Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Hongera Ilani ya Nilipigwa Risasi 32, Mimi ni Mkenya, Mbeligiji, na Damu za wanaoitwa Mabeberu n.k. Jamani naomba kura Mimi siwezi kuwa kama Majalala yanayotumikia Ofisi za Serikali. He is very stupid, than we think. Is that Politics that can convince voters to vot him. It is stupidity.
Watanzania tuna akili zetu, Watandikane Risasi wenyewe kwa Maslahi ya misiasa yao na huruma tuwaonee cc namba....u
 
Sasa si ufurahi kwamba nyie mtashinda
 
mkuu umeandika vizuri ila najiuliza k
ampeni zisitishwe kwa utaratibu upi au kwa sheria ipi , hakuna kusitisha kampeni , cha msingi tu mshindi huru atangazwe, haya ndo matunda ya kibri, nitakua wa kwanza kukemea endapo maraisi wastahafu hawatapatiwa stahiki zao kma wazee wastahafu,kampeni ziendelee
 
 
 
Ila makamanda wazidi kuamasisha vijana kipiga kura na kulinda kura kwa ujinga wa watu masaa yote kujadili Simba na yanga
 
Kwa leo ccm mwanza mmetia fola yaani shule zote za mkoa wa mwanza ndio zimewasaidia aibu ambayo mgekumbana nayo, ndio mjue lissu ana maupepo yake tu, kuijaza fulaisha niishara ya nyakati zenye matokeo ya kushangaza
 
Umenena mkuu
 
Umevuta bangi au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…