Hali si shwari kati ya Hussein Mwinyi na Othman Masoud. Hawaelewani kuhusu suala la Muungano

Hali si shwari kati ya Hussein Mwinyi na Othman Masoud. Hawaelewani kuhusu suala la Muungano

Mkuu JokaKuu
Ingalikuwa vema ukiweka clip nzima ya Othman Masoud kwasababu kuna mengi

Sishangai mtifuano kwasababu, OMO kama wanavyomwita ni mpotoshaji hasa linapokuja suala la muungano.
Angalia interview ya Clouds 360 ina mengi ya kapotosha kwa makusudi au kutojua

Watangazaji 3 wa Clouds hawakuweza kuuliza, kusahihisha au kutaka ufafanuzi kutoka kwa Othman alipoongea . Walimwacha ahutubie badala ya mahojiano. Watangazaji walisikitisha

clip ni kwa hisani ya Clouds media


Dakika 48
Masoud Othmana anasema ''Tanganyika na Zanzibar ziliungana zikiwa sovereign states, baada ya muungano ikawa shared sovereignity. Moja ya matakwa ya shared sovereignty ni kuwa na Policy na kwamba sheria zinatungwa na upande mmoja na baraza la mawaziri la JPM ,Zanzibar haikuwakilishwa''

Hoja: Hoja ya VP Masoud si ya kweli. Katika shared sovereignty Tanganyika impoteza Zanzibar imebaki nayo kupitia SMZ inayoamua mambo yao.

Kuhusu sera kutungwa kwa upande mmoja nalo si kweli.
Zanzibar ina Wabunge na Wabunge kutoka BLW wanaoiwakilisha katika Bunge la JMT.
Kwamba maamuzi yanafanywa kwa kura ni kweli kwasababu Wazanzibar ndani ya JMT wanaamua hata mambo yasiyo ya muungano kwa kura ile ile anayoikataa Masoud Othman, mbona halisemi hilo?

Kamtumhumu JPM kwamba baraza lake la Mawaziri halikuwa na uwakilishi kutoka Zanzibar.
VP othman alikuwa AG anafahamu Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa Cabinet kwa kuapishwa
Kwamba VP alikuwa mjumbe wa Cabinet. Hivi hawa si viongozi wa juu wa Zanzibar, VP alitaka uwakilishi gani?
Lakini pia alikuwepo Waziri Mbarawa akisimamia wizara isiyo ya muungano, hilo anasemaje?

Dakika 53
VP OMO anasema ''resources za muungano zitawanywe ili Zanzibar ipate biashara na ajira.
Akatoa mfano Elimu ya juu ambako Zanzibar hakuna chuo kikuu''

Hoja: Haiwezekani resources za Tanganyika ziwekwe Zanzibar kwasababu mambo makuu ya muungano ni machache sana. VP hakusema gharama za resources hizo anazotaka ziwekezwe Zanzibar zinalipwaje na Zanzibar. Kwasasa Zanzibar haina mchango wowote kwanini resource za muungano zipelekwe huko.

Pili, Masoud Othman aelewe suala la elimu ya juu si la muungano. Ni suala lililoongezwa na akina Marehemu Sitta katika kusiadia Zanzibar hivyo kutojengwa chuo huko ni sawa kikijengwa ni fadhila.
Zanzibar wana wizara ya elimu ya juu sasa anataka ya muungano ifanye nini ? Zanzibar inachangia nini?

