Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Ndio maana nimesema watu wachange ,kwa sababu elimu ni jambo la kheri watu wapige donation fasta kama ndugu wachangie mtoto apate elimu.boss inaonekana hujui hali halisi ya kipato cha mtanzania wa chini!
Sawa mkuu ngoja tuvute subira. Je, wewe ni continueos ama first year?Yeah bro
🥹Balaa yaani mtoto ishu ya kusoma haswa mjini angalau vijijini wana moyo japo hawana pesa ...Kuna vijiji mtoto akienda kusoma basi atapewa chochote kile kila nyumba .Ndugu wa kiafrika hawachang kama hawana uhakika wa kula pesa waliyochanga ama umekufa
aaah Ila bodi wanzngua japo nshamlza chuo kugumu km huna ela.....Hii account ya jf ni ya bro wang, huwa nazama humu mara kadhaa
Hio km ada tuu nzima Ila km umepata boom so mbaya.... Japo om ndo ukute ela ttzKwa kiifupi hapo kwenye Ada Nina deni la takriban 1,354,600 mkuu
Huku mjini kufa uchangiwe🥹Balaa yaani mtoto ishu ya kusoma haswa mjini angalau vijijini wana moyo japo hawana pesa ...Kuna vijiji mtoto akienda kusoma basi atapewa chochote kile kila nyumba .
Unakuja kutafuta haki ya kupata mkopo jamii forum?Chief mimi nampambania mdogo angu pamoja na vijana wengine wa kitanzania.
JF ni jukwaa kubwa naimani haki na uwazi utatendeka chief
🤣🤣Huku mjini kufa uchangiwe
Aisee hongera sana mdogo angu. Naamini leo utakula chakula, kikashukaHatimae [emoji4]View attachment 2795629
Amini kwambaKama ni kweli we jamaa nitakutafuta
Amina
1st year bossSawa mkuu ngoja tuvute subira. Je, wewe ni continueos ama first year?
[emoji4] hpn sister kawaida mbn ,Aisee hongera sana mdogo angu. Naamini leo utakula chakula, kikashuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watapata wawe wapoleee.mimi nakumbuka media zilitufuata kutuhoji pale ofisi za bodi mwenge mpakani. kina Abdul nondo wakaja wakapaza sauti sana later on president magufuli akasema hela yake aliyo itenga kwa wanafunzi haijaisha aiseeh bodi ya mikopo wakatoa batch fasta tena yenye hela nyingi
Hongeraa sanaaa.Hatimae [emoji4]View attachment 2795629
Lucas mwashambwa uje pande hii utuambie kulikoni unatudanganga kuhusu mafanikio ya Hangaya......Wakuu poleni na mapambano. sitaki niwapotezee wakati niende moja kwa moja kwenye mada.
Kilio changu ni upangaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu mwaka 2023/2024 kumegubikwa na utata mkubwa kutokana na sababu zifuatazo
1.Account za waliokosa hazina notifications zozote kuwa kakosa mkopo awamu hii ama nyingine. ili upate taarifa lazima uje mitandaoni washkaji waweke screenshot ndio utajua kuna wale ambao wako allocated
2. Kilio cha ufinyu wa ada , wanufaika waliopangiwa kinasikitisha sana imagine ada ya programe ni 1.5 M lakini bodi wanatoa ada 200k kwelii!
3. Hawatoi list ya majina ya watu waliopata kiasi kwamba hili zoezi linaendeshwa pasipo uwazi wowote wakuu. tofauti na mwanzo miaka ya 2015s walikua wanatoa list na ku updates kwenye account
4. Status kwenye account ya mnufaika imekua ikibadilika mara kwa mara mfano unaweza pata status ya "congratulations your application is verified complete wait for allocation process" later on wanakuambia application is not complete rekebisha sehemu fulani !!
Note: Ndugu zangu mimi ni miongoni mwa wale ambao walipata mkopo kwa mbinde sana ,Kama sio MUNGU kumtumia Abdul Nondo sidhani kama ningetoboa kwani Rais magufuli alitoka hadharani nakusema pesa yake aliyotenga kwa ajili ya wanafunzi haijaisha aiseeh wakaja kutoa Batch nyingine tukapata mikopo asilimia 100 wotee,MAMA SAMIA WASAIDIE HAWA VIJANA WAPATE HAKI YAO, TUNAIMANI NAWEWE
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SSH kamwaga division 1 kama njugu ,akasahau , mkopo kugawa kama njugu[emoji3064]
sio poa chief ,kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe ndivyo wasemavyoNdugu wa kiafrika hawachang kama hawana uhakika wa kula pesa waliyochanga ama umekufa
Hali ni mbaya sana, japo sasa naona wameanza ku updates kimya kimya kwenye account.Lucas mwashambwa uje pande hii utuambie kulikoni unatudanganga kuhusu mafanikio ya Hangaya......
so sad man ,vijana hawana nuru tena tuwasemee vijana nao wapate fursa ya kusomaTulionufaika na mikopo mwisho ni 2019-2020. Baada ya hapo wanufaika wakaaanza kupigwa mchinjo, yaani hela kiduchu kuliko uhitqji. Sasa unajikazq hivohivo miaka 3 unamaliza kwa shida unakuja tena kusota mtaani.