- Thread starter
- #201
Ni tabia tu kaka, haihusiani na ulemavu wake!! Muwe na aman Kutuajiri wakuuPole sana mkuu.One day Yes.
Japo wachache wenu wanazingua.Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi Mwanza kabla sijahamia Arusha nilienda ofsi flani nikakuta mtu mwenye ulemavu wa viungo aiseee nilijuta ana majibu ya hovyo yule usiombe kukutana nae.