Dakika 51 anasema Rais wa JMT anachaguliwa na Tanganyika kutoka na idadi ndogo ya wapiga kura Zanzibar.
Makamu wa Rais othman akatolea mfano Marekani ambako California ina watu milioni 40 na Maine milioni 1.6 na Wyoming milioni 1 akisema mfumo huo unahkikisha hata state ndogo zinapata kauli kwa kutumia kile alichokiita ''Collegiate''

Hoja: Hakuna kitu kinachoitwa ''collegiate'' katika mfumo wa uchaguzi wa Marekani bali electoral college.
States zimepewa idadi ya Wajumbe watakaochaguliwa kwenda kumchagua Rais.
Rais anaweza kuchaguliwa kwa electoral college votes (270) za state chache

Hivyo kuna majimbo yenye wajumbe wanaoweza kufikisha 270.
Mfano California 55, New York 29, Texas 38, Florida 29, Pen state 20, Michigan 16, Georgia 16, N.Carolina 15, Maryland 10, Tenn 11, Illnoi 20, virginia 13, S.Carolina 9. State 12 zinaweza kumchagua Rais wa Marekani kwa kura 270 zinazohitajika.

Mfumo huo unawafanya wagombea wasipoteze muda na pesa za kampeni huko Montana wajumbe 3, Wyoming 3, au Vermont 3. kwa mantiki hiyo VP alipotosha au hakujua mfumo unafanyaje kazi

Hata Tanzania bado kuna suala la mikoa. Mfano mikoa ya kanda ya ziwa inaweza kumchagua Rais
Tukifuata mfumo wa Marekani bado Zanzibar itakuwa na viti vichache kwasababu katika constituents za Tanzania Zanzibar ni ndogo sana Wabunge wake wakichaguliwa na watu 2,500 lakini wanakura sawa pale Dodoma. Hivi Makamu wa Rais halioni hili kweli.!!!

Wamarekani sasa hivi wanataka popular vote kwa kujua mfumo wa electoral college si mzuri. Hillary Clinton alishinda popular vote kwa kura milioni 3 lakini Trump alimshinda kwa electoral college na kuwa Rais

Pengine alichokusudia kusema ni kwamba states zimepewa Maseneta 2 bila kujali ukubwa ili maamuzi yazingatie hata zile ndogo. Kinyume cha hivyo OMO alipotosha sana

Bank kuu:
VP othman anasema Karume aliona tatizo hakukubali kuingia BoT hadi Salimini. Kwamba Zanzibar ilikuwa na PBZ baada ya kuvunjika EAC currency board

Hoja: Hapa VP anatueleza kwamba yale madai ya Zanzibar kuingiza pesa BoT yanayowapa 4.5% ya pato la Tanganyika ni uongo na kwamba pesa hizo hawakupaswa kupewa bali ni hisani.
Lakini pia VP othman hakueleza nini kilimfanya Salimin akaingiza nchi BoT? Hakueleza je ZPB ambayo ipo hadi leo inamilikiwa na nani?

Dakika 23
OMO anasema Zanzibar ingesaidia muungano kutokana na historia yake na kwamba kuna KM 200 za bahari zenye mafuta na gesi katika vitalu 9, 10.

Hoja Historia ya Zanzibar ni ya biashara ya pembe za ndovu na utumwa, haina manufaa kwa Tanzania leo hii. Pili, mafuta na gesi yameondolewa na Zanzibar katika mambo ya muungano kupitia katiba ya 2010.
Ingawa Zanzibar inafadika na mapato ya gesi na madini yenyewe haitaki kuwa mshiriki.
Makamu wa Rais anapotosha sana

Dakika 24
OMO anasema Singapore ilikuwa katika muungano na Malaysia nailipojitoa uchumi wake ni mkubwa kuliko wa Tanzania na inaweza kufadhali bajeti

Hoja: VP Masouda anawaambia Wazanzibar kuwa wakitoka nje ya muungano watakuwa matajiri kama Malaysia. Hilo halina tatizo kwasababu ni mtazamo wake, anachotakiwa kufanya ni kuendelea kuchochoea kuni muungano uvunjike ili Zanzibar iwe kama Malysia




Katika video hii anazungumzia Zanzibar kunyimwa fursa ya kukopa akitolea mfano wa milioni 200 kutoka China
Anasema Tanganyika ipo hoi na Zanzibar ikitaka kupita Tanganyika inaweka vikwazo

Hoja: Mataifa yanakopesha kwa kuangalia uwezo wa nchi kulipa. China walisita kukukopesha wakijua kuwa mdhamini lazima awe chumi kubwa. Hata hivyo makamu wa Rais aelewe Zanzibar iliruhusiwa kukopa na hilo ni jambo jema kwani litapunguza mzigo kwa Tanganyika. Anachotakiwa ni kuendelea kusisitiza tu waende kukopa bila kutumia jina la JMT, walipe wenyewe na watafute wadhamini wenyewe!

