Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Uchaguzi 2020 Hali ni mbaya, sitisheni Kampeni mkajipange Upya

Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Hongera Ilani ya Nilipigwa Risasi 32, Mimi ni Mkenya, Mbeligiji, na Damu za wanaoitwa Mabeberu n.k. Jamani naomba kura Mimi siwezi kuwa kama Majalala yanayotumikia Ofisi za Serikali. He is very stupid, than we think. Is that Politics that can convince voters to vot him. It is stupidity.
Watanzania tuna akili zetu, Watandikane Risasi wenyewe kwa Maslahi ya misiasa yao na huruma tuwaonee cc namba....u
 
chagueni watu wa kutengeneza post za maana...
Aisee!!! ( 642 X 640 ).jpg

Watoto wa shule za msingi wanaamrishwa kushiriki uchafu huu na ccm ili iweje ?
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Sasa si ufurahi kwamba nyie mtashinda
 
mkuu umeandika vizuri ila najiuliza k
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
ampeni zisitishwe kwa utaratibu upi au kwa sheria ipi , hakuna kusitisha kampeni , cha msingi tu mshindi huru atangazwe, haya ndo matunda ya kibri, nitakua wa kwanza kukemea endapo maraisi wastahafu hawatapatiwa stahiki zao kma wazee wastahafu,kampeni ziendelee
 
Tuliaaa Dawa ikuingieee wewe Unaijua Halo mbaya wewe yaani unataka kuniambia BABA LAO mwenye nchi take anaweza kosa hela ya Mafuta ya Garii Mzeee anachanja Buga na anaeleweka Leo Mwanza Ndio Tumehitimisha Kampeni tunachofanya sasa in kusalimia wananchi na kusubiri kuapishwa
78A788B8-DECD-4370-A59D-74BEBB29F0BC.jpeg
 
Hongera Ilani ya Nilipigwa Risasi 32, Mimi ni Mkenya, Mbeligiji, na Damu za wanaoitwa Mabeberu n.k. Jamani naomba kura Mimi siwezi kuwa kama Majalala yanayotumikia Ofisi za Serikali. He is very stupid, than we think. Is that Politics that can convince voters to vot him. It is stupidity.
Watanzania tuna akili zetu, Watandikane Risasi wenyewe kwa Maslahi ya misiasa yao na huruma tuwaonee cc namba....u
13A87B5B-A021-427C-A1CF-93CBA414E698.jpeg
 
Ila makamanda wazidi kuamasisha vijana kipiga kura na kulinda kura kwa ujinga wa watu masaa yote kujadili Simba na yanga
 
Kwa leo ccm mwanza mmetia fola yaani shule zote za mkoa wa mwanza ndio zimewasaidia aibu ambayo mgekumbana nayo, ndio mjue lissu ana maupepo yake tu, kuijaza fulaisha niishara ya nyakati zenye matokeo ya kushangaza
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Umenena mkuu
IMG_20200907_220718.jpeg
IMG_20200907_220724.jpeg
IMG_20200907_220721.jpeg
 
Mwenye macho haambiwi tazama. Hali si shwari. Hali ni mbaya. Kampeni haziendi. Na wakizifosi ziendelee basi itabidi wavunje bank maana recurring costs zimekuwa kubwa kuliko ilivyotegemewa.

Wajumbe hawakuwa wapumbavu kuwakata vichwa hao mlowachagulia. Mkadhani labda watamwogopa Mwenyekiti lakini ndio kwanza wanamchomolea betri waziwazi. Na akiwafosi sana wanaenda kumkata hata Mwenyekiti mwenyewe.

Mama Maria nahisi kashukiwa na mume wake Mwl. Nyerere aje awaambie kwamba muache kufosi watu waje kuongeza idadi kwenye mikutano yenu. Mama Maria anaumwa hana muda na kampeni kajuaje mnasafirisha watu kuja kujaza viwanja, ni wazi atakuwa katumwa na malaika wa bwana kuja kuwagutua toka usingizini.

Mwanza leo mmesitisha masomo ili tuu muonekane mmejaza uwanja. Huku na kule Warioba naye kawapiga chembe kidevu. CCM amkeniiiii.

Ni muda muafaka wa kusitisha kampeni zenu mkajipange upyaa. Tena mtafute mzungumzaji kwa niaba ya mgombea wenu sababu ndipo penye ufa mkubwaaa.

Wakati ni ukuta huwezi kupambana nao.
Umevuta bangi au?
 
Back
Top Bottom