walitumia gharama kubwa na kuumiza vichwa kweli kweli ili kufanikisha jambo lao. Lakini ile ya Trump mtoto wa chini ya miaka 20 ambae hana mafunzo yoyote ya kijeshi aingie kwenye jengo na silaha yake, atafute kona nzuri ya kushambulia, ajipange na kufanya shambulizi bila kushtukiwa na wana usalama wote wa vyombo vyote vya ulinzi wa ndani. Tena katika nchi ambayo inasifiwa kuwa na intelejensia kubwa kuliko zote duniani.

US secret service wenyewe wameshindwa kumlinda raisi wao mstaafu ambae pengine anaweza kuja kuwa tena raisi, halafu wewe unashangaa Iran kutokumlinda mgeni tu aliekuja kuhudhuria kuapishwa kwa raisi..

Fikiria kama dogo angekuwa na shabaha au kama mshambuliaji angekuwa amepata mafunzo na kipewa mission na Iran au Urusi saa hizi tungekuwa tunaongea nini?

Lengo langu hapa ni kukuonesha kuwa kuna mambo ambayo yanaweza kutokea katika mazingira ambayo wewe kama binadam hata uwe na uwezo au ujuzi vipi hautoweza kuyazuia. Dogo angekuwa ni askari ambae amejifunza shabaha basi Trump saa hizi angekuwa amenyofolewa roho yake mbele ya secret service (wanaosifiwa duniani) na walinzi wake.

Ndo pale mtu unaweza kuona Ronaldo au Mess kabaki na goli alafu anabutua juu, ukafikiri kuwa ni mzembe kumbe siku hiyo haikuwa siku yake ya kufunga. Yani hakupangiwa kufunga.
 
Mpaka sasa Dunia inasubilia kile iran ilichojigamba nacho"kisasi kwa Israel ambacho hakijawahi kushuhudiwa"lkn wiki ya pili hii inaenda Kila siku ni taarabu tu. Ninavyoona iran kashaufyata
Kapige deki handaki la netanyahu,kakojoa Sana wiki hii,si unajua tezi dume na hofu basi breki hakuna
 
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Nikweli kabisa,Marekani imeshahujumu pambano, kama nayeye anauhitaji wa kupambana na Iran basi apange muda wake lakini sio kuingilia kati kama anavyofanya, huo ni uoga!
 
Wasichokijua
Usichokijua mwinjilisti,Iran Ndo ilitoa kamikaze drone iliyobadili upepo WA vita mpaka Leo pale Ukraine.israel sijui Kwa Nini haitaki jifunza Toka Ukraine ambayo ilipewa vikorokoro vyote,na Bado inapigika.
 
Ayatolah uharo Debe hamuamini hata Mkewe 😆
 
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Vita ndio ilivyo
Popote kwenye mapigano baina ya pande mbili ujue kuna wahusika wengine
 
Nimesoma maoni ya wadau hapa kuhusu israel kuwa mdogo kijiografia n.K,msichokijua ni kuwa wenzako washaifanyia kazi hiyo point of weakness miaka mingi sana. La sivyo kusingekuwa na ka nchi kanakoitwa israel. Mimi navyoona israel wamewekeza sana kwenye swala la ujasusi hapo mashariki ya kati na ndio salama yake. Hayo mashambulizi ya kushtukiza kama la octoba 7 ni minor error ambazo zinajitokezaga kwenye battlefield. Anyway .R.I.p eli cohen.
 
Makubwa hayo Israel ikiwa ndogo kuliko Rwanda, Iran kubwa kuliko Tanzania plus waarabu wote kuizunguka Israel. Kweli haka kajamaa kuna bwana mkubwa anakapa kiburi kama yule ngongoti was Rwanda vs Bonge la kizaire.
Kumbuka pia Iran ni nchi kubwa kuliko Israel kijiografia,, ni rahisi kuisambararisha Israel ikiingia kwenye 18 kuliko Iran akiingia kwenye 18 zake....hao waishi kwenye bunkers ila wakitoka wanakuta magofuView attachment 3062918
 
H
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.Hujui

Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.

Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Iran ana backup ya Putin na Mchina + Kiduku
 
Safi sana umempa point za uhakika na kuzidisha pia Iran kisha fanikisha kitu hapo Ain Al Asad base imesambaritishwa vizuri kabisa, mimi na infom nimesikia tarehe 14/8 ndio Iran atampiga Israel hio ni siku huwa ya huzuni kwa Israel. Iran anaweza kuwahi kumpiga Israel akiona Israel anataka kwenda mshambulia, na Israel hasara wanayo ipata huko ndio cabinet yao wame discussed kwamba kuliko kula hizo hasara bora tumuwahi Iran, lakini Iran kupenya anga lake sio rahisi sababu kisha zuia hakuna ndege kupita anga hata hizo ndege za civilians. Hapo F35 haina ujanja huwa wanapenya kwa kutumia system flan kuonyesha hio ni civilian air craft. Israel yuko hoi hapo hajui atafanya nini. Akipeleka ndege zinaangushwa tu hazirudi.
Muda huu dakika chache zilizopita Hizbollah keshakiwakisha Israel na inasemekana kuna majeruhi wawili askari.Ila vifo havijatangazwa wala kuhakikiwa.
Hicho chuma cha Hezbullah kinapiga kwenye mshono kabisa mchana peupe taifa teule la wavuta bangi wamelala chini ya mti wenye kimvuli cha shetani bado.


View: https://youtu.be/wiMO3fUqvmM?si=EQ0vEshpjtFlIhPs
 
Nikweli kabisa,Marekani imeshahujumu pambano, kama nayeye anauhitaji wa kupambana na Iran basi apange muda wake lakini sio kuingilia kati kama anavyofanya, huo ni uoga!
Kila mtu sasa hivi anaidharau Israel kwa kupenda kusaidiwa hata ikipambana na wanamgambo wanaotumia manati, mawe na migobole kupambana 😂😂
 
Mrusi hakupeleka jeshi Iran, ila Marekani kapeleka jeshi Israel ili wanajeshi wa nchi mbili wapambane na wanajeshi wa nchi moja 😀😀😀
Russia imepeleka s-400 air defense system Iran.
Hiyo ni confirmed information mkuu.
 
Sawa nyie kalaleni chini ya mti labda yule Shetani aliye muona Paulo hatibiki si mchezo huwezi mfananisha Mtu anaye amini Mungu ni mmoja tu aliye umba kila kitu na yule Mungu wenu alie zaliwa kwenye zizi la ngo'mbe kumbe bora hata mimi nilizaliwa Hospital 😄

Mrusi kaokolewa na Iran aje amuze Iran sidhani hio ndoto ya mti alio lala Paulo.
Adults keep their ears and eyes open to find opportunities to learn. Kosugi
 
Back
Top Bottom