Well said!
 
Wazenji wengi hawana fahamu kuwa Muungano huu ni "iron-clad" yaani hauvunjiki sababu waliouanzisha ni marehemu kwasasa.

Wapiga kelele kama hao kina Othman ni kuwatumia "watu wasiojulikana" tu wapelekwe chocho na kutulizwa!
 
Binafsi sioni umuhimu wa muungano hoja za kutetea muungano ni hoja za enzi ya Soviet error... kuanzia sababu za kiusalama na kiulinzi hata kijamiii Tanganyika tumepoteza sana na bado tunaendelea kupoteza sana kwa huu muungano wa mchongo .
 
Mkuu JokaKuu
Ingalikuwa vema ukiweka clip nzima ya Othman Masoud kwasababu kuna mengi

Sishangai mtifuano kwasababu, OMO kama wanavyomwita ni mpotoshaji hasa linapokuja suala la muungano.
Angalia interview ya Clouds 360 ina mengi ya kapotosha kwa makusudi au kutojua

Watangazaji 3 wa Clouds hawakuweza kuuliza, kusahihisha au kutaka ufafanuzi kutoka kwa Othman alipoongea . Walimwacha ahutubie badala ya mahojiano. Watangazaji walisikitisha

clip ni kwa hisani ya Clouds media


Dakika 48
Masoud Othmana anasema ''Tanganyika na Zanzibar ziliungana zikiwa sovereign states, baada ya muungano ikawa shared sovereignity. Moja ya matakwa ya shared sovereignty ni kuwa na Policy na kwamba sheria zinatungwa na upande mmoja na baraza la mawaziri la JPM ,Zanzibar haikuwakilishwa''

Hoja: Hoja ya VP Masoud si ya kweli. Katika shared sovereignty Tanganyika impoteza Zanzibar imebaki nayo kupitia SMZ inayoamua mambo yao.

Kuhusu sera kutungwa kwa upande mmoja nalo si kweli.
Zanzibar ina Wabunge na Wabunge kutoka BLW wanaoiwakilisha katika Bunge la JMT.
Kwamba maamuzi yanafanywa kwa kura ni kweli kwasababu Wazanzibar ndani ya JMT wanaamua hata mambo yasiyo ya muungano kwa kura ile ile anayoikataa Masoud Othman, mbona halisemi hilo?

Kamtumhumu JPM kwamba baraza lake la Mawaziri halikuwa na uwakilishi kutoka Zanzibar.
VP othman alikuwa AG anafahamu Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa Cabinet kwa kuapishwa
Kwamba VP alikuwa mjumbe wa Cabinet. Hivi hawa si viongozi wa juu wa Zanzibar, VP alitaka uwakilishi gani?
Lakini pia alikuwepo Waziri Mbarawa akisimamia wizara isiyo ya muungano, hilo anasemaje?

Dakika 53
VP OMO anasema ''resources za muungano zitawanywe ili Zanzibar ipate biashara na ajira.
Akatoa mfano Elimu ya juu ambako Zanzibar hakuna chuo kikuu''

Hoja: Haiwezekani resources za Tanganyika ziwekwe Zanzibar kwasababu mambo makuu ya muungano ni machache sana. VP hakusema gharama za resources hizo anazotaka ziwekezwe Zanzibar zinalipwaje na Zanzibar. Kwasasa Zanzibar haina mchango wowote kwanini resource za muungano zipelekwe huko.

