DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pole sana kiongozi Mungu akasimame nawe nankukutimizia haja ya moyo wako
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Mungu wetu akutazame kwa jicho la huruma
 
Nadhani shida ni kuwa accomodate ni ghali sana sio ubaguzi tu. Mnahitaji special care kulinganisha na wengine. Tanzania bado haina miu fombi u mizuri kwa ajoli ya walemavu. Mazingira ya kazi ni magumu hata kwa wasio walemavu.
Ni muda sasa walemavu nanyi muwe wabunifu ili msitegemee ajira za whitecolor job.
Pole sana.
 
Nadhani shida ni kuwa accomodate ni ghali sana sio ubaguzi tu. Mnahitaji special care kulinganisha na wengine. Tanzania bado haina miu fombi u mizuri kwa ajoli ya walemavu. Mazingira ya kazi
Sasa hata walemavu pia mnasalitiana kwa kulambishwa sukari Basi hàkuna haja ya kulaumu wasio walemavu kuwabagua, acheni kwanza kubaguana ninyi kwa ninyi ndo muanze kuwalaumu wasio walemavu.
Ni binadamu Kama binadamu wengine! Sisi huwa wakati mwingi tuna feel the same na watu wengine!.. Kwahio sisi sio kwamba tunaishi tukiwa tuna group letu tofauti na binadamu wengine hapana!! Kama ilivyo kwa mtu wa kawaida kulamba sukar, na huku ni vivyo hivyo
 
Hakuna watu wakorofi kazini kama walemavu.

Nimekoma.
Dada angu Faiza, mlemavu ni mtu wa kawaida kabisa, mwenye tabia naturally za kibinadamu ambazo hazijatokana na kuwa mlemavu!! Kwahio utakutana na wenye tabia tofauti kabisa!! Nafikiri ukisema sisi ni wakorofi ni Kama hatuko kweny makundi ya kibinadamu!! Najua hata hapo kazini kwako wapo wakorofi ambao c WALEMAVU, lakn huwezi generalize kwamba wasio Walemavu ni wakorofi!! Nafikiri ulikutana na binadamu mkorofi tuu
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Pole Sana mkuu
 
Niende kwenye mada moja kwa moja!!.

Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana

Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu.

Wakati mtu mwenye ulemavu anapambna akiamini kuwa yeye hawez kulima, kutembeza mitumba, Wala kufanya kazi ngumu za ujenzi akitegemea akili yake tu ya darasani angalau impe mwanga wa maisha.

Baada ya ajira huyu mtu mwenye ulemavu anaanza kuzunguka na baiskeli yake au magongo yake kweny interview mbalimbali, wakati mwingine hufanyika mikoani, au kwenye majengo yasiyo na lift.
Wengi wanaishia kukata tamaa sana.

Kuna sehemu niliwahi kataliwa kabisa kisa mimi ni mlemavu kwamba siwezi kufanya hio kazi kwasababu nitakuwa naenda sana hospitali, yaani trip kazini trip hospitali. Wanahisi labda sisi ni wagonjwa fulani hivi,

Inaumiza sana sana, naongea kwa niaba Yao sana.

Wengi walioajiriwa ni sababu za kisiasa, ili ionekane hawabaguliwi hasa kwenye sekta zinazohusiana na walemavu ndio huko wamejazwa!

Nina watu nawajua ni walemavu, wanapitia kipindi kigumu sana lakini wakiwa na elimu Yao kichwani! Yaani huu unyanyapaa huwezi ona kwa jicho la kawaida! Ni dhamira za watu.

Kitanda usicholalia huwezi jua kunguni wake!! We feel pain sana sana

Natimiza mwaka wa saba(7) tangu nimalize digrii yangu ya usimamizi wa fedha..

Serikali haitujali tena, zaidi ya kutulazimisha tukope pesa tuu.

Wadau wapo kimaslahi na kisiasa zaidi wapate attention wakati wanatoa misaada.

Hata vyama vya walemavu sasa hawana la kusema baada ya kulamba sukari

Sisi tukimbilie wapi zaidi yenu wadau wa hapa JF, tusaidieni kupaza sauti sisi walemavu tuliopambana kusoma kwa bidii, tunatamani kubeba tofali angalau tupate mkate wa kila siku lakini Hali zetu hazituruhusu.

Tuliamini katika elimu nayo imetusaliti, nchi imetutenga, tuna hari mbaya sana
Hapana mkuu hambaguliwi ila tu ajira hakuna hivi fikiria mtu kagraduate mwaka 2010 na mpaka Leo anasambaza bahasha na kila usahili yupo
 
Nadhani shida ni kuwa accomodate ni ghali sana sio ubaguzi tu. Mnahitaji special care kulinganisha na wengine. Tanzania bado haina miu fombi u mizuri kwa ajoli ya walemavu. Mazingira ya kazi ni magumu hata kwa wasio walemavu.
Ni muda sasa walemavu nanyi muwe wabunifu ili msitegemee ajira za whitecolor job.
Pole sana.
Una ushauri mzuri sana!! Lakin huwa Angalau tunapambana na Elimu ili kusiwe na sababu ya kutoajirika kabisa!! Kama angalau tungekuwa na ajira maalumu tungesaidiana sisi kwa sisi pia... Maan si wote wanafanikiwa kupata elim
 
Hapana mkuu hambaguliwi ila tu ajira hakuna hivi fikiria mtu kagraduate mwaka 2010 na mpaka Leo anasambaza bahasha na kila usahili yupo
Hata Mimi nilikua nawaza Kama wew!! Lakn mpaka nimekutana na hio issue ya kubaguliwa.. boss akiwa anasema kabisa kwamba nawezaje kukuajiri halafu baada ya siku mbili uende Hosp... Na sio kwangu tuu tayari nimepokea kesi kwa jamaa zangu kadhaa.
 
Dada angu Faiza, mlemavu ni mtu wa kawaida kabisa, mwenye tabia naturally za kibinadamu ambazo hazijatokana na kuwa mlemavu!! Kwahio utakutana na wenye tabia tofauti kabisa!! Nafikiri ukisema sisi ni wakorofi ni Kama hatuko kweny makundi ya kibinadamu!! Najua hata hapo kazini kwako wapo wakorofi ambao c WALEMAVU, lakn huwezi generalize kwamba wasio Walemavu ni wakorofi!! Nafikiri ulikutana na binadamu mkorofi tuu
Nimepngelea uzoefu nilionao kwao.

Kweli ni watu wanl kawaidà lakini ni wakorofi sana kazini. Nibwao wenyewe wanaohis8 inatakiwa wawe treated kama sio watu wa kawaida.


Mwana complex za ajabu. Ukiwa treat kama mtu mwengine yeyote kosa, ukiwa treat kama walemavu kosa.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mada hii iwekwe pale juu kwenye sticky pia isambazwe kwenye mitandao mingine
 
Back
Top Bottom