Hali ni mbaya hii nchi kila kundi linateseka isipokuwa viongozi

Siku tukijitambua hayo mateso yatakwisha, tunakazi ya uchawa tu Nchi inatafunwa na wachache.
 
tuliza mihemko basi kamanda 🐒

mvivu ni mvivu tu kumjua ni rahisi sana....

hakuna upotoshaji utakatiza mbele ya mchapakazi hodari, makini, mnyonge nisiestahili na kiongozi wa wanainchi nikaacha kuukanusha na kuusahihisha kwa maslahi mapana ya wanaJF wasiyostahili kupotoshwa 🐒

kuhusu ujumbe wa nyumba 10 umenifurahisha sana dah 🤣

wakati nasoma chuo kikuu, eneo nilikokua nimepanga nilikua mjumbe wa shina bana, huwez pata barua ya serikali ya mtaa bila kwanza kupitia kwangu, dah aise ilikua raha sana 🤣
 
Na bado, huu Mwaka mpaka tuseme..

Kuna mambo wawili tuu hapa, uwe chawa labda unaweza ambulia chenga chega za keki y taifa.

Au kusimama kwenyekile unachokiamini kwan ni bora kuulinda utuwako dhidi y tamaa ya muda kuliko kujivua nguo kwa kusifia anguko la taifa lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…