Hali ninayokutana nayo katika Biashara inatisha nimefunga biashara 3 nimebakiza moja inayopumulia mipira, Msaada wa kiroho unahitajika

Kuota uko shule unafanya mtihani mara nyingi hii ndoto inahusiana na stress na msongo wa mawazo. Unawaza sana kuhusu kufirisika . Unaweza maliza waganga na usipate suluhu. Unatakiwa kujipanga upya
 
Njoo pM nikutumie namba za waganga wawili nawakubali sana.

Mmoja namuita Digala mwingine namuita masta mtoto.

Tanga
PM umeipiga LOCK tutakujaje sasa mkuu?

mimi Juzi hapa nilipigwa nyungu ya mawe ilikuwa kidogo nikimbie uchi😂😂😂

yani huo mtungi ulichemka kabisa halafu nikafukizwa, jiwe la moto likadumbukizwa humo aisee ilikua bahati tu kuendelea kuwemo kwenye hio shuka😅😅😅😅
 
Ulikuwa unasumbuliwa na malazi ya Kichwa.
 
Ndoto zako zinashaaria umevikwa roho YA aibu,nuksi,mikosi Na fedheha,gundu Nyota imeibiwa Kibali kimeibiwa ,pia roho YA kukurudisha nyuma kimaendeleo usipochukua hatua utakuja kuuza Gari mpaka nyumba ufilisike kabisa ndo lengo la maadui zako.......ushaurii Wangu Archana Na mambo ya jadiii hayo ndo yatazidi kukumaliza mwishowe uchanganyikiwe.....unasema hutaki uende Kwa walokole akili yako inakutuma uende Kwa watu Wa jadii,hizo Sio akili zako zinakuambia Bali Ni izo roho zilizoko ndani yako zinakukataza usiende Kwa walokole sababu zinajua ukienda Kwa walokole zitaangamia mambo yako yatafufuka upya
 
Surely ndomana hapigi hatua Bali anarudi nyuma kiuchumi
 
Biashara zilivokua zinapamba moto ulikua unatumia jadi au
 
Hi ndoto YA kujisaidia Choo kichafu Hua inamaanisha nn
 
Wewe hujalogwa wala nini. Tatizo lako ni kama la watanzania wengine la kushangilia ushindi kabla mechi hajaisha. Mwaka 2019 hadi leo ni miaka 5. Kosa lako ni kufanya mambo mengi bila kuacha biashara iwe imara kwanza. Kujenga nyumba kadhaa, frems na kununua gari kisha kugawanyisha mtaji na kufungua biashara tatu ni kosa baya. Mbaya zaidi ukaiacha biashara iliyokuletea mafanikio. Wewe umejivuruga mwenyewe. ACHA KUKURUPUKA PIA PUNGUZA TAMAA. Tatizo lako halihitaji mganga wala mchungaji. Tuliza akili anza upya.
 
Tatizo hauna appreciation, huwezi sema nikajenga vifremu, nikapokea vikodi,

Je, unataka Mungu akupe wakati wewe huwezi kupokea?

Ngoja wapewe wengine watakaomshukuru Mungu.

Omba toba, toa sadaka, Mungu atakukumbuka tena.
 
Ilikuwa wapi hii kiongozi 😄🔥
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…