Tetesi: Hali si shwari CHADEMA

Tetesi: Hali si shwari CHADEMA

Mbona unakuwa mkali imekugusa nini? Siasa in
Kusema ukweli mkuu siasa siyo uhuni km mnazofanya uko ukutani
Unahangaika bure na huyo mtu. Mwaka jana alitupia post za kutosha kuhusu ufisadi wa Edo lakini ukimuuliza leo Edo amekuaje malaika hana majibu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Si mlisema Dr Slaa ameondoka na wafuasi wake? Sasa inakuwaje tena unasema wafuasi *wengi* wa Dr Slaa!?
 
haa haa eti chadema tukutu duh. any way hivi cdm na ccm nani yuko imara kwa sasa?
 
Mashabiki wa Chadema hawana tofauti na wa Yanga waliamua kumkodisha Yanga, Manji.. tetesi Chadema imekodishwa kwa Lowasa miaka 10.. Mpaka 2020... Kumbe ni mipango ya Manji na LOWASA... Mmoja amekodi Chama cha siasa mwingine Timu ya mpira wa miguu
 
Siasa ni kusema kweli eeh! Na kusema kweli ni kutafuta mambo ya ndani ya CHADEMA ambayo huna ushahidi wowote na hayana athari zozote kwa Tanzania na Watanzania. Kama unajua ukweli hebu andika kuhusu ufisadi wa Lugumi ambao wahuni ndani ya Serikali ya kifisadi na polisiccm wamechota 37 billion na uchwara hata kuitaja Lugumi anahofia. Hebu andika kuhusu ufisadi wa Salma na Ridhwan Kikwete wa kukwapua UDA mchana kweupe! Hebu andika kuhusu ufisadi wa Magufuli AKA dikteta uchwara kwenda kununua boti lililooza la mwaka 1978 kwa shilingi bilioni 8, andika kuhusu Escrow na wale wote waopokea rushwa Bungeni mpaka Ikulu za mabilioni. Haya yote yana athari kwa Tanzania na Watanzania badala ya kwenda kutafuta uzushi usiokuwa na kichwa wala miguu na ambao hauna athari yoyote kwa Taifa. CHADEMA ikiamua kuwa na msemaji mmoja au elfu moja wewe haikuhusu chochote kutaka kubadili maamuzi ya CHADEMA.
Mbona unarusha mateke kama huna akili nzuri!
Jikite kwenye mada, mawazo nengine anzisha mada yake.
 
Mimi nikitafakari huwa nacheka sana eti LOWASA naye anawaza siku moja anaweza kuiongoza tanzania.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.

Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.

Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.

Tutaendelea next
next week mbona mbali sana kamanda. kwa nini. haya mambo yamimine mapema ili kama ni mbwai basi iwe mbwai na mabadiliko yafanyike mapema. uozo ndani ya chadema unazidi kuibomoa na sijajua kwa nini makamanda hawajastukia malengo makuu ya wale jamaa waliohamia kwa ghafla kutoka kule. lakini nadhani wameshastuka ila kwa sasa its too late kwa sababu wamelamba mchongo wa kutosha kiasi hata cha kuamua kuwasafisha watuhumiwa waleee. anyway lakini ndio siasa. wameitumia fursa vizuri na wamefanikiwa kibinafsi.
 
Acha upumbavu wewe! Hakuna mada ya kujikita kwenye huu uzushi. Mambo ya ndani ya CHADEMA hayamuhusu zwazwa yeyote kutoka CCM na kwa taarifa yako whether CHADEMA has one spokesman or 1,000 spokesmen there is no negative impact to Tanzania or Tanzanians.
unasemaje ? no negative impact ??? hii ni kulingana na mawazo yako au umefanya utafiti. we kweli. nini maana ya msemaji mkuu wa chama kama alivyo Tumaini Makene. kwa hiyo hakuna umuhimu wa yeye kuwepo. umejifunzia siasa wapi mzee nyie ndio wale wale nadhani
 
Hahaha uwii tukutane
1470888991220.jpg
 
Mbona unakuwa mkali imekugusa nini? Siasa in
Kusema ukweli mkuu siasa siyo uhuni km mnazofanya uko ukutani
Anakuwa mkali kwa kuona mtu mzima fikra zako unzotamani unazifanya uhalisia. Kwani chama kikiwa na msemaji hao wengine hawana nafasi ya kuzungumza yaliyo katika capacity yao?
Mbona hofu imewajaa hivi? Badala ya kuiogopa Chadema, acheni unafiki na kumuambia bosi wenu "unavunja katiba".
Nduguyo chizi akiwa barabarani na rungu badala ya kumnyang'anya unapoteza muda kupambana na wananchi wanaojipanga kumdhibiti kwa mawe?
 
