Hali si shwari Bodi ya Mikopo (HESLB)

Ndugu wa kiafrika hawachang kama hawana uhakika wa kula pesa waliyochanga ama umekufa
🥹Balaa yaani mtoto ishu ya kusoma haswa mjini angalau vijijini wana moyo japo hawana pesa ...Kuna vijiji mtoto akienda kusoma basi atapewa chochote kile kila nyumba .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watapata wawe wapoleee.
 
Lucas mwashambwa uje pande hii utuambie kulikoni unatudanganga kuhusu mafanikio ya Hangaya......
 
Tulionufaika na mikopo mwisho ni 2019-2020. Baada ya hapo wanufaika wakaaanza kupigwa mchinjo, yaani hela kiduchu kuliko uhitqji. Sasa unajikazq hivohivo miaka 3 unamaliza kwa shida unakuja tena kusota mtaani.
 
Tulionufaika na mikopo mwisho ni 2019-2020. Baada ya hapo wanufaika wakaaanza kupigwa mchinjo, yaani hela kiduchu kuliko uhitqji. Sasa unajikazq hivohivo miaka 3 unamaliza kwa shida unakuja tena kusota mtaani.
so sad man ,vijana hawana nuru tena tuwasemee vijana nao wapate fursa ya kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…