Hali mtaani ni mbaya sana cha ajabu viongozi wapo kimya kama hawaoni

Hali mtaani ni mbaya sana cha ajabu viongozi wapo kimya kama hawaoni

Mkuu kuna wale wanajifanya kutetea haki za hao wanawake cjui kama hata akili zimo wale jamaa wanawake wanadhalilika na kudhalilishwa mtaan huko wao wanaenda kudili na yule dada aliekaambiwa akaze sauti na makonda, halaf muda mwingine wanawake wanafanya mambo ya kujidhalilisha ila ukinyanyua mdomo tu kukemea utaambiwa mfumo dume, mara 50/50 mara unyanyasaji wa kijinsia, we jaribu tu utaona
Unavyosema ni kweli mkuu, wakati mwingine jamii inajaribu kukanya lakini serikali inamkingia kifua mwanamke either kwa tamaa na matamanio ya viongozi au sheria za nchi after all anaedhalilika ni mwanamke kwa hil mimi bado naona serikali haijaamua ikiamua ni suala dogo tu


Serikali ina mkono mrefu
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadharirika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udharirishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udharirishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdharirisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdharirisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Ila wanaume wakidharirika unaona sawa? Labda Huko mtaani kwako ndiko mnawadharirisha hao wanawake?
 
Kabla hujazungumzia maadili jiulize kwanza sera za ubepari impact zake.
Ukitaka maadili ifanye Nchi iwe mfumo wa dini ndio utaweza ku control hayo maadili
 
Ila wanaume wakidharirika unaona sawa? Labda Huko mtaani kwako ndiko mnawadharirisha hao wanawake?
Angalia video za miziki uone kati ya mwanamke na mwanaume nani anakalishwa uchi
 
Kabla hujazungumzia maadili jiulize kwanza sera za ubepari impact zake.
Ukitaka maadili ifanye Nchi iwe mfumo wa dini ndio utaweza ku control hayo maadili
Kuna ulazima gani wa kuukumbatia ubepari na kwa nijuavyo mm tz ni NAM kwanini tusitekeleze sheria za maadili na zipo
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Viongozi wako wapi? Wako full AC Toyota Hard Top
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Viongozi akina Tale tale na Kapuya?
 
Huwa kazi ya hizo dini zenu zilizojaza wafuasi huwa ni nini?
 
Tuweke pembeni kwanza suala la maadili, je ni nyanja ipi ambayo viongozi wetu wameifanyia kazi kwa ufasaha? Uchumi, michezo, elimu,afya, miundombinu au teknolojia? Kama kila nyanja unayoigusa ni uozo mtupu kwanini unatarajia hapo kwenye maadili hali itakua tofauti?. Kwa kifupi viongozi wetu hawana uwezo na ueledi. Tukiweka vizuri mfumo wetu wa kupata competence leaders hayo masuala mengine yatakaa sawa tu automatically
 
Tuweke pembeni kwanza suala la maadili, je ni nyanja ipi ambayo viongozi wetu wameifanyia kazi kwa ufasaha? Uchumi, michezo, elimu,afya, miundombinu au teknolojia? Kama kila nyanja unayoigusa ni uozo mtupu kwanini unatarajia hapo kwenye maadili hali itakua tofauti?. Kwa kifupi viongozi wetu hawana uwezo na ueledi. Tukiweka vizuri mfumo wetu wa kupata competence leaders hayo masuala mengine yatakaa sawa tu automatically
Kuna nyanja ni muhimu kuliko umuhimu wenyewe hili swala la maadili ni muhimu sana

Pamoja na ubovu wao na ubovu wa katiba ni muhimu wakaliangalia kizazi kinaangamia
 
Back
Top Bottom