Hali mtaani ni mbaya sana cha ajabu viongozi wapo kimya kama hawaoni

Hali mtaani ni mbaya sana cha ajabu viongozi wapo kimya kama hawaoni

Pamoja na mmomonyoko wa maadili uliopo, bado ni vigumu sana kutofautisha mtu anayejiuza na mtu anayefanya mapenzi na mwenza wake.

Sheria haikatazi mtu kuwa malaya ama kuwa na michepuko, bali sheria inakataza mtu kujipatia fedha/mali kupitia umalaya/kujiuza.
Ni kweli kwa sheria zetu na mgandamizo wa democracy watu wanajifichia ndani kwa ndani kwenye izo sheria

Lakini kama taifa ni vyema hata sheria ndogo ndogo zikatungwa pamoja na kuboresha hali ya maisha kwa wahanga maana hili lishakuwa janga
 
CHANZO CHA HALI MBAYA MITAANI NI CCM NA HAO VIONGOZI WAPO KIMYA NI WA CCM WAO WANAKULA KEKI YA TAIFA NA FAMILIA ZAO ENDELEENI KUIPENDA CCM NAYO ITAENDELEA KUWATESA
Mfano unapendekeza chama gani kipewe madaraka ambacho kinaweza tekeleza haya!
 
Mmomonyoko wa maadili unaanzia ngazi ya familia...wazazi wa zama hizi wamekuwa wapumbavu sana.

Malezi mabovu ya watoto ndio mzizi na chimbuko la matatizo yote ya maadili mabaya kwenye jamii.

Unataka serikali ndio ikulelee watoto uliowaleta duniani kwa starehe zako?

Hebu punguzeni kujipa umuhimu kwenye serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmomonyoko wa maadili unaanzia ngazi ya familia...wazazi wa zama hizi wamekuwa wapumbavu sana.

Malezi mabovu ya watoto ndio mzizi na chimbuko la matatizo yote ya maadili mabaya kwenye jamii.

Unataka serikali ndio ikulelee watoto uliowaleta duniani kwa starehe zako?

Hebu punguzeni kujipa umuhimu kwenye serikali.

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali na wazazi wote wanasaidiana kulea, mbona mzazi asipompeleka mtoto wake mwenyew shuleni serikali inamfunga mzazi

Kwanini mzazi akimpa adhabu zinazomuumiza na hata kuhatarisha maisha ya mtoto serikali inaingilia kati

Inashindwaje kumuwajibisha huyu mtoto endapo wazazi wameteleza katika wajibu wao

Mind you, sheria za nchi ndio zimetufikisha hapa kuleta sijui haki za watoto, haki za wanawake, haki za binadamu kwaiyo hata hili la mmomonyoko wa maadili lawama ni kwao na ni wajibu wao kuleta suluhu(sio sa100 lkn)
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Pole lakini ,ila mambo mengine nikujitakia kama anajiuza acha apate vyake ,kwani wameshindwa kwenda kulima kama wamekosa kazi zingine sometimes viongozi tunawaone tu
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Wanaendelea kugawana na kuficha maburungutu ya hela hamna kipindi ambacho wezi wapo huru kama hiki
 
Uwezi kuanzisha tatizo ukawa sehemu ya utatuzi wa tatizo hilo labda liwe limetokea kwa bahati mbaya au bila kujua.
 
Pole lakini ,ila mambo mengine nikujitakia kama anajiuza acha apate vyake ,kwani wameshindwa kwenda kulima kama wamekosa kazi zingine sometimes viongozi tunawaone tu
Kweli wewe ni chizi
 
Uwezi kuanzisha tatizo ukawa sehemu ya utatuzi wa tatizo hilo labda liwe limetokea kwa bahati mbaya au bila kujua.
Umesema kweli mkuu maneno kuntu viongozi wetu sometimes ni changamoto nyingine
 
Wameyataka wenyewe kujiuza miili yao mwili ni hekalu la Mungu na ndio mana imeandikwa ikimbieni zinaa
 
Ni kweli ni jukumu langu lakini hata ulinzi na usalama ni jukumu la jamii ila kuna majeshi na askari wanalipwa kwa ajili ya jukum hilo
Umalaya ni kosa ila kuvaa unayofikiria haina maadili sio kosa, na sijakuelewa maana usije ukawa unataka tupangiane mavazi kama Iran
 
Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?
sasa ulitaka viongozi wapige hodi kwenye kila nyumba wafundishe maadili?

Kila mtu ashughulike na familia yake jamani siyo kila kitu viongozi, kiongozi wa kwanza ni wewe kwenye familia.
 
Wameyataka wenyewe kujiuza miili yao mwili ni hekalu la Mungu na ndio mana imeandikwa ikimbieni zinaa
Ni mama zetu na dada zetu sio vizuri tukiwaacha wakidhalilika na kudhalilishwa mtaani
 
Kuna wale watoto wanajiita 32 mara sijui 45 hawana adabu hata chembe mpaka unajiuliza kizazi chake kitakuwaje huyu
 
sasa ulitaka viongozi wapige hodi kwenye kila nyumba wafundishe maadili?

Kila mtu ashughulike na familia yake jamani siyo kila kitu viongozi, kiongozi wa kwanza ni wewe kwenye familia.
Kiongozi wa serikali kazi yake ni nini mkuu kula mishahara tu
 
Ni siku nyingine tena, nawasalimu

Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?

Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla

Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki

Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili

Ahsanteni
Hilo ni jukumu la jamii, si serikali peke yake, jamii ndio enable hawa watu.
 
Back
Top Bottom