Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio na Sukari ikizidi Chai utamu unaisha acha waendelee kutuonyesha UCHI wao, hivi ushawahi kukutana na Hawa wanaovaa taiti zile zinazobana k.uma yaan taiti imebana k.uma unaiona kabisa Ile imejichora halafu hawavai CHUPI na hawajishtukiiChai ikizidi sukari inakosa utamu
Nyingi sana mbunye kibao mpaka nimezikinaiHadi sasa umeona nyuchi ngapi mkuu hapo mtaani kwako
Dini zipo ndani ya serikali kwa maana serikali ndio mtawala wa kila kitu ndani ya nchi kwaiyo haiwezi kukwepa wajibu huu wa kulinda maadili na udhalilishwaji wa jinsia keHuwa kazi ya hizo dini zenu zilizojaza wafuasi huwa ni nini?
Tuchukulie wamejisahau au wanafanyia shida ili wauze ni nani wa kuwakanya na kuwazuia zaidi ya mkono wa serikali mtu mmoja mmoja hauweziNdio na Sukari ikizidi Chai utamu unaisha acha waendelee kutuonyesha UCHI wao, hivi ushawahi kukutana na Hawa wanaovaa taiti zile zinazobana k.uma yaan taiti imebana k.uma unaiona kabisa Ile imejichora halafu hawavai CHUPI na hawajishtukii
Kwa mtu mwenyew ni ngumu sana mkuu huo ni kama uraibu kuuacha ni kazi na kuuingia ni rahisiHuo ni upepo was anguko la kimaadili ulimwenguni pote!
Ni kama biashara ya ushoga na ukahaba nani ataizuia Kwa maneno zaidi ya mtu mwenyewe!!?
Nini hoja Yako? Watu waache kununua Malaya au?Ni siku nyingine tena, nawasalimu
Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?
Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla
Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki
Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili
Ahsanteni
Ili kitokee nini?Hoja yangu wakosekane wauzaji
Hapana mkuu kwa lugha nyepesi kabisa ni kuwa siwezi kumdhalilisha mama yako eti kisa sio mama yangu, nikamtukana au nikafurahia akitembea uchi akijiuza hiyo sio sahihiHii ya kusema wanawake ni mama zetu si sahihi mama yako ni mama yako. Mama yako hawezi kukuuwa, ila mwanamke anaweza kukuuwa. Mtetee mama yako usiwatetee wanawake.
Bila dada poa watu watauanaWakikosekana wauzaji hiyo ndio furaha yangu kuwaona dada zangu na mama zangu wakiheshimiwa na wakiwa hawadhalilishwi mitandaoni wakiwa nyama nje hiyo tu inatosha
Au wewe unaonaje mkuu
weka video clip tuone
CHANZO CHA HALI MBAYA MITAANI NI CCM NA HAO VIONGOZI WAPO KIMYA NI WA CCM WAO WANAKULA KEKI YA TAIFA NA FAMILIA ZAO ENDELEENI KUIPENDA CCM NAYO ITAENDELEA KUWATESANi siku nyingine tena, nawasalimu
Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?
Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla
Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki
Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili
Ahsanteni