Unavyosema ni kweli mkuu, wakati mwingine jamii inajaribu kukanya lakini serikali inamkingia kifua mwanamke either kwa tamaa na matamanio ya viongozi au sheria za nchi after all anaedhalilika ni mwanamke kwa hil mimi bado naona serikali haijaamua ikiamua ni suala dogo tuMkuu kuna wale wanajifanya kutetea haki za hao wanawake cjui kama hata akili zimo wale jamaa wanawake wanadhalilika na kudhalilishwa mtaan huko wao wanaenda kudili na yule dada aliekaambiwa akaze sauti na makonda, halaf muda mwingine wanawake wanafanya mambo ya kujidhalilisha ila ukinyanyua mdomo tu kukemea utaambiwa mfumo dume, mara 50/50 mara unyanyasaji wa kijinsia, we jaribu tu utaona
Ila wanaume wakidharirika unaona sawa? Labda Huko mtaani kwako ndiko mnawadharirisha hao wanawake?Ni siku nyingine tena, nawasalimu
Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?
Wanawake wanadharirika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udharirishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla
Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udharirishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki
Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdharirisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdharirisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili
Ahsanteni
Kuna ulazima gani wa kuukumbatia ubepari na kwa nijuavyo mm tz ni NAM kwanini tusitekeleze sheria za maadili na zipoKabla hujazungumzia maadili jiulize kwanza sera za ubepari impact zake.
Ukitaka maadili ifanye Nchi iwe mfumo wa dini ndio utaweza ku control hayo maadili
Viongozi wako wapi? Wako full AC Toyota Hard TopNi siku nyingine tena, nawasalimu
Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?
Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla
Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki
Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili
Ahsanteni
Viongozi akina Tale tale na Kapuya?Ni siku nyingine tena, nawasalimu
Hapa simaanishi hali ya kiuchumi bali hali ya kimaadili mitaa imechafuka sana ila tunaowaita viongozi wapo kimya sijui maana ya uongozi ni nini?
Wanawake wanadhalilika sana wengine kwa kupenda wengine kwa kutokupenda. Wanawake ndio kioo cha maadili, hali ya kupuuza na kuacha wajiuze, watembee uchi kama bidhaa, watukanwe matusi ya nguoni kama wafanyavyo wasanii na watu wengine mtaani na udhalilishaji mwingine ni kukididimiza kizazi na jamii kwa ujumla
Uongozi ni kuonesha dira njema katika taifa katika nyanja zote kiuchumi na kijamii, kitendo cha viongozi kukalia kimya suala hili la udhalilishaji wa wanawake ni kukwepa uwajibikaji nashauri mamlaka ziangalie suala hili kwa undani na wachukue hatua stahiki
Wanawake ni mama zetu, dada zetu na ndugu zetu kumdhalilisha mwanamke yeyote ni sawa na kumdhalilisha mama yako au dada yako jamii ilitazame hili
Ahsanteni
Itajaribu kutoa angalizo kama kutakuwa na ufuatiliaji.Wakitunga sheria na kuzitekeleza wanaweza kuwakunja mbona kwenye tozo wanaweza
Pitia kwa Balozi wa Milembe akupe Dawa zakoToka nje ujionee live
Ndio kitu wanaume wanapenda kutoka kwa Mwanamke UCHIAngalia video za miziki uone kati ya mwanamke na mwanaume nani anakalishwa uchi
Kuna nyanja ni muhimu kuliko umuhimu wenyewe hili swala la maadili ni muhimu sanaTuweke pembeni kwanza suala la maadili, je ni nyanja ipi ambayo viongozi wetu wameifanyia kazi kwa ufasaha? Uchumi, michezo, elimu,afya, miundombinu au teknolojia? Kama kila nyanja unayoigusa ni uozo mtupu kwanini unatarajia hapo kwenye maadili hali itakua tofauti?. Kwa kifupi viongozi wetu hawana uwezo na ueledi. Tukiweka vizuri mfumo wetu wa kupata competence leaders hayo masuala mengine yatakaa sawa tu automatically