Hali mtaani ni mbaya sana cha ajabu viongozi wapo kimya kama hawaoni

Hali mtaani ni mbaya sana cha ajabu viongozi wapo kimya kama hawaoni

Chai ikizidi sukari inakosa utamu
Ndio na Sukari ikizidi Chai utamu unaisha acha waendelee kutuonyesha UCHI wao, hivi ushawahi kukutana na Hawa wanaovaa taiti zile zinazobana k.uma yaan taiti imebana k.uma unaiona kabisa Ile imejichora halafu hawavai CHUPI na hawajishtukii
 
Huo ni upepo was anguko la kimaadili ulimwenguni pote!

Ni kama biashara ya ushoga na ukahaba nani ataizuia Kwa maneno zaidi ya mtu mwenyewe!!?
 
Huwa kazi ya hizo dini zenu zilizojaza wafuasi huwa ni nini?
Dini zipo ndani ya serikali kwa maana serikali ndio mtawala wa kila kitu ndani ya nchi kwaiyo haiwezi kukwepa wajibu huu wa kulinda maadili na udhalilishwaji wa jinsia ke
 
Ndio na Sukari ikizidi Chai utamu unaisha acha waendelee kutuonyesha UCHI wao, hivi ushawahi kukutana na Hawa wanaovaa taiti zile zinazobana k.uma yaan taiti imebana k.uma unaiona kabisa Ile imejichora halafu hawavai CHUPI na hawajishtukii
Tuchukulie wamejisahau au wanafanyia shida ili wauze ni nani wa kuwakanya na kuwazuia zaidi ya mkono wa serikali mtu mmoja mmoja hauwezi

Kuna kundi kubwa la wanawake wenyewe hapendi jinsi wenzao wanavyowadhalilisha ila hawana cha kufanya
 
Huo ni upepo was anguko la kimaadili ulimwenguni pote!

Ni kama biashara ya ushoga na ukahaba nani ataizuia Kwa maneno zaidi ya mtu mwenyewe!!?
Kwa mtu mwenyew ni ngumu sana mkuu huo ni kama uraibu kuuacha ni kazi na kuuingia ni rahisi

Siku zote hakuna mtu anapenda kulipa kodi ila kwa mkono wa serikali watu wanalipa either kwa kufungiwa biashara au kamatakamata hata hili wakiliamulia linawezekana
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Nini hoja Yako? Watu waache kununua Malaya au?
 
Hii ya kusema wanawake ni mama zetu si sahihi mama yako ni mama yako. Mama yako hawezi kukuuwa, ila mwanamke anaweza kukuuwa. Mtetee mama yako usiwatetee wanawake.
 
Hii ya kusema wanawake ni mama zetu si sahihi mama yako ni mama yako. Mama yako hawezi kukuuwa, ila mwanamke anaweza kukuuwa. Mtetee mama yako usiwatetee wanawake.
Hapana mkuu kwa lugha nyepesi kabisa ni kuwa siwezi kumdhalilisha mama yako eti kisa sio mama yangu, nikamtukana au nikafurahia akitembea uchi akijiuza hiyo sio sahihi
 
1718025143458.png
 
Pamoja na mmomonyoko wa maadili uliopo, bado ni vigumu sana kutofautisha mtu anayejiuza na mtu anayefanya mapenzi na mwenza wake.

Sheria haikatazi mtu kuwa malaya ama kuwa na michepuko, bali sheria inakataza mtu kujipatia fedha/mali kupitia umalaya/kujiuza.
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
CHANZO CHA HALI MBAYA MITAANI NI CCM NA HAO VIONGOZI WAPO KIMYA NI WA CCM WAO WANAKULA KEKI YA TAIFA NA FAMILIA ZAO ENDELEENI KUIPENDA CCM NAYO ITAENDELEA KUWATESA
 
Back
Top Bottom