Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
..Act hawana means za kufanya mass destruction.
..Mauaji ya kimbari ya Watutsi na Wayahudi yalifanywa na vijana wa vyama tawala vya Rwanda na Ujerumani.
..Wanaoweza kufanya unyama na ukatili wa kiwango cha mass destruction ni Ccm kwani vyama tawala kihistoria ndio vimewahi kufanya hivyo.
..Kwa msingi huo, tuwe macho na Ccm kwani dalili wanazoonyesha sio nzuri.
Mi sijifichi, nataka uvunjwe na tutauvunja!Wouldn’t that question apply to you also, and all other contributors who are separatist.
Kama hamtaki Muungano jifanyeni mnajikuna muondoke huku bara kuelekea kwenu Zanzibar. Ili muanze moja kuja kama wawekezaji.Unataka wajenge uchumi wa Zanzibar ili machogo mje kupora mali zao na kuifilisi tena? Si mlishafanya zamani au unafikiri tumesahau? Unafikiri nyie mtakubali Zanzibar ipate maendeleo wakati nyie mnakwama huko bara bila ya kuja kufanya fujo huku? Kuwa realistic kidogo.
One spark is capable of starting an uncontrollable fire!
..ndio nimekwambia hiyo mioto unayoiogopa ilianzishwa na vyama tawala / dola vilivyofilisika.
..Ccm ina kila dalili za chama tawala kilichofilisika, na kimefanya mauaji ktk nyakati mbalimbali, hivyo, kinao uwezo wa kufanya jambo baya zaidi hapa nchini.
Kama watawala/dola pekee ndio wangekuwa na uwezo wa kusababisha lawlessness, basi hii dunia isingekuwa inahangaika na terrorism kila uchao!
Hoja hii wengi hawaielewi na ahsante kuieleza tenaKama umesoma hoja zangu utaona shida yangu ni kukwera na manu’nguniko ya wazanzibari more so na huyo Othman na uongo wake wa bara kuonea Zanzibar na kuikandimiza kama nchi, icho ndio nijaribu kuonyesha na si attack kwake yeye.
Kama ataki muungano ni sawa tu but aweke fair arguments.
Katika clip hapa juu msikilize OMO akisema haya kuhusu East Africa Currency Board na BoT
..hata hao terrorist huwa ni watu wanaopambana na watawala wakatili, wakandamizaji.
..Ni kweli magaidi ni watu wabaya, na njia wanazotumia hazikubaliki.
..Lakini mara nyingi huwa wana magomvi na watawala wahuni na makatili.
Mali gani za Zanzibar zimewahi kuporwa na Watanganyika? Huyo Bakhressa unayemtolea mfano kuwa ni Mzanzibari, angelowea bara kama Watanganyika wangekuwa waporaji?
He now fears that Nyerereʼs government is trying to gain control over Zanzibarʼs relatively hefty foreign exchange reserves. The two leaders will probably continueto make compromises in order to keep the union going, partly because their prestige would suffer if it were dissolved. Thus the union is likely to muddle along as long as Nyerere and Karume are in power, but few other Tanzanians would mourn its passing.
Kama hamtaki Muungano jifanyeni mnajikuna muondoke huku bara kuelekea kwenu Zanzibar. Ili muanze moja kuja kama wawekezaji.
Hoja hii wengi hawaielewi na ahsante kuieleza tena
Hakuna anayemshambulia Othman Masoud Othman(OMO) kwa kuzungumzia muungano
Hakuna anayemtuhumu kwa kutoa hoja zake kama kiongozi wa ACT au mtu binafsi
Tunahoji hoja zake anazojenga juu ya uongo, uzushi na unafiki!
Nitaweka clip mbili akizungumzia BoT halafu wasomaji mtaelewa kwanini OMO ni mnafiki au hajui anaongea nini
Mi sijifichi, nataka uvunjwe na tutauvunja!
Yamevunjika madola yaliyotawala dunia, sembuse ki Muungano hiki cha ku forge na kuficha makaratasi.
Kuna mambo hapa Tanzania ni settled matters. Hayajawahi kuwa mjadala. Hata mateja Mirembe hawasemi tuwahamishe Wakristo waende Zambia, nchi ya Kikristo, au Waislamu waende Libya kwa Waislamu wenzao. Wamakonde hawatarudishwa Msumbiji. Haya yasiyo na mjadala yanaitwa settled matters.
Muungano IS NOT a settled matter. Bado tunaubishania kila uchwao, wote hatuutakia isipokuwa Wazenji wenye vyeo Bara na Wabara wanaodhani Nyerere alikuwa Yohana Mtakatifu na Karume ni swahiba wa Mtume.
Zanzibar haina manufaa kwa Tanganyika, ni mzigo. Tunataka tuuvunje Muungano!
Mzigo gani? Nyie machogo si mnasubiri mafuta ya Zanzibar yachimbwe mpore hela za Wazanzibari mkiwa mmevaa koti la muungano?
Naongelea uchumi wa Zanzibar siyo mali za watu binafsi. Uchumi ukijengwa mnakuja kupora mkiwa mnavaa koti la muungano.
Hii dunia haiwezi kuishiwa watu wa ajabu ajabu. Tunavijua vituko vyenu. Natural Gas, Gold, Giamond, Tanzanite na raslimali zingine za mainland ni mali zetu Watanzania wote (wa Bara na visiwani), lakini raslimali za Zanzibar ni za Wazanzibari.
Huu Muungano hautofautiani sana na ndoa ya mke mmoja, mume mmoja. Kwenye ndoa zilizo nyingi, hakuna fairness. Kwa mfano, mara nyingi sana, hela ya mke ni ya mke, lakini hela ya mume ni hela ya familia. This is a harsh reality all husbands have to contend with. Ukiamua kupigania fairness, hiyo ndoa itavunjika. Unfortunately, hata ndoa inayofuata nayo itavunjika usipobadilika.
Tueleze juu ya uporaji unaohofia! Kuna Wapemba kibao huku bara. Kwanini wanakaa na kufanya shughuli zao za maendeleo kwa waporaji?
Wewe unadhani terrorists wanahamasishwa na ndimi zinazotumika vizuri?
Wewe si ndiye uliandika haya maneno? Mbona unarukwa na akili tena?
..terrorist kwako anaweza kuwa shujaa kwa mwingine.
..kwa mfano, wewe unaona Ccm ni mashujaa, lakini wako Waznz wanawaona ni magaidi / madhalimu terrorists.