Pili, Masoud Othman aelewe suala la elimu ya juu si la muungano. Ni suala lililoongezwa na akina Marehemu Sitta katika kusiadia Zanzibar hivyo kutojengwa chuo huko ni sawa kikijengwa ni fadhila.
Zanzibar wana wizara ya elimu ya juu sasa anataka ya muungano ifanye nini ? Zanzibar inachangia nini?

Dakika 51 anasema Rais wa JMT anachaguliwa na Tanganyika kutoka na idadi ndogo ya wapiga kura Zanzibar.
Makamu wa Rais othman akatolea mfano Marekani ambako California ina watu milioni 40 na Maine milioni 1.6 na Wyoming milioni 1 akisema mfumo huo unahkikisha hata state ndogo zinapata kauli kwa kutumia kile alichokiita ''Collegiate''

Hoja: Hakuna kitu kinachoitwa ''collegiate'' katika mfumo wa uchaguzi wa Marekani bali electoral college.
States zimepewa idadi ya Wajumbe watakaochaguliwa kwenda kumchagua Rais.
Rais anaweza kuchaguliwa kwa electoral college votes (270) za state chache

Hivyo kuna majimbo yenye wajumbe wanaoweza kufikisha 270.
Mfano California 55, New York 29, Texas 38, Florida 29, Pen state 20, Michigan 16, Georgia 16, N.Carolina 15, Maryland 10, Tenn 11, Illnoi 20, virginia 13, S.Carolina 9. State 12 zinaweza kumchagua Rais wa Marekani kwa kura 270 zinazohitajika.

Mfumo huo unawafanya wagombea wasipoteze muda na pesa za kampeni huko Montana wajumbe 3, Wyoming 3, au Vermont 3. kwa mantiki hiyo VP alipotosha au hakujua mfumo unafanyaje kazi

Hata Tanzania bado kuna suala la mikoa. Mfano mikoa ya kanda ya ziwa inaweza kumchagua Rais
Tukifuata mfumo wa Marekani bado Zanzibar itakuwa na viti vichache kwasababu katika constituents za Tanzania Zanzibar ni ndogo sana Wabunge wake wakichaguliwa na watu 2,500 lakini wanakura sawa pale Dodoma. Hivi Makamu wa Rais halioni hili kweli.!!!

Wamarekani sasa hivi wanataka popular vote kwa kujua mfumo wa electoral college si mzuri. Hillary Clinton alishinda popular vote kwa kura milioni 3 lakini Trump alimshinda kwa electoral college na kuwa Rais

Pengine alichokusudia kusema ni kwamba states zimepewa Maseneta 2 bila kujali ukubwa ili maamuzi yazingatie hata zile ndogo. Kinyume cha hivyo OMO alipotosha sana

Bank kuu:
VP othman anasema Karume aliona tatizo hakukubali kuingia BoT hadi Salimini. Kwamba Zanzibar ilikuwa na PBZ baada ya kuvunjika EAC currency board

Hoja: Hapa VP anatueleza kwamba yale madai ya Zanzibar kuingiza pesa BoT yanayowapa 4.5% ya pato la Tanganyika ni uongo na kwamba pesa hizo hawakupaswa kupewa bali ni hisani.
Lakini pia VP othman hakueleza nini kilimfanya Salimin akaingiza nchi BoT? Hakueleza je ZPB ambayo ipo hadi leo inamilikiwa na nani?

Dakika 23
OMO anasema Zanzibar ingesaidia muungano kutokana na historia yake na kwamba kuna KM 200 za bahari zenye mafuta na gesi katika vitalu 9, 10.