Chadema sasa inapita ktk mazingira magumu kisiasa kuliko kawaida, taarifa kutoka ndani ya chama icho inaeleza kuwa chama icho iko ktk mgawanyiko kutokana na aina ya siasa wanazofanya. Ukitazama chama hicho kwa jicho la nje unaweza kudhani kuko shwari lkn kihulisia chadema ina ombwe la uongozi sasa. Ombwe ilo linatokana na cdm kukosa msemaji halali wa chama na msuguano wa chini kwa chini ndani ya uongozi na nje ya uongozi.

Kawaida taasisi yoyote lazima kuwa na msemaji mkuu wa chama anayeongea kwa niaba ya taasisi lkn kwa chadema jambo sasa halipo kila kundi linamekuwa na msemaji wake, mfano mh Edward Lowassa akitoa tamko linakuwa na chama, mh Freeman Mbowe akitoa tamko linakuwa tamko la chama, Dr Vicent akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Tundu Lissu akitoa tamko linakuwa la chama, Mh Godbles Lema akitoa tamko linakuwa la chama na Tumaini Makene wkt mwingine unajiuliza hiki chama hakina utaratibu kila mtu msemaji hakuna tofauti kati ya wasemaji rasmi wa chama na matamko binafsi ya viongozi.

Kutokana na hili ilibidi nipitie watu wangu ndani Ufipa na Alpha kujua kulikoni ndipo nilipopewa taarifa kuwa ndani ya chama hicho sasa kila kundi linapambana na kundi lingine kujiuza kwa wanachama na wananchi ili 2020 kila kundi ijijengee umaarufu. Chama hicho sasa ina makundi mawili makubwa Cdm Mafisadi inayoungwa mkono na Lowassa na wahamiaji wake, Mbowe, Mashinji na Salum Mwalimu na kundi lingine ambalo sasa limepewa jina la siri kuwa Cdm watukutu linaongozwa na Tundu Lissu, Peter Msigwa, John Mnyika, Fredrick Sumaye na wafuasi wengi wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa Cdm Dr Silaa.

Tutaendelea next

Ile gia ya angani itawatafuna. Kambi ya Sumaye na Tundu Lissu ndiyo Chadema Asili. Waunde chama chao tutarudi.
 
Ile gia ya angani itawatafuna. Kambi ya Sumaye na Tundu Lissu ndiyo Chadema Asili. Waunde chama chao tutarudi.
Hawana ubavu hao ni wapiga mdomo tu ila mfukoni kweupee, na chadema watu wamekaa kimaslahi zaidi kila mtu anavia deal
 
Hawana ubavu hao ni wapiga mdomo tu ila mfukoni kweupee, na chadema watu wamekaa kimaslahi zaidi kila mtu anavia deal

Hao weupe mifukoni ndiyo viongozi waadilifu na watapata wanachama wengi. Mafisadi siku zao zinahesabika awamu hii.
 
Hao weupe mifukoni ndiyo viongozi waadilifu na watapata wanachama wengi. Mafisadi siku zao zinahesabika awamu hii.
Tatizo wabongo wengi hawajui maana ya siasa wanadhani kuwa mwanasiasa ni kusaka madaraka na pesa ndiyo maana unaona wanamfuata Lowassa
 
Kwani hao ambao umewataja kama wasemaji wa chama siyo viongozi ndani ya CHADEMA?kwani hujui kuwa CHADEMA ni taasisi pana ambayo ina viongozi wengi ambao wanaweza wakatoa tamko na likahesabika kuwa nitamko la chama?.

Kwa nini hushangai ya serekali ambayo ina mawaziri wengi,wakuu wa mikoa,wakuu wa wilaya na viongozi kadhaa wakadhaa ambao wanatoa matamko mbalimbali na yanahesabika moja kwa moja kuwa ni matamko ya serekali?.
 
Back
Top Bottom