inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Kwa sababu ya mdomo au udini ulikua unamsumbua!?..kamrithisha na lukuviNyerere aliwahi kutamani lau visiwa vile (Unguja na Pemba) vingalidondokea baharini. Ni kwa sababu ya mdomo! Wana kauli za shombo haooo hakuna mfano.
By the way, kuunganisha ASP na TANU kuzaliwa CCM ni katika jitihada za kupunguza shombo zao maana muungano usingalidumu.
Bahati mbaya jasiri haachi asili; pamoja na yote hayo hawakomi kwa midomo. Ndivyo walivyo.
Kama Marekani kwenyewe hakuna usalama hata kwa viongozi wa juu aina ya Trump, sasa kwanini ushangae hilo kutokea Iran kwa mkuu wa Hamas?Siku ile Iran wamerusha makombora kuelekea Israel, Israel walisema watalipa kwa wakati na mahali sahihi,
Baada ya pale kila siku ni vilio kutoka Iran maana tulishudia Rais wao akipotelea mmsituni, kambi zao za kijeshi huko Syria kulipuliwa na kuuawa maafisa kadhaa wa Iran, na juzi hapa Israel imewapukutisha viongozi wa juu wa Hamas na Hezbolah kwa mpigo.
Kitendo cha Israel kwenda kumuua kiongozi wa hamas ndani ya Israel tena kwenye kambi ya jeshi la Iran, aisee ilikuwa ni bonge la fu.....ck you kwa Ayatollah. Kitendo hiki kinaonesha hakuna alie salama ndani ya Iran..
Mpaka sasa hivi Iran hana la kufanya maana hajui atakaefuta kutunguliwa au akipotelea msituni baada ya hapo.
Kapige deki handaki la netanyahu,kakojoa Sana wiki hii,si unajua tezi dume na hofu basi breki hakunaMpaka sasa Dunia inasubilia kile iran ilichojigamba nacho"kisasi kwa Israel ambacho hakijawahi kushuhudiwa"lkn wiki ya pili hii inaenda Kila siku ni taarabu tu. Ninavyoona iran kashaufyata
Hayupo middle eastTuwekee na ukubwa wa UK
Nikweli kabisa,Marekani imeshahujumu pambano, kama nayeye anauhitaji wa kupambana na Iran basi apange muda wake lakini sio kuingilia kati kama anavyofanya, huo ni uoga!Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.
Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Usichokijua mwinjilisti,Iran Ndo ilitoa kamikaze drone iliyobadili upepo WA vita mpaka Leo pale Ukraine.israel sijui Kwa Nini haitaki jifunza Toka Ukraine ambayo ilipewa vikorokoro vyote,na Bado inapigika.Wasichokijua
Vita ndio ilivyoMarekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.
Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Kumbuka pia Iran ni nchi kubwa kuliko Israel kijiografia,, ni rahisi kuisambararisha Israel ikiingia kwenye 18 kuliko Iran akiingia kwenye 18 zake....hao waishi kwenye bunkers ila wakitoka wanakuta magofuView attachment 3062918
Marekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.
Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.Hujui
Iran ana backup ya Putin na Mchina + KidukuMarekani ndo kaja kuharibu pambano. Ili mchezo unoge inatakiwa Marekani atoe kwanza vifaa vyake na wanajeshi wake ili zibaki nchi mbili tu zinazotaka kupambana.
Haiwezekani ugomvi wa watu wawili alafu mtu wa tatu aje kudai anataka kumsaidia mmoja, huku kunatafsiriwa ni kumuogopa mwenye nguvu na kuamua kumchangia.
Muda huu dakika chache zilizopita Hizbollah keshakiwakisha Israel na inasemekana kuna majeruhi wawili askari.Ila vifo havijatangazwa wala kuhakikiwa.Safi sana umempa point za uhakika na kuzidisha pia Iran kisha fanikisha kitu hapo Ain Al Asad base imesambaritishwa vizuri kabisa, mimi na infom nimesikia tarehe 14/8 ndio Iran atampiga Israel hio ni siku huwa ya huzuni kwa Israel. Iran anaweza kuwahi kumpiga Israel akiona Israel anataka kwenda mshambulia, na Israel hasara wanayo ipata huko ndio cabinet yao wame discussed kwamba kuliko kula hizo hasara bora tumuwahi Iran, lakini Iran kupenya anga lake sio rahisi sababu kisha zuia hakuna ndege kupita anga hata hizo ndege za civilians. Hapo F35 haina ujanja huwa wanapenya kwa kutumia system flan kuonyesha hio ni civilian air craft. Israel yuko hoi hapo hajui atafanya nini. Akipeleka ndege zinaangushwa tu hazirudi.
Hicho chuma cha Hezbullah kinapiga kwenye mshono kabisa mchana peupe taifa teule la wavuta bangi wamelala chini ya mti wenye kimvuli cha shetani bado.
View: https://youtu.be/wiMO3fUqvmM?si=EQ0vEshpjtFlIhPs
Kila mtu sasa hivi anaidharau Israel kwa kupenda kusaidiwa hata ikipambana na wanamgambo wanaotumia manati, mawe na migobole kupambana ππNikweli kabisa,Marekani imeshahujumu pambano, kama nayeye anauhitaji wa kupambana na Iran basi apange muda wake lakini sio kuingilia kati kama anavyofanya, huo ni uoga!
Mrusi hakupeleka jeshi Iran, ila Marekani kapeleka jeshi Israel ili wanajeshi wa nchi mbili wapambane na wanajeshi wa nchi moja πππHuko pia kuna Mrusi kaka
Russia imepeleka s-400 air defense system Iran.Mrusi hakupeleka jeshi Iran, ila Marekani kapeleka jeshi Israel ili wanajeshi wa nchi mbili wapambane na wanajeshi wa nchi moja πππ
Adults keep their ears and eyes open to find opportunities to learn. KosugiSawa nyie kalaleni chini ya mti labda yule Shetani aliye muona Paulo hatibiki si mchezo huwezi mfananisha Mtu anaye amini Mungu ni mmoja tu aliye umba kila kitu na yule Mungu wenu alie zaliwa kwenye zizi la ngo'mbe kumbe bora hata mimi nilizaliwa Hospital π
Mrusi kaokolewa na Iran aje amuze Iran sidhani hio ndoto ya mti alio lala Paulo.
Other battles are not worth to fight for mister.Adults keep their ears and eyes open to find opportunities to learn. Kosugi
Fafanua.Other battles are not worth to fight for mister.
Karibu supu ya kukuπππila la kuvunda halina ubani.
π€π€π€π€.Fafanua.
Asante sana chief.