Hoja Historia ya Zanzibar ni ya biashara ya pembe za ndovu na utumwa, haina manufaa kwa Tanzania leo hii. Pili, mafuta na gesi yameondolewa na Zanzibar katika mambo ya muungano kupitia katiba ya 2010.
Ingawa Zanzibar inafadika na mapato ya gesi na madini yenyewe haitaki kuwa mshiriki.
Makamu wa Rais anapotosha sana

Dakika 24
OMO anasema Singapore ilikuwa katika muungano na Malaysia nailipojitoa uchumi wake ni mkubwa kuliko wa Tanzania na inaweza kufadhali bajeti

Hoja: VP Masouda anawaambia Wazanzibar kuwa wakitoka nje ya muungano watakuwa matajiri kama Malaysia. Hilo halina tatizo kwasababu ni mtazamo wake, anachotakiwa kufanya ni kuendelea kuchochoea kuni muungano uvunjike ili Zanzibar iwe kama Malysia




Katika video hii anazungumzia Zanzibar kunyimwa fursa ya kukopa akitolea mfano wa milioni 200 kutoka China
Anasema Tanganyika ipo hoi na Zanzibar ikitaka kupita Tanganyika inaweka vikwazo

Hoja: Mataifa yanakopesha kwa kuangalia uwezo wa nchi kulipa. China walisita kukukopesha wakijua kuwa mdhamini lazima awe chumi kubwa. Hata hivyo makamu wa Rais aelewe Zanzibar iliruhusiwa kukopa na hilo ni jambo jema kwani litapunguza mzigo kwa Tanganyika. Anachotakiwa ni kuendelea kusisitiza tu waende kukopa bila kutumia jina la JMT, walipe wenyewe na watafute wadhamini wenyewe!

Huyu akili hana ana ajenda ya Siri, ana dai Tanzania haiendelei kwa sababu ni kubwa na Zanzibar ni ndogo ikiachwa iende peke yake, itaendelea haraka! Maendeleo ya nchi hayafati ukubwa!! Rawnda na Burundi ni nchi ndogo na hazijaendelea, China na USA ni ma nchi makubwa na yameendelea
 
Hapana, huyu ni 'hardliner' maradufu zaidi ya Maalim.

Seif alipokuwa akipewa ulaji alinyamaza kidogo, huyu ni kama unamchochea zaidi unapomteua kwenye nafasi yoyote!
Pamoja na hayo, sidhani kuwa huyu anayo haiba na hadhi aliyokuwa nayo Maalim Seif kwa wafuasi wake. Sijui kama Masoud alishawahi kugombea nafasi yoyote ya uchaguzi na wananchi wakampa kura kama alizokuwa akipata Maalim.
Huyu jamaa nimemfuatulia vizuri sana muda mrefu tangu akiwa CCM tena kwa cheo cha mwanasheria mkuu wa SMZ.

Kama kwenye bunge la katiba aliamua kusimama na Wazanzibar na kukubali kupoteza nafasi ya AG wa SMZ ni lazima mjue huyu ni zaidi ya Maalim Seif, Maalim Seif anamzidi huyu jamaa umri tu, historia na kuwa ndio icon ya upinzani Zanzibar, sikushangaa hata kidogo baada ya kifo cha Maalim Seif ni yeye ndio akateuliwa kuziba nafasi ya Maalim ya VP.

Na kwakuwa Rais wa JMT ni Mzanzibar huyu jamaa hakuna wa kumnyamazisha, awamu ya sita ndio ya kuclear dhuluma zote walizofanyiwa Wazanzibar.
 
Zenji itafuga magaidi...ikipewa nchi yake.

Bora tuendelee kuwabeba tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake.
Msikilize Othman Masoud hapa chini.

Kwa maoni yangu, huyu mtu anatakiwa awekwe pembeni, apate muda wa kutosha ajishughulishe na siasa, kwasababu ACT ndani ya GNU wanatakiwa kutekeleza Ilani na sera za CCM!.

Ushauri kama huu kumhusu mtu huyu huyu niliwahi kuutoa kule nyuma na ukatekelezwa, Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

P
 
Hapana: "watakuwa matajiri kama Singapore"
Anataka muungano ukivunjika "Zanzibar itakuwa kama Singapore", kwake anaona Malaysia haifanyi vizuri katika maendeleo!

'Demagogues' kama huyu bwana, kazi iliyopo ni kumpa nafasi atimize matakwa yake kama atakuwa na wafuasi wa kutosha kuwezesha adhma hiyo.

Haikutarajiwa muungano huu uwe na maswala kama haya yanayojadiliwa wakati huu. Ilitarajiwa wakati huu kungekuwepo na uimara zaidi baada ya kuona faida ya muungano, na siyo maswala ya kuhojiana tena kama anayoibua huyu bwana.
Nadhani njia nzuri iliyobaki sasa kunyamazisha kelele za watu wa aina hii, ni kuwaendea wananchi wenyewe, wa pande zote mbili wafanye uamzi wa mwisho juu ya muungano.
Wananchi wakisema hawautaki muungano, sawa, kila mtu aende kivyake. Wakisema muungano hauwezi kuvunjwa, basi hawa akina Masoud wakubali matakwa ya wananchi na waache chokochoko.
Ahsante kwa sahihisho nilimaanisha Singapore. Kwamba Zanzibar ijitoe ili iwe Singapore

Watangazaji hawakuwa na ufahamu hata pale walipotakiwa kumhoji. Mathalan hawawezi kumuuliza kama msimamo wake ni serikali 3 ikiwa hawajamuuliza iwapo anataka muungano hasa baada ya kuonyesha wazi hautaki

Pili, VP OMO kama walivyo Wazanzibar wanaongelea fursa tu humsikii akizungumzia mchango wa Zanzibar
Eti anataka taasisi za muungano zipelekwe Zanzibar wakati ambapo taasisi hizo zina mbadala kule
Mfano kuna sababu gani za kupeleka Tanzania Bureau of standard wakati kuna Zanzibar Bureau of standard

Anasema eti uhamiaji ni suala la muungano lijadiliwe na pande zote, well, Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa Cabinet kwanini halijadili. Kuna Wabunge wa Zanzibar wakiwemo wa ACT kwanini hawazungumzi pale Dodoma

Halafu anataka usawa kwasababu nchi ina shared sovereignty wakati usawa huo haupo katika ''shared cost''

Sina tatizo akichochoea kuni wavunje muungano nina tatizo anapowafanya watu wote mazuzu kama wale anaohutubia

Wadai kura ya maoni si kulalama na kujenga hoja nyepesi zisizo na ithbati.
 
..Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake.

..Hussein Mwinyi anamuona Othman Masoud kama mchochezi asiyetaka Wazanzibar wawe kitu kimoja.

Msikilize Othman Masoud hapa chini.




Hussein Mwinyi amejibu hapa.


Kwani kero za muungano hazikupatiwa ufumbuzi wa kudumu ?...Maana hazikusikika kabisa mwanzoni mwa awamu hii .
Nguruvi3
 
Huyu jamaa nimemfuatulia vizuri sana muda mrefu tangu akiwa CCM tena kwa cheo cha mwanasheria mkuu wa SMZ.

Kama kwenye bunge la katiba aliamua kusimama na Wazanzibar na kukubali kupoteza nafasi ya AG wa SMZ ni lazima mjue huyu ni zaidi ya Maalim Seif, Maalim Seif anamzidi huyu jamaa umri tu, historia na kuwa ndio icon ya upinzani Zanzibar, sikushangaa hata kidogo baada ya kifo cha Maalim Seif ni yeye ndio akateuliwa kuziba nafasi ya Maalim ya VP.

Na kwakuwa Rais wa JMT ni Mzanzibar huyu jamaa hakuna wa kumnyamazisha, awamu ya sita ndio ya kuclear dhuluma zote walizofanyiwa Wazanzibar.
dhulma ni zipi mkuu? zitaje chache.

but what I know ni kuwa if someone outsmart you, unajipanga! ( Nyerere outsmarted Karume and all Zanzibaris and this will remain forever kwakuwa jeshi lina kambi ukizingua sana unaliwa kichwa)
 
Hapana, huyu ni 'hardliner' maradufu zaidi ya Maalim.

Seif alipokuwa akipewa ulaji alinyamaza kidogo, huyu ni kama unamchochea zaidi unapomteua kwenye nafasi yoyote!
Pamoja na hayo, sidhani kuwa huyu anayo haiba na hadhi aliyokuwa nayo Maalim Seif kwa wafuasi wake. Sijui kama Masoud alishawahi kugombea nafasi yoyote ya uchaguzi na wananchi wakampa kura kama alizokuwa akipata Maalim.
Huyu si hardliner ni kwamba hautaki muungano. Ukisikia kauli zake utashangaa sana

Rejea clip ya pili ya bandiko#6 anatukana na kusema Tanganyika ni wagonjwa wameziba njia za Zanzibar
OMO hajui gharama za ving'ora anavyozunguka navyo, usalama wa nchi wa mipaka na ndani n.k.

Wachina hawataki kuipa Zanzibar kwa kuchelea kuwa haidhaminiki kwa uchumi wake.
Yeye anasema Tanganyika inawazibia, akili za jabu sana, kwamba izibe Zanzibar isikope kwa faida gani.
Kauli zote hizo ni kuchochoea kwamba Zanzibar inapunjwa ingawa haelezi kwa lipi bali lalama tu

Kuna watu waliojificha lakini hawataki muungano. VP OMO, Ali Salehe na yule wa London Rajabu
Jitokezeni mpige chapuo kura ya maoni. OMO katoa mfano wa Scotland katika jitihada za kuwaambia Wazaznibar wadai kura ya maoni. Tatizo lake hasemi wazi anatumia code na kuzua uongo dhidi ya Tanganyika

OMO waambie ACT wasidai tume ya uchaguzi au katiba mpya, Wazanzibar wadai kura ya moni tutawaunga mkono 100%
 
Halafu eti Nyerere alitaka tuungane na Burundi sijui saa hizi hali ingekuwaje, tungekuwa na makundi ya waasi wenye silaha kila kona.
Tungeungana na Burundi tungetajirika maana tungewadhibiti Rwanda kijeshi na kufaidi biashara na Congo DR. Tena labda hata Rais wa Rwanda tungemsimika kibaraka wetu. Hilo litakuja one day
 
Hii ni janja janja ya ccm kumtengeneza mpinzani wao huko Zanzibar baada ya Seif kufariki
 
..Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake.

..Hussein Mwinyi anamuona Othman Masoud kama mchochezi asiyetaka Wazanzibar wawe kitu kimoja.

Msikilize Othman Masoud hapa chini.




Hussein Mwinyi amejibu hapa.

Kama vipi wapasuane tu hakuna noma
 
..Othman Masoud anamuona Hussein Mwinyi kama mateka asiyeweza kuitetea Zanzibar, hadhi, maslahi, na haki zake.

..Hussein Mwinyi anamuona Othman Masoud kama mchochezi asiyetaka Wazanzibar wawe kitu kimoja.

Msikilize Othman Masoud hapa chini.




Hussein Mwinyi amejibu hapa.


Sijawahi ona mtu asiyefaa kuwa kiongozi km Othman, hafai na hatafika mbali mi mwongo mchochezi. Badala aunganishe wananchi anawagawa. Nia hasa ni nini? Tumkatae tumwone mpuuzi tu
 
Kama vipi wapasuane tu hakuna noma
yaani una maana waandae "usiku wa vitasa"? au unataka Mwinyi azipange na Othman wazipige kavu kavu kitaa?


Au kama litakuwa pambano la ubingwa kugombea mkanda wa kuwa mtemi wa Mji Mkongwe archipelago basi sasa uhakikishe ukumbini kuna "mapembe" ya kutosha na urojo, tena machogo wanaokaa mchambawima, mfereji wa wima, Nungwi na Bubu bu wasiruhusiwe kuingia ukumbini ati!

Marungu ya kutosha yawepo ukumbini kuwatoa machogo wote maana sie wazenji tunshaghadhibika yakhe!
 
Back
Top